Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

Nini kinawapata hadi mnakaa siku tatu eti hamli kisa mmeachwa?? Hua wanawapa vitu gani??
Au ni mimi tu sinaga upendo rohoni?
[emoji116]
Tatizo sio sisi ni moyo[emoji175] inatokea tu unamzoea mtu unamuweka moyoni to the extent siku akisema lets end up here aisee unatamani kudisappear in this rotten world...mimi koo lilifunga chakula kilikuwa hakipiti nalia tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] simtaki yoyote ila yeye [emoji3064][emoji3064][emoji3064]
 
Never ever. Kwa caliber yangu haiwezekani laiti ungekua unanijua ungeona. I don't care...I don't care a thing. Furaha yangu haipo kwa watu.
Mimi ni katili wa kihisia, Ukinizingua nakuzingua. Sijali nakupenda wala nini.
Wanawake ni wengi zaidi yetu kwa sababu maalumu, so hata uweje nitampata mzuri zaidi yako. Siwezi teseka kisa mwanamke.

Btw kuna muda hata mimi najishangaa kwanini nipo hivi?? Na hii haipo kwa wanawake tu baki kila kitu. Yaani sitakagi kutishiwa kitu, I'm Stoic in nature
good for you
 
Tatizo sio sisi ni moyo[emoji175] inatokea tu unamzoea mtu unamuweka moyoni to the extent siku akisema lets end up here aisee unatamani kudisappear in this rotten world...mimi koo lilifunga chakula kilikuwa hakipiti nalia tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] simtaki yoyote ila yeye [emoji3064][emoji3064][emoji3064]
Ila mapenzi haya[emoji38]
 
Tatizo sio sisi ni moyo[emoji175] inatokea tu unamzoea mtu unamuweka moyoni to the extent siku akisema lets end up here aisee unatamani kudisappear in this rotten world...mimi koo lilifunga chakula kilikuwa hakipiti nalia tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] simtaki yoyote ila yeye [emoji3064][emoji3064][emoji3064]
I feel you.
Nimeumia kwa post hii
 
Jichanganye na marafiki zake, kama ni mtu wa mazoezi na kampani fulani pendelea kuwa nazo. Ila isiwe ulevi au uvutaji sigara kupitiliza ukiwa na stress. Pia kama unapokaa kuna vitu vinakufanya umkumbuke basi viondoe, na ubaki huru kabisa. Mwisho kabisa usipende kukaa peke yako, itakufanya uwaze sana
sawa sawaa mkuu nitayafanyia kazi.. 🙏

Nimeanza kwenda jogging kila siku nihamishie akili yangu huko
 
Ikifika hatua unaona mtu yupo online unamtext pm ana like tu, unamtext wasap ana soma then anakaa kimya sana au unamtext kwa sms halafu yeye kaka kimya wakati unajua hiyo sio kawaida yake jua kwamba huna chako hapo, utakua unalazimisha mawasiliano, mapenzi au urafiki ambao mwenzako hautaki tena.
Umenikumbusha kuna kascreenshot nilikuwa nacho hapa cha mwaka jana mwezi wa3... imetokea kapo mpaka leo maana hii simu huwa siishiki mara kwa mara maana nina simu nyingne better zaidi, nilipoona huu uzi nikarusha na bluetooth chap kwny PC ili nishee na nyie
1680772820342.png


kwa kweli, i was lost by the time (angalia izo chats na time zake)
 
Wala sio kweli she's not that special, wapo wengi bora kuliko yeye. Kama upo Dar au Arusha nitakushangaa sana kama utakosa mwanamke mzuri kumshinda. Unless uwe mikoani huko ambapo Pisikali ni wa kutafuta.

Mpotezee. Hakujali wala hakupendi. Anakudanganya na kukuchezea hisia zako hovyo hovyo. Wewe ni mwanaume have a Worth. Mpotezee anakudharau jinsi unavyojipendeke
issue sio pisi kali issue ni kama ulivyoanza kwenye huu uzi.. that feeling kama upo attached nae ndo inapoteza wengi.. you fight for nothing
 
Umenikumbusha kuna kascreenshot nilikuwa nacho hapa cha mwaka jana mwezi wa3... imetokea kapo mpaka leo maana hii simu huwa siishiki mara kwa mara maana nina simu nyingne better zaidi, nilipoona huu uzi nikarusha na bluetooth chap kwny PC ili nishee na nyie
View attachment 2578308

kwa kweli, i was lost by the time
alikutafuta that day au ndo mazima
 
😀Its like mlikuwa na ugomvi share with us shida ilikuwa nini who was the wrongdoer....
shida ilianza kwake, na mainly kwny mawasiliano, sema all in all, mtu akibadilika, hata ukiiaddress shida hatobadilika, badala yake kuonesha makucha zaidi. Kwny kuonesha makucha zaidi, kwa sababu unakuwa unamkubali unakuta unasema fine, ngoja nijishushe tuyamalize, ila ndo hivyo tena, anakuwa haambiliki, unaona ni sawa tu, kila m1 aende njia yake
 
Umenikumbusha kuna kascreenshot nilikuwa nacho hapa cha mwaka jana mwezi wa3... imetokea kapo mpaka leo maana hii simu huwa siishiki mara kwa mara maana nina simu nyingne better zaidi, nilipoona huu uzi nikarusha na bluetooth chap kwny PC ili nishee na nyie
View attachment 2578308

kwa kweli, i was lost by the time (angalia izo chats na time zake)
Daaah pole
 
Umenikumbusha kuna kascreenshot nilikuwa nacho hapa cha mwaka jana mwezi wa3... imetokea kapo mpaka leo maana hii simu huwa siishiki mara kwa mara maana nina simu nyingne better zaidi, nilipoona huu uzi nikarusha na bluetooth chap kwny PC ili nishee na nyie
View attachment 2578308

kwa kweli, i was lost by the time (angalia izo chats na time zake)
Ulikua Simp...I've been there I've done that lakini saivi I'm cold hearted af

I'm not heartless but I just use it less

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom