Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

Mkuu nimehuzunika hiyo ya kutumiwa kama reference ya mambo mabayani fact kabisa....hata wazazi pindi tukiwa wadogo utasikia wanasema "umeanza jeuri utakuwa kama fulani"

Kushinda hiyo hali ni ngumu sana, maana unavyojitahidi kuweka mambo sawa ndivyo unavyozidi kuharibu
 
I just feel and Breath You🌹🌹🌹
 
Babe I'm gonna Miss you

Giving all the love I feel for you
Couldn't make you change your point of view
You're leavin'
Now I'm sittin' here, wastin' my time
I just don't know what I should do
It's a tragedy for me
To see the dream is over
And I never will forget the day we met

Girl I'm gonna miss you
 
Upendo ukishapungua uendelew kufosi??
Sometimes anakua anakupa red light kua mwisho umewadia
Awajaelewa aseee yan hapo ni kwamba after maybe mwaka mmoja hivi unaona mbona kama nalazimishaa charting
 
😒😒
Baby, I wanna drink you in like oxygen, like oxygen
Baby, I'm a house on fire
And I want to keep burning
Going on up in flames
And you're to blame, yeah, you're to blame
Baby, I'm a house on fire
 
Walaaaaaa.... I'm good kabisa mimi siwezi teseka kisa Mwanamke. Never

Yupi huyo niliyepora????

No thanks co sina maumivu yoyote
Ati never! Never system au never what..? Ukipata wa kuukata huo utepe never mbona nyuzi zako zitabadilika ghafla..πŸ˜‚

Si baada ya yeye kutoka kuumia we ukadandia Sasa keshakutenda unakuja na misamiati never..🀣
 
Ati never! Never system au never what..? Ukipata wa kuukata huo utepe never mbona nyuzi zako zitabadilika ghafla..πŸ˜‚
Kwa humu jf naona mtu mmoja tu anaweza badili msimamo wangu ila sidhani kama naweza kuteseka au kuumia kisa mapenzi. Kwanza mtu hadi anipende mimi atakua kakosa nini hukoπŸ€·πŸ»β€β™‚οΈπŸ€·πŸ»β€β™‚οΈ
Si baada ya yeye kutoka kuumia we ukadandia Sasa keshakutenda unakuja na misamiati never..🀣
Sina mpenzi maishani mwangu mimi, I'm Just me. Hata akiwepo hawezi umiza hisia zangu coz Habari za mapenzi hata sizipi kipaumbele kwangu
 
πŸ˜‚πŸ˜‚ Sawa mkuu.
 
Yakwangu yapo hadharani weye Sasa kinavyoumana huko..🀣
Ya kwangu yapo hadharani pia.. I've no feelings and I don't wanna to be felt.
Endelea kuteseka na my wako tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…