Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
Don't fall in love just stand on iti am on the way kuja ulipo
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Don't fall in love just stand on iti am on the way kuja ulipo
Hapo alikuonesha green light uende hana muda naww ungejikataa tu hata usibembeleze kitu. Then chukua manzi mwingine mkali hadi yeye, kule kutobembeleza na bado ukaopoa kifaa kikali kwingine itamtesa sanashida ilianza kwake, na mainly kwny mawasiliano, sema all in all, mtu akibadilika, hata ukiiaddress shida hatobadilika, badala yake kuonesha makucha zaidi. Kwny kuonesha makucha zaidi, kwa sababu unakuwa unamkubali unakuta unasema fine, ngoja nijishushe tuyamalize, ila ndo hivyo tena, anakuwa haambiliki, unaona ni sawa tu, kila m1 aende njia yake
You're going to bleed on someone who did not cut you
haya mambo haya!! ndio maana yule jamaa akamrekodi mke wake akiwa anakunywa sumu huku anamuangaliaHapo alikuonesha green light uende hana muda naww ungejikataa tu hata usibembeleze kitu. Then chukua manzi mwingine mkali hadi yeye, kule kutobembeleza na bado ukaopoa kifaa kikali kwingine itamtesa sana
hili swala la kujishusha linatumaliza wengi tunaonekana hatuna akili wanaona wametuweza...shida ilianza kwake, na mainly kwny mawasiliano, sema all in all, mtu akibadilika, hata ukiiaddress shida hatobadilika, badala yake kuonesha makucha zaidi. Kwny kuonesha makucha zaidi, kwa sababu unakuwa unamkubali unakuta unasema fine, ngoja nijishushe tuyamalize, ila ndo hivyo tena, anakuwa haambiliki, unaona ni sawa tu, kila m1 aende njia yake
sawaa Mkuu🙏Mpaka sasa inaoekana hivyo, miaka nane bro!!?
Prove both yourself and her wrong. USIRUDI.
sipo naye tenaKwanