Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

Let it go!!!!! Mzee

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Kuna ugonjwa wa masikio unaitwa Tinnitus, yaani sikio muda wote linakua kama kuna sauti inalia kwa ndani. Sasa mimi hii ipo kwenye kichwa yaani kama kuna watu wanajadili kichwani, ukisema usiku ulale yaani ndio hali inazidi. Ndio maana najikuta naingia kitandani saa 3 nakuja kupata usingizi sa 8.
Dawa pekee ya hili tatizo ni mpaka kile ninachokua nakiwaza nikitoe kwa kukiandika, ndio maana utaona nina utitiri wa nyuzi nyingi. Ila kwa sasa nashindwa kuandika kila mara tena jili ya muda😔 sasa matokeo yake usingizi sipati.
Looh nimejielezea sana hadi aibu
 
Hilo unalosema la kuhisi kuna sauti kichwani nime experience week kadhaa zilizopita. Nliamua niende nikapoteze muda kwenye mkesha wa mwenge, nikacheza ,kuruka sana etc

Imefika asubuhi masikio nahisi yameziba na muda wote nasikia beeping sound kichwani aiseee ilikuwa ni bonge la karaha karibia siku 3 ndio ile hali ikapotea.
 
Kwanini mnpenda ku-generalize?? Usiseme wanawake sema mwanamke maana sio wote....haiwezekani wanawake wote wawe na tabia moja..afu wanaume ndio mnaotuvuruga na nyie ndio mmesababisha tufike hapa tulipo
Hamna bwana, generalization inakuja sababu wanawake katika kufanya maamuzi ya mahusiano huwa hamtumii akili binafsi, kama sio kutumia akili ya group basi mtatumia akili ya kamati ya marafiki.

Matokeo yake ndio haya sasa wanaume wanawaona sawa nyote kuwa mnafanana.

Tazama makosa wanayofanya wanawake katika mahusiano utagundua yanafanana na matokeo yanafanana. Halafu wakishaharibu ndio unaona wanaanza kukaza akili na kujifanya wanaweza sasa kutumia akili. Hii ndio inasababisha wanawake muonekane nyote mwalimu wenu m'moja.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
This is the sad truth. I have dealt and endured this in more than 5 times. Most girls lack home trainings and don't want to fix themselves to be okay, they believe they are strong but deep inside they are weak.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
[emoji3][emoji3]
 
Hao good men ndo wanafananaje?,tunawatambuaje? Si ni wanaume hawahawa....hakuna mwanamke anaependa kuingia kwenye mahusiano mabovu..haohao good men ndo wanakuja kutuingiza kwenye toxic relationship tunaanzia patamu tunamalizia pachungu.
Hii sio kweli. Tena you know deep down inside unaongea kitu ambacho si kweli. Niambie hapa , first time ya wewe kuhisi upo kwenye situation ya mahusiano yaani haujaanza mahusiano ila ndio umehisi mtu huyu hapa anataka tulianzishe, je?

1. Ulimtongoza au alikutongoza yeye kwanza?
2. Nini kilipita katika fikra zako mara hiyo ya kwanza, ulipata msisimko wa mahaba juu yake au hofu ya huyu kijana anaongea vitu gani mbona simuelewi?

3. Je katika experience ya mahusiano hakuna situation umeshawahi kutana nayo kuna mwanaume alikupenda na haukuwa na sababu ya msingi ya kumwambia hapana ila ukachagua kumwambia hapana sababu ulimuona yupo available na muda wowote ukimtaka utampata?

4. Hakuna mwanaume kwenye maisha yako ambaye ulimkumbuka unakumbuka kumuumiza na unatamani urudi nyuma usimuumize the way ulimuumiza?

Haya maswali nimekuuliza ni very technical ukijibu kwa uongo then jua unaficha ukweli na ukisema ukweli wako jua unaweza kusaidia binti mwingine asifanye makosa.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
The fact kwamba hujui good men wakoje then hilo ni tatizo.
I have seen this too. Ni sawa na mtu hajui kuchagua migahawa mizuri anakula sehemu wanapika hovyo then analaumu labda mkoa fulani hawajui kupika.

Like go to the best restaurants and enjoy good food first before you call out the whole region on a bad food taste, jeez.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
[emoji3][emoji3]
Tazama makosa wanayofanya wanawake katika mahusiano utagundua yanafanana na matokeo yanafanana
Kuhusu kufanya makosa ya kufanana mbona hata wanaume wanafanya the same thing,hakuna jipya kwenye mapenzi makosa ni yaleyale.
 
Huyo lazima shida ilianza kwa mama yake. Ukifuatilia utakuta hivyo. Ukiona binti anaongea mambo ya kusadikika jua akili chafu aliyonayo amerithi kwa mama yake.

Hiyo kitu kisaikolojia wanaita Emotional incest au Convert Incest. Unakuta bi mkubwa anakaa na binti yake mtoto wa miaka 12 anaanza kumwambia kuhusu namna baba yake anacheat na wanawake halafu anamalizia kwa kusema "yaani wanaume hawa mwanangu ukija kuwa mtu mzima utajionea uombe MUNGU tu yasikukute"

Haya mahubiri huendelea hadi mtoto anakuwa mkubwa mtu mzima vile vitu vinakuwa kichwani so anapofikia umri wa kuanza mahusiano say 18 years anaanza kuwa very picky kwa wanaume. Anakuwa anahisi vitu kwa kuimagine na sio kwa kuona au kufanyiwa.

Matokeo yake nafsi inakuwa inaridhia kuwa alichosema mama yake ni kweli. Sababu atakuwa anawakorofisha wanaume kwa makusudi kama anavyokukorofisha wewe ili approve maneno ya mama yake, na hata ukiwa mtu poa atakutibua ili kutest character yako na kuona how long utaweza himili vituko vyake, ukishindwa ndipo na yeye anasema "Bingo" mama alikuwa sahihi, ila ukivumilia ndio hivyo tena ataendelea kukutibua day by day hadi pale atakapochoka na kushindwa utoto wake.

So kimsingi chunguza sana binti mama yake yupoje utaona ninachokwambia. Shida hapo ni mama yake ndio kamtengeneza mtoto hivyo.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…