Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

Ujumbe mzito sana
 
Hahahahaha ni fala sana wewe chaliii anguu
 
Ushauri wako na maneno yako ni kweli kabisa.. Tatizo mkuu moyo..Kwa mie ambae napenda kua na kitu kimoja tu always mbona kazi ninayo.
Mzee baba itakua either umeumizwa saa so umekua monster au hujaumizwa hujui ilivyo..😆
 
Ushauri wako na maneno yako ni kweli kabisa.. Tatizo mkuu moyo..Kwa mie ambae napenda kua na kitu kimoja tu always mbona kazi ninayo.
Mzee baba itakua either umeumizwa saa so umekua monster au hujaumizwa hujui ilivyo..[emoji38]
Waache waje maishani mwako,wakichoka waache wasepe kama walivokuja,na wewe huko unakoingia,ingia tu ukichoka sepa kimya kimya bila kelele,ndo cycle tuliyomo mzee baba ,hizi illusion za UNCONDITIONAL LOVE/FRIENDSHIP ukizifata utapata tabu Sana,UNCONDITIONAL LOVE ni highest expression ya Divinity,ni kitu Sacred, And humans aren't that sacred,they aren't even close to sacredness ,
Binadamu mostly tunaishi maisha mawili
1.maisha ya kwanza ni for Public display (highest form of hypocrisy) maisha yaliyopakwa rangi za uongo na kweli
2.maisha ya pili ni maisha yetu halisi,hii ni intrinsic feelings na Emotions,(hii part huwa inafichwa) huku ndo kuna makorokoro kibao,hii part ni sawa na mzazi aliyezaa mtoto mlemavu anamficha ndani ili watu wasijue,ila huyu mtoto kuna wakati anaforce kutoka nje,ndo Inakuwa AIBU,hata huyu amefanya hiviii?
Kumbe anafanya kila siku kimyakimya ni siri yake tu .

Hayo maelezo hapo juu yanatuhusu binadamu wengi mno.
 
Nikupe pole sana..ukweli ni kwamba kuna wakati hata uwe gaidi kivipi.. there's a point of no turning back. Yaani lazima ushikike tu maana everyone need to belong to someone..who Love
Pole sana je una mpango wa kutafuta mbinu za kumpoteza
 
Safi sana [emoji870]
 
Nikupe pole sana..ukweli ni kwamba kuna wakati hata uwe gaidi kivipi.. there's a point of no turning back. Yaani lazima ushikike tu maana everyone need to belong to someone..who Love
Pole sana je una mpango wa kutafuta mbinu za kumpoteza
Nshajaribu several times lakin hataki kuondoka na i feel guilt kumfukuza kwa force maana we have beeen close kwa kwel hata ushauri wa kimaisha ananipea sana, sijui hata nifanyeje ( hajui kama nawaza juu ya haya mahusiano yetu, anaona tu namchukulia poa, namdharau etc
 
Kwanini unataka mtengane
 
Maisha haya we acha tu!nilidumu nae kwa muda wa mwaka mmoja kwenye mahusiano,nikagundua hana sifa ya kuwa mke!anakunywa pombe wakati mimi sijawahi ,anapenda kutoka lkn mimi ni mtu wa home tu,muongeaji sana wakati mimi mkimya,lkn alijaribu kuendana na lifestyle yangu lkn haikuwa ndani yake ilikuwa just kufake tu!niliamua kumuacha ila kila niki move on nashindwa kufurahia mahusiano mapya!japo ni tabia zake mbaya natamani nirudi tena!yaani moto unauona ule pale!lkn moyo unakwambia nenda tu hivyo hivyo [emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…