Feisal2020
JF-Expert Member
- Nov 15, 2018
- 1,113
- 2,656
Kabisa. Why?Damu yako kabisa??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa. Why?Damu yako kabisa??
Imepita muda gani sasa? 🤔Mtoto bado yupo nae nafikiri, amemuita Taraj. Alinitumia picha ya chalii na baada ya hapo sijawahi kumpata tena hewani wala alikokua anakaa. Mimi nilioa mama wa mwanangu wa kwanza, yeye sina taarifa zake
Tunauelekea mwaka wa tatu sasa, nakumbuka mara ya mwisho kuwasiliana nae alinitafuta yeye WhatsApp number ambayo haijawahí kupatikana mpaka leo. Alinitumia picha ya chalii na kuniambia kampa hilo jina Taraj, pia kuniambia kuwa sitokuja kuwaona tena! Baada ya hapo sijawahi kumpata hewani wala pale alipokua anakaa, sijui kama yupo hapa au mkoa, sijawahi kumuona tenaImepita muda gani sasa? [emoji848]
I can't breath kwa kweli 😢😢🤔Tunauelekea mwaka wa tatu sasa, nakumbuka mara ya mwisho kuwasiliana nae alinitafuta yeye WhatsApp number ambayo haijawahí kupatikana mpaka leo. Alinitumia picha ya chalii na kuniambia kampa hilo jina Taraj, pia kuniambia kuwa sitokuja kuwaona tena! Baada ya hapo sijawahi kumpata hewani wala pale alipokua anakaa, sijui kama yupo hapa au mkoa, sijawahi kumuona tena
Ukute alipenda pesa zako ulizotumia kusafisha yale mabaya aliyoyaona[emoji848][emoji848] si unajua mbwa mwenye mfupa habweki
Kwahiyo unasemaje?
Hapo kwenye uhuni hebu fafanua.
Unaumia na nonsense niliyoandika..?pole sana
Sahihisha andika chenye maana mwenye kuandika vya maana
Hongera sana next time usijisumbue kusoma visivyoeleweka
Usijibu kwani umelazimishwa[emoji57][emoji57]..na bado ukajibu quote ya mshamba..makubwa haya..aliyeanza kumquote mwenzie Nani..mpuuzi Nini mxiuuuu
Mkuu nahisi mimi pia ninayo hiyo phobia,Binafsi ninahisi nina Phobia ya kuogopa kua attached kwa mtu fulani, Maana najua tu mwanzo atanionyesha wema na upendo ila mwisho ndio atanionyesha upande wake wa shillingi..mmhh
Ila wanasema maisha ni kutake risk, if you can't take you loose a chance
Sidhani kuna namna mkuu ya kuondoa, maana hua ni psychotic oriented cha msingi ni kua makini na mtu unatetaka kua naye karibu. Maana wengine Wanakua real kwako basi tu hiyo situation inakufanya umpoteze kwa kuogopa.Mkuu nahisi mimi pia ninayo hiyo phobia,
yaani mtu anapoanza kuonesha kutaka kuwa karibu na mimi naogopa mnoo kumkaribisha maishani mwangu coz nakuwa siko sure na kitakachotokea baada ya huo ukaribu wetu,
Hivi hiyo imekaaje mkuu? kuna namna ya kuiondoa hiyo hali?
sijalielewa swali lako vizuri mkuu,em nidadavulie nikujibuSidhani kuna namna mkuu ya kuondoa, maana hua ni psychotic oriented cha msingi ni kua makini na mtu unatetaka kua naye karibu. Maana wengine Wanakua real kwako basi tu hiyo situation inakufanya umpoteze kwa kuogopa.
Vipi weee hua yakutokeaje?
On Sasa bado waniquote na ulisema haujibu Tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...jealous kwa lipi mbabu wewe..umri vikanyagio vyangu...alafu siyo bun ni ban kizee weh
mkuu mi nashindwa kujielewa hasa nafall wapi,I bet you're Introvert right? Friends circle yako ipoje? Unahandle vipi swala la kufanya mtu uliyempenda sana kibaki maishani mwako