Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

Jiongeze mzee uende pm, love start by hate. Hate start by love

kwa bahati nzuri zaidi nina mke na watoto 6 tena mtoto wangu wa kwanza kijana yuko form 5 anamiaka 17 afu sinaga tamaa na wanawake mimi mana hakuna jipya nisilolijuwa kwa mwanamke....[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kwaiyo siwezi kwenda pm wala nn mm na yy tumemalizana hapa hapa...
 
kwa bahati nzuri zaidi nina mke na watoto 6 tena mtoto wangu wa kwanza kijana yuko form 5 anamiaka 17 afu sinaga tamaa na wanawake mimi mana hakuna jipya nisilolijuwa kwa mwanamke....[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kwaiyo siwezi kwenda pm wala nn mm na yy tumemalizana hapa hapa...
Watoto 6 sio kigezo cha kutokua na wengine nje hata uwe vipi. Nadhani unasema tu kwakua upo jf ila mwanaume ji mwabume
 
mkuu mi nashindwa kujielewa hasa nafall wapi,

maanake mi sio mtu wa outing sana social gatherings sana,hata nikienda kwenye events naenjoy Zaidi nikiwa na watu niliowazoea,

am not easy to make new friends and people to befriend me,lakini pia napenda sana kukaa home,kula kulala,kuangalia series,kusikiliza muziki,kama ni marafiki basi waje home tupige stori tupike chakula kizuri tule basi,sipendi kutembea,ila ukinikuta na kampan ya walionizoea hutoamini macho yako,sa sijui mi nafall wapi hasa mkuu,au mi ni nusu nusu?
You're totally introvert BlueG
Unaweza kupita hapa..
Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka
Luckily introvert wote hua brainy and well creative
kuhusu kumfanya mtu nayempenda sana abaki maishani mwangu huwa nafanya jitihada Fulani za kiasi,like kumwelezea kama nimeona dalili tofauti au kumweleza kuna kitu anafanya sipendi na kujitahidi kumrudisha then nikiona ndo kwanzaaaa haeleweki,huwa namkatia tamaa japo naumia mnooo,nalia sana lakini nakuwa sina namna tena and i cant keep on begging the person to stay in my life,so huwa nalet go baada ya kuwa nimefanya some jitihada za kumrudisha,if they don't work out nalet go with too much pain and tears, huwa inakuwa mbaya Zaidi kama huyo mtu yupo kwenye macho yangu kila siku,itanichukua muda sana kumove on na kuwa kawaida,ila kama yuko mbali at least its much easier to let go thats it mkuu.

sijui kama nimejibu swali lako mkuu maanake vichwa vimeshajamu siku hiz
Umenijibu ahsante bro!!
Vipi lakini ukiwa kwenye harakati za kumove On. Ukiona vitu vinavyokumbusha mtu huyo au kukumbuka moment ulizokua nae don't they trigger penzi lenu hilo?
Unamuwaza asiye kuwazia: Kwanini uteseke na mtu mmoja ambaye hana mpango nawe?
 
You're totally introvert BlueG
Unaweza kupita hapa..
Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka
Luckily introvert wote hua brainy and well creative
Umenijibu ahsante bro!!
Vipi lakini ukiwa kwenye harakati za kumove On. Ukiona vitu vinavyokumbusha mtu huyo au kukumbuka moment ulizokua nae don't they trigger penzi lenu hilo?
Unamuwaza asiye kuwazia: Kwanini uteseke na mtu mmoja ambaye hana mpango nawe?
dah mkuu asante kwa kunijuza maanake i never knew where i lie, i never knew what my personality really is,

hivi mkuu kuna namna ya kujitoa huko? au kufanya mazoezi ili kuwa both au kuabandon the intro thing to the extro?

