Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

Tafadhali tupe stori jinsi Mary alivyouchuna moyo wako Mkuu.
Hua natamani nami hii initokea nijue uchungu halisi wa kuumizwa na Ke upoje
 
Tafadhali tupe stori jinsi Mary alivyouchuna moyo wako Mkuu.
Hua natamani nami hii initokea nijue uchungu halisi wa kuumizwa na Ke upoje
Ni kastory kaefuuuu sana mkuu!! ila kwa ufupi sana.... ila sasa physical appearance ndo inatumalizaga sisi watu me
Mpole, mwili wa kati, Maji ya kunde!! halafu ni mdogo kwangu kiumri!! alikuwa msikivu! halafu kasura sasa weeee!! kipiua hivi...tuvidole sasa km twa watusi vilevile!

Mbali na umbo la nane nane, macho yake km ana usingizi!! kikubwa zaidi hekima zake banawee! kuhusu maisha, Biashara pia sikupungukiwa! hakuwa mkorofi km Thacha, wala mbishi! ukikosea anakupa makavu kifupi alikuwa na hekima!

alikuwa km mchawi vile siku nimeanza ishi nae bana!! sikujua shida kabisaaaaa! kuhusu mapene! chochote nilicho fanya kili tick! kila hitaji lilikamilika! kwa mara ya kwanza nikapata scholarship! iliyo shindikana miaka kibao! tena full kulipiwa!!

km mie ndo nilikuwa mkorofi vile lkn alijua kutatua...
 
Ni kweli yoyote anaweza kubadirika. Ila kwa mama yangu, My mom. Hapana she'll always be my first favorite person in the earth.
Hawezi kunigeuka, nikikumbuka alivyokua ananifichia chakula baba akicharuka home
Mkuu sema hivi ''utasamehe hata akikugeuka au mapungufu kivipi!!! huyo hata akikuchoma Mwili mzima ukabaki na makovu!!! utajilidhisha tu kwamba ''karogwa sababu watu wanakuonea wivu anavokupenda!'' achana na kitu upendoooo!

Ungejua wadada wanavo toa mimba!! huko mahospitalini???? heee!! sasa huyu aliyetolewa mimba sasa apone hawezi kumkana *****??? hata ufanyeje! atajua tu ni kibri ya Baba kumkataa Mama!
 
Daah mkuu post nzima umemsifia hata hujaeleza kisa kilivyokua
 
Siwezi wasemea mama wa wengine ila upande Wangu my mom She's the First person to me. She's worth dying for.
 
Eladius huyu jamaa alikua rafik angu chuo kikuu...tulifanana KILA kitu....tulipo enda nae home baba angu mkubwa alikua anasema....yaan ni maajabu tulifanana tabia zote....

Yaan asicho penda na mm sikipendi....
Tulifanana kimawazo na mitazamo...

Yaan ni muda tu ndio umetutenganisha ila tunawasilianaga Mara Moja mojaa
 
Ntakuja kueleza kisa changu one day nikiwa kwenye hali ya utulivu comrades
 
Pole sana mkuu, what happened??
Mkuu nilikuwa na malengo nae huyu binti na ni one of the best woman kati ya niliowahi waona....

Ila kutokana na umbali, nilivyorudi likizo fulani nikakuta anaolewa na kama hiyo haitoshi alikuwa na mtoto mmoja a baby boy.....

Sema inauma na kuchanganya kweli huwezi pata kila kitu kwenye maisha, ukitafuta pesa utapata ila yule aliefamya utafute atakuwa mbali huko...unabaki jifariji na meterial things.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…