Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

Wewe tangu 2018 me tangu 2016 mpaka leo nimepambana tu na nimekuja kuona mafanikio
Inshort nilikuwa kama mstari wa roma Nataman Ngono ila sina hisia za mapenzi maisha yangu yalikuwa hivyo ila Nilikutana na JW nikasoma vitabu vyao Nikamua kubadilika mtazamo wangu nitafute wa kumpenda
kuna dada alikuwa rafiki angu sio sanaa kutokana alikuwa ni mkimya hapendi kuongea nikaanza kujikeep busy na yeye 2016 Nikarusha ndoano ikachomolewa nikasema sikati tamaa nimeenda nae as friends hivyo hivyo mpaka nimekuwa mtu muhimu sanaa kwake Kwenye kumbukumbu yake ya kuzaliwa mwaka huu amefunguka hisia zake kwangu Mambo yamejipa soon naweza agana na ubachelor...
Woooow hongera Sana mkuu,
 
Stop texting first.. to see how many people care for you
Mi nilikuwa na huu wehu. Friendship sijui mapenzi unayashikilia kama aorta.
Simu uanze wewe
Text uanze wewe
Chats uanze wewe.
So nikaamua hivi.
Kujiondolea kiherehere.
NAFUTA NAMBA YA MTU nayekuwa nimeona huwa lazima nianze mimi.
Nikifuta nahesabu masaa,Dk,Siku, wiki, mwezi.
Inakuwa inaumiza sana hicho kipindi, na since najua inauma, ndo mana najiwahi kwa kuondoa uwezekano wa kumpata.
Number delete, means nampa nafasi ya kufight for it if it means anything.

Mostly huwa hawavuki hii.
Kuna watu if you dont text,call or start the chatting hawakukumbuki unaexist aiseeh.
Kwa kuacha kuwa wa kwanza kutuma ujumbe, ni kujishushua kuwa umuhimu unaotoa sio unaopewa.
It's just kwa kuwa umeanza,usipoanza haupo tu.
Ni ngumu ila inasaidia mnonkujua where you stand.
Na wengi huanguka mno kwenye huu mstari
Na ndo inakuwa historia hivo.
By the time unakumbuka ah mi saaaa nyiiiiing.
 
Kuchelewa kureply je???
Sio muhanga wa kutokutextiwa au kutokujibiwa coz sina namba nyingi. Zilizopo ni watu ambao huwezi kuchat nao. Nina ugonjwa wa kufuta namba hii naona inaniathiri sasa
Mara zote mi hufikiria mema, until inapokuwa Tabia.
So ntakusaidia mpk sababu za kwann umechelewa kujibu.
Ubize, hujaona, huna crdt, huna mbs.

Saaasa hii huwaga pia haina muda mrefu, nayo hugoma.
Ndo hapo sasa pa next step ya detaching.
Number delete.
 
Wewe tangu 2018 me tangu 2016 mpaka leo nimepambana tu na nimekuja kuona mafanikio
Inshort nilikuwa kama mstari wa roma Nataman Ngono ila sina hisia za mapenzi maisha yangu yalikuwa hivyo ila Nilikutana na JW nikasoma vitabu vyao Nikamua kubadilika mtazamo wangu nitafute wa kumpenda
kuna dada alikuwa rafiki angu sio sanaa kutokana alikuwa ni mkimya hapendi kuongea nikaanza kujikeep busy na yeye 2016 Nikarusha ndoano ikachomolewa nikasema sikati tamaa nimeenda nae as friends hivyo hivyo mpaka nimekuwa mtu muhimu sanaa kwake Kwenye kumbukumbu yake ya kuzaliwa mwaka huu amefunguka hisia zake kwangu Mambo yamejipa soon naweza agana na ubachelor...

Hongera mkuu
 
Najihisi kuna mahali siko poa.
Naweza kuwa na rafiki ambaye urafiki wetu uko moto halafu ghafla akabadilika, yaani akaenda beyond from normal.
Sijui nakosea wapi. So nikikutana na watu wapya huwa nakaa kwa tahadhari nikijiambia one day atabadilika.
 
Kiukweli mimi siyo mtu wa kupambana sana kudumisha urafiki ama mapenzi, nashukuru akili zangu ziko fyatu kiasi chake so nikishaona dalili natema maneno mazito (sio matusi) ambayo nakuwa na uhakika kwamba yatamfanya anikumbuke siku zote za maisha yake then baada ya hapo nasepa kwa kasi ya 240km/h.

Lakini pia siwezi kuwa mwonho kuwa kuna kipindi nilifight sana kujaribu kumbakisha mtu fulani katika maisha yangu ila nikafeli, kuanzia siku hiyo nikaacha hiyo tabia.


Leo yenyewe nimetoka kufungasha virago sehemu. Najipenda sana mimi maana hakuna mimi mwingine.
 
Kiukweli mimi siyo mtu wa kupambana sana kudumisha urafiki ama mapenzi, nashukuru akili zangu ziko fyatu kiasi chake so nikishaona dalili natema maneno mazito (sio matusi) ambayo nakuwa na uhakika kwamba yatamfanya anikumbuke siku zote za maisha yake then baada ya hapo nasepa kwa kasi ya 240km/h.

Lakini pia siwezi kuwa mwonho kuwa kuna kipindi nilifight sana kujaribu kumbakisha mtu fulani katika maisha yangu ila nikafeli, kuanzia siku hiyo nikaacha hiyo tabia.


Leo yenyewe nimetoka kufungasha virago sehemu. Najipenda sana mimi maana hakuna mimi mwingine.
Utajijua kua umependa umekufa kuoza pale unayempenda anakuumiza lakini bado unaendelea kukomaa nae asiondoke
 
Rafiki sina up to moment naandika hivi sina rafiki yule wakusema naweza mwita rafiki

nina marafiki ila sio (best friends) ni marafiki tu ambao hata awe kimya mwaka sishtuki

mpenzi ilitokeaga zamani sijui ni kwasababu nilikua new comer kwenye mahaba sijui

yule dada tulitengana kama miezi kwasababu ya likizo za shule,baada ya likizo kuisha

kurudi najua bado sisi ni wapenzi kumbe mwenzangu kashatafuta mtu wake mwingine

akaniambia hatuwezi kuwa wapenzi tena labda tuwe marafiki tu,aiseee nilishamtishia hadi

kujinyonga ili tu ajue nampenda ila wapi,nikaenda kwao nikalala nnje getini usiku hadi pakakucha ila wapi

mwisho kabisa nikaona asintanie,nikaandika wosia kisha nikaenda fata sumu ya panya ya maji nikanywa yote

watu wakaniokoa kimbiza hospital nikapona baada ya pale nikapewa counselling 1 hatari sana

ikanisaidia nikaweza anza ishi kwa shida na kukubali matokeo,up to moment sirudii penda kisenge vile

ila kama ni ku force yule dada anirudie,niliforce sana hamna mbinu sijatumia.
duuh hii mambo ya kupenda kupitiliza ndo ubaya wake huu binafsi sifanyi huu undezi dadek
 
Back
Top Bottom