oh nafurahi kama nimekujibu kaka,

Napoona vitu au kukumbuka mambo yanayonikumbusha mtu huyo,kiukweli kabisa inanikumbusha mengi plus moments za kummiss huyo mtu,wakati mwingine ni mimi mwenyewe ambaye huwa naamua kutafuta tafuta say picha zake (hasaaa picha) just to see the person,kwenye hatua za awali kuona chchote kinachonikumbushia mtu huyo hunipa stress na hisia za kummiss sana huyo mtu,ila kwa kuwa tumeshafikia mahali ambako there is no return,basi huwa naishia hivyo hivyo tu wala hainisukumi kurudisha upya what we had,kisha nikishazoea hata nione nini naona kawaida tu nakumbuka tu we once had a thing basi Maisha yanasonga mbele,(hii ni hasa kwa mtu aliye mbali nami,ila kwa aliye karibu na mi kila wakati kwa kweli ni changamoto nzito kumoveon,hasa unapoona ye anamove on with someone else,kwa hii nyingine mkuu kiukweli inachukua muda sana kumove on,sema ndo siwezagi kumlazimisha mtu abaki kwangu,huwa nabakia na maumivu yangu moyoni basi)

Sema mkuu kuna ishu nyingine huwa ninayo,sijui ntakuwa nina shida gani au ndo one of the intro traits?

yaani mkuu ni hivi mimi nikikuamini nimekuamini,sasa ishu inakuja pale trust inapovunjika kwa namna yoyote ile,tuseme sisi ni marafiki sana,au tuko tu karibu au hata wapenzi,basi ukinioneshea say dharau Fulani au kitu chochote kinachonifanya nitilie shaka loyalty yako kwangu,mkuu hata tukirudiana au ukaomba yaishe au ukajirudi by any means,trust me mkuu i will never be the same with you again,sawa tutakuwa close tena lakini i always be cautios with you,sintokaa niwe comfortable na wewe kama ambavyo nilikuwa hapo awali,hata nijitahidi vipi siwezagi kamwe mkuu,nini inaweza ikawa mbaya mkuu?
 
dah mkuu asante kwa kunijuza maanake i never knew where i lie, i never knew what my personality really is,

hivi mkuu kuna namna ya kujitoa huko? au kufanya mazoezi ili kuwa both au kuabandon the intro thing to the extro?

oh nafurahi kama nimekujibu kaka,

Napoona vitu au kukumbuka mambo yanayonikumbusha mtu huyo,kiukweli kabisa inanikumbusha mengi plus moments za kummiss huyo mtu,wakati mwingine ni mimi mwenyewe ambaye huwa naamua kutafuta tafuta say picha zake (hasaaa picha) just to see the person,kwenye hatua za awali kuona chchote kinachonikumbushia mtu huyo hunipa stress na hisia za kummiss sana huyo mtu,ila kwa kuwa tumeshafikia mahali ambako there is no return,basi huwa naishia hivyo hivyo tu wala hainisukumi kurudisha upya what we had,kisha nikishazoea hata nione nini naona kawaida tu nakumbuka tu we once had a thing basi Maisha yanasonga mbele,(hii ni hasa kwa mtu aliye mbali nami,ila kwa aliye karibu na mi kila wakati kwa kweli ni changamoto nzito kumoveon,hasa unapoona ye anamove on with someone else,kwa hii nyingine mkuu kiukweli inachukua muda sana kumove on,sema ndo siwezagi kumlazimisha mtu abaki kwangu,huwa nabakia na maumivu yangu moyoni basi)

Sema mkuu kuna ishu nyingine huwa ninayo,sijui ntakuwa nina shida gani au ndo one of the intro traits?

yaani mkuu ni hivi mimi nikikuamini nimekuamini,sasa ishu inakuja pale trust inapovunjika kwa namna yoyote ile,tuseme sisi ni marafiki sana,au tuko tu karibu au hata wapenzi,basi ukinioneshea say dharau Fulani au kitu chochote kinachonifanya nitilie shaka loyalty yako kwangu,mkuu hata tukirudiana au ukaomba yaishe au ukajirudi by any means,trust me mkuu i will never be the same with you again,sawa tutakuwa close tena lakini i always be cautios with you,sintokaa niwe comfortable na wewe kama ambavyo nilikuwa hapo awali,hata nijitahidi vipi siwezagi kamwe mkuu,nini inaweza ikawa mbaya mkuu?
Hongera na pole mkuu.
Kuhusu suala lako ilo la aya ya mwisho wala usijione ovyo kabisa. Ndio nafsi yako inavyojitahidi kuulinda roho yako ili usiumizwe tena. It's obviously nafsi inapoona roho imeumizwa basi hutengeneza defense mechanism ya kutokuumizwa na mtu huyo kwa kutokumuamini tena. So don't feel vibaya kabisa juu ya hilo ni kwa faida ya uhai na furaha yako
 
Habari wakuu.

Kwenye mizunguko yetu ya maisha kuna wakati unakua upo very attached na mtu Fulani either ni rafiki wa kawaida kama Man to man au Man to woman, pengine ni mpenzi wako umpendae sana sana. Yaani unakuta una mpenzi roho yako imetokea kumpenda sana husikii wala huoni juu yake, kila muda unatamani uwe nae karibu au kuwasiliana na nae. Au kama ni rafiki yako wa kiume unakua kila ukitaka kufanya kitu Fulani unamstua mshikaji wako, yaani kama kuna ishu unatka kufanya mshikaji wako bila kuwepo unaona unaifanya kimagumashi. Kiuhalisia unakua upo mentally attached to that person, unakua umempa nafasi kubwa sana mpenzi wako au mtu huyo kwenye akili yako na maisha yako kwa ujumla.

Je huo upendo na nafasi kubwa uliyompatia kwenye maisha yako ushachunguza kama naye anakupatia nafasi hiyo? Jibu ni No! na kama ni Yes basi nafasi hiyo amekupa kwa muda, kuna muda utamtext atakujibu kwa wakati wake, utatamani kuongea nae ila yeye ataona unaboa tu, utataka uonane nae yeye atakuona msumbufu.

Ikifika hatua unaona mtu yupo online unamtext pm ana like tu, unamtext wasap ana soma then anakaa kimya sana au unamtext kwa sms halafu yeye kaka kimya wakati unajua hiyo sio kawaida yake jua kwamba huna chako hapo, utakua unalazimisha mawasiliano, mapenzi au urafiki ambao mwenzako hautaki tena.

Kwanini ulazimishe mawasiliano au mapenzi ? Kila kitu chatokea kwa sababu. Unajua unapompenda na kumjali mtu sana kiasi asicho stahili utaishia kupata maumivu usiyo stahili..

Subconscious mind hutenda kazi ikishirikiana sambamba na Nature, kuna hali Fulani unawez kua nayo katika maisha labda ni upweke,huzuni,kukosa faraja kiufupi unakua huna furaha au amani ya maisha. So kinachotokea ni kwamba
Subconcious mind inawasiliana na Nature kua mwanadamu huyu (yaani wewe) una matatizo Fulani maishani inaiamuru nature kutafuta mtu wa kuja maishani mwako ambae ataendana na hali ile uliyonayo.

Baada ya muda mfupi utajikuta umepata rafiki ukawa nae anakuliwaza kweli hadi ile hali ikawa imeisha..Mind ikishaona mentally ya huyu mtu iko stable inamuamuru nature kuruhusu yule mtu kuondoka au akaendelea kubaki. Hapo sasa ndio utaona umepata rafiki labda ni mwanamke au mwanaume akawa anakupa company sana kwa hali uliyonayo kwa muda Fulani (hata mwaka mzima. Unajikuta umekua attached sana na mtu huyo then inafika muda bila sababu yoyote ile ya msingi unaona mawasiliano na urafiki unapungua taratibu then unaisha kabisa. Hapo nature inakua ishafanya yake..

Nachotaka kusema ni kwamba watu ambao mpo kwenye mahusiano jifunzeni kusoa alama za nyakati, so unaona hapa mapenzi au urafiki unaanza kuisha ila wewe ndio bado unazidi kuongeza kupiga simu na kumfuata ili aendelee kubaki…Kijana kila kitu kinakuja kwa muda na sababu Fulani, hutakiwi kutumia nguvu kubwa kumfanya mtu aendelee kubaki kwenye maisha yako. Mtu kama ni muhimu kwenye maisha yako atakuja mwenyewe na kukaa nawe daima, huna haja ya kulazimisha.

Kwanini ulazimishe mahusiano? Watu wote hawa waliojaa duniani au unadhani yeye ndio bora pekee kuliko wote, mwache aende labda alikua sio riziki ya maisha yako! Utapata mwingine. Kikubwa zaidi ambacho hutakiwi kukifanya maishani mwako ni kupuuzia ubaya wa mtu anaokufanyia kwakua unahitaji mtu huyo aendelee kubaki maishani mwako, train your mind to be stronger than your feelings.

Kingine maishani mwako usionyeshe wema au uzuri wako ili uwafanye wavutiwe nawe, waonyeshe ule upande wako ambao ni mbaya uone kama watakuvumilia au wataondoka. Wakiondoka usijali jua ni watu fake. Be real that’s beautiful enogh kijana.
Mwaka mpya,misimamo mipya..Uliumbwa mwenyewe! Huyo mpenzi au rafiki yako umpendae sana ambae unaona huwezi fanya kitu bila yeye ni wa kupita tu.

Hamishia nguvu zote kwa mama yako ndio the best one ambae hatakuja kukusaliti. Jiamini katika uwezowako, unaweza kufanya makubwa bila mpenzi wako huyo ambae unaona huwezi fanya kitu kikafanikiwa bila yeye.If you Doubt your power, you power your doubt.

Binafsi hua sijali wala kujutia chochote maishani mwangu, ukinipenda Ahsante na karibu, ukiondoka hamna shida pia.. you weren't meant to stay in my life, if you were! You will stay in my life forever
A guy has said, It’s up to you To choose me or to loose coz I’m not a second choice
With or Without you, I shine!

Vers
Never beg to be Loved plsss
 
Haya maneno hayafanyi kazi kwa mtu anayempenda mtu kweli.
Wanasema "if you love something, fight for it".
Yaani ukae uache kupambana ukidhani kwamba atakuja mwenyewe?.
Unaakili sana ukimpenda mtu huwezi kubali kumwacha kirahisi hisi labda Kama ulikua humpendi- kukubali unakubali Ila sio kirahisi
 
Mimi iko tofauti, kwa miaka takribani 9 the guy alikua akinisihi nibaki maishani mwake lakini haikuwahi kuwa vile alivyotamani iwe. Nilikuja kukata mawasiliano kwa makusudi aweze kuendelea na maisha yake. J kokote uliko nakuwish maisha marefu ulikua mwanaume mwema lakini moyo wangu ulikosa hisia za kweli juu yako.
Don't worry, J is probably fine and moved on.
 
Kiongozi untaka kuchukua points za mezani[emoji3][/QUOTE
Hapana mkuu Mimi pia ni introvert kama wewe hahahaaaa....si unajua "Sie" ma introvert tunataka mpk watupende wenyewe

Hahaaa
It's easy Sunday....
(Edited)
 
Habari wakuu.

Kwenye mizunguko yetu ya maisha kuna wakati unakua upo very attached na mtu Fulani either ni rafiki wa kawaida kama Man to man au Man to woman, pengine ni mpenzi wako umpendae sana sana. Yaani unakuta una mpenzi roho yako imetokea kumpenda sana husikii wala huoni juu yake, kila muda unatamani uwe nae karibu au kuwasiliana na nae. Au kama ni rafiki yako wa kiume unakua kila ukitaka kufanya kitu Fulani unamstua mshikaji wako, yaani kama kuna ishu unatka kufanya mshikaji wako bila kuwepo unaona unaifanya kimagumashi. Kiuhalisia unakua upo mentally attached to that person, unakua umempa nafasi kubwa sana mpenzi wako au mtu huyo kwenye akili yako na maisha yako kwa ujumla.

Je huo upendo na nafasi kubwa uliyompatia kwenye maisha yako ushachunguza kama naye anakupatia nafasi hiyo? Jibu ni No! na kama ni Yes basi nafasi hiyo amekupa kwa muda, kuna muda utamtext atakujibu kwa wakati wake, utatamani kuongea nae ila yeye ataona unaboa tu, utataka uonane nae yeye atakuona msumbufu.

Ikifika hatua unaona mtu yupo online unamtext pm ana like tu, unamtext wasap ana soma then anakaa kimya sana au unamtext kwa sms halafu yeye kaka kimya wakati unajua hiyo sio kawaida yake jua kwamba huna chako hapo, utakua unalazimisha mawasiliano, mapenzi au urafiki ambao mwenzako hautaki tena.

Kwanini ulazimishe mawasiliano au mapenzi ? Kila kitu chatokea kwa sababu. Unajua unapompenda na kumjali mtu sana kiasi asicho stahili utaishia kupata maumivu usiyo stahili..

Subconscious mind hutenda kazi ikishirikiana sambamba na Nature, kuna hali Fulani unawez kua nayo katika maisha labda ni upweke,huzuni,kukosa faraja kiufupi unakua huna furaha au amani ya maisha. So kinachotokea ni kwamba
Subconcious mind inawasiliana na Nature kua mwanadamu huyu (yaani wewe) una matatizo Fulani maishani inaiamuru nature kutafuta mtu wa kuja maishani mwako ambae ataendana na hali ile uliyonayo.

Baada ya muda mfupi utajikuta umepata rafiki ukawa nae anakuliwaza kweli hadi ile hali ikawa imeisha..Mind ikishaona mentally ya huyu mtu iko stable inamuamuru nature kuruhusu yule mtu kuondoka au akaendelea kubaki. Hapo sasa ndio utaona umepata rafiki labda ni mwanamke au mwanaume akawa anakupa company sana kwa hali uliyonayo kwa muda Fulani (hata mwaka mzima. Unajikuta umekua attached sana na mtu huyo then inafika muda bila sababu yoyote ile ya msingi unaona mawasiliano na urafiki unapungua taratibu then unaisha kabisa. Hapo nature inakua ishafanya yake..

Nachotaka kusema ni kwamba watu ambao mpo kwenye mahusiano jifunzeni kusoa alama za nyakati, so unaona hapa mapenzi au urafiki unaanza kuisha ila wewe ndio bado unazidi kuongeza kupiga simu na kumfuata ili aendelee kubaki…Kijana kila kitu kinakuja kwa muda na sababu Fulani, hutakiwi kutumia nguvu kubwa kumfanya mtu aendelee kubaki kwenye maisha yako. Mtu kama ni muhimu kwenye maisha yako atakuja mwenyewe na kukaa nawe daima, huna haja ya kulazimisha.

Kwanini ulazimishe mahusiano? Watu wote hawa waliojaa duniani au unadhani yeye ndio bora pekee kuliko wote, mwache aende labda alikua sio riziki ya maisha yako! Utapata mwingine. Kikubwa zaidi ambacho hutakiwi kukifanya maishani mwako ni kupuuzia ubaya wa mtu anaokufanyia kwakua unahitaji mtu huyo aendelee kubaki maishani mwako, train your mind to be stronger than your feelings.

Kingine maishani mwako usionyeshe wema au uzuri wako ili uwafanye wavutiwe nawe, waonyeshe ule upande wako ambao ni mbaya uone kama watakuvumilia au wataondoka. Wakiondoka usijali jua ni watu fake. Be real that’s beautiful enogh kijana.
Mwaka mpya,misimamo mipya..Uliumbwa mwenyewe! Huyo mpenzi au rafiki yako umpendae sana ambae unaona huwezi fanya kitu bila yeye ni wa kupita tu.

Hamishia nguvu zote kwa mama yako ndio the best one ambae hatakuja kukusaliti. Jiamini katika uwezowako, unaweza kufanya makubwa bila mpenzi wako huyo ambae unaona huwezi fanya kitu kikafanikiwa bila yeye.If you Doubt your power, you power your doubt.

Binafsi hua sijali wala kujutia chochote maishani mwangu, ukinipenda Ahsante na karibu, ukiondoka hamna shida pia.. you weren't meant to stay in my life, if you were! You will stay in my life forever
A guy has said, It’s up to you To choose me or to loose coz I’m not a second choice
With or Without you, I shine!

Vers
The heart only want what it wants.
 
Dah.. I understand how J felt nami nilipitia hiyo hisia, kumpenda mtu lakini ndani ya moyo wako unajua kabisa haiwezekani kuwa naye,

Na huyo unayempenda hawezi kulazimisha moyo wake ukupende (na unaona alijaribu lakini akashindwa) accepting defeat and letting go is the hardest part [emoji22] inauma sana
Trust me it was horrible experience but as they say time is the best healer
 
Back
Top Bottom