Ilo haliwezi kurudi kamwe, nitafutie lingine.Kama kawaida yangu mkuu ww si hutaki kumrudisha felister
Aisee mimi nimeumizwa sana na marafiki kipindi nakua...hii imeniathiri mpaka sasa..rafiki yangu anaweza jua nipo nae sambamba kumbe simwamini hata tone...hata wanawake hivyo hivyo sijawahi penda demu nikachanganyikiwa hata kupenda tu kwangu shida...Muda wako haujafika kiongozi utalia na kusaga meno..hayana mbabe and it's matter of time
Weeeee!!!!!!Eh nakupenda, lemme face you.
😂😂😂!
Vita na nani tena? Ngoja nije PM tuyajenge 😂😂Weeeee!!!!!!
Vita naiweza mimi??? Sitafuti balaa la kujitakia😀😀😀😀😀😀
Ndio, Oct we si ulisema hutokuwepo?Serious nikutafutie?? Gimme one day na ukiweke.
Oct haijafika??🙄🙄
Unakuja kuni-seduce au???Vita na nani tena? Ngoja nije PM tuyajenge 😂😂
Nimeshavuka hiyo stage ..huo Ni utotoMuda wako haujafika kiongozi utalia na kusaga meno..hayana mbabe and it's matter of time
Hatari sana arif.Nimeshavuka hiyo stage ..huo Ni utoto
Habari mkuu ... Kulia Lia kwaajili ya mahusiano at this age huo Ni ujinga .Yaani una mlilia mtu ambaye huwenda huo wakati hata hakuwazi Yuko busy na mambo yake' ??🤔Hatari sana arif.
I will never cry because of love, ever again!!!
Nzuri sheikh wangu.Habari mkuu ... Kulia Lia kwaajili ya mahusiano at this age huo Ni ujinga .Yaani una mlilia mtu ambaye huwenda huo wakati hata hakuwazi Yuko busy na mambo yake' ??🤔
Kweli chiefNzuri sheikh wangu.
Utoto raha mkuu
Na zitakuua kweli usipokuwa makini,na huyo anayekuletea stress ataendelea kudunda na maishaKweli kabisa maana stress zinataka niua
Haya pole. Ukute unayempenda anampenda mwingine hata hakuwaziNikipenda nimependa wala hata hua sijali dah
Sababu atakuwa nazo tena za msingi. Au labda kapata aliyempemda zaidi ya wewe unavyompendaSasa kwanini anionjeshe kumpenda hadi nampenda hvi vyote?[emoji45][emoji45][emoji22]
Itakuwa alikuja kwa urafiki tu wewe ukazimisha mapenzi na yeye hataki. Potezea umove one..dunia hii imejaa warembo kibao unajipa stress za bure.Sasa kwanini alikuja akiwa hanipendi zaidi kama sio kutaka kutesana??[emoji17]
Pole mkuu vipi ulifanikiwa??Niko hp nafight for what I love ila nimebakiza phase 2 tu zikishindikans na hizo basi tena nitaacha aende though something deep inside is telling me that one day atakuja kunitafuta nikiwa sipo kabisaa sababu ninajijua....sababu ss hv bado ni kitu roho inapenda acha nimpe efforts zangu muda hizo chapter 2 zikipita hamna mafanikio nitaweka tick kua sio fungu langu[emoji847]
Wewe tangu 2018 me tangu 2016 mpaka leo nimepambana tu na nimekuja kuona mafanikioPole mkuu vipi ulifanikiwa??
Binafsi naona imeshindikana.... Nakumbuka tangu 2018 May nimejaribu kupambania nnachokipenda bila mafanikio ndipo tarehe 22/11/ niliamua rasmi kubwaga manyanga na kuamua kusonga mbele ajabu yeye ndio anashtuka Hali Mimi nimeshafanya maamuzi tokea ndani... Acha tu aende siwezi tena.