Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

Pole sana kiongozi maisha ndio yalivyo, nature haitupatii vile tunavyotamani na kuhitaji bali inatupatia vile vitufaavyo. Shida moyo hua haukubali huu ukweli wenyewe unajali umemoenda fulai haijalishi ndio anakufaa au hakufai .

Shukuru Mungu unahayo material things ya kujifarijia wengine hata hayo hatuna, yaani maisha yetu ni kama vile tinasindikaiza au tunapoteza muda tu hapa ulimwenguni
 
This is me kabisa....sema mimi naweza manage mazungumzo kiasi chake nikachangamsha watu alafu ghafla nakaa kimya jumla
Life goes on mate, niko namsikiliza Pac hapa naona mistari yake inaendana nasi..
Bury me smiling with G's in my pocket
Have a party at my funeral, let every rapper rock it
Let the hoes that I used to know
From way before kiss me from my head to my toe
Give me a paper and a pen so I can write about my life of sin
A couple bottles of gin in case I don't get in
Tell all my people I'm a Ridah
Nobody cries when we die, we outlaws, let me ride
Until I get free, I live my life in the fast lane

We have to keep our Head Up mate coz nobody think about you, no one feel sorry for you
 
Hii mada inatugusa [emoji817]% nilikuwa nina washikaji fulan nilijitahidi sana kuwaweka karibu lakini ikafika wakat nikachoka nikajisemea kwani bila hawa watu maisha yangu ndio basi but tangu kipindi hicho sina mda na mtu mpk leo namshukuru mungu mke wangu ananipa kampan kubwa sana ila shobo sio nzuri wananzengo
 
Hongera sana kwa kupata kampani toka kwa mkeo, Kwakweli siku nikibahatika kupata mpenzi basi ndio itakua mara ya mwisho kutumia JF.
 
Huyu ni mm kabisa
 
hii mada imeniponya kwa kiasi kikubwa mnoo, nliingia kwny mahusiano na jamaa mmoja. Nlijikuta tu nampenda saaana, sku moja nikamuuliza je; uhusiano tulio nao unalenga kufka wap? Yaan hatma ya mahusiano yetu n nn?? Loooh! Mpk leo smuoni hahaha swali hilo tu limemkimbiza.

sjui alitaka kunipotezea muda mtt wa wenyewe, ingawa nlimpenda mnoo kwakuwa anaroho njema mnoo. Lkn nyuma ya pazia alikuwa ana makando kando yake mazto tu. Fkiria mtu ana miaka 37 anawatoto wqwil kila moja na mama yake na bado anakula ujana
 
Pole mwaya kwa yaliyokukuta. Ndio maisha hayo coz tunadeal na wanadamu ambao tunamapungufu yetu.
Btw naamini ninaroho njema pia, Kama hutajali tafadhali. I'm not taking advantage of you
 
Wanaume hatuna gubu midomo yenu tu, mimi sijui kujibizana. Ni kipigo tu utajibizana nacho😅😅
 
me sku napigwa ndyo sku narud kwetu, hakuna kitu naogopa kama kupigwa uwiiii! Yaaan mtu ukiniambia tu utanipiga bas nakosa amani, naweza umwa ghafla.
Mimi siwezi kukuambia nakupiga utashtukizia tu unaona nyota nyota. Wanaume wa dar ndio hutoa hizo ahadi kua nitakuchapa, Luckily I'm not aggressive Napenda kumaliza tofauti zangu kwa njia ya amani. Ila mwanamke usipomuonyes Masculinity n aggression hua anaona mwanaume kama shosti wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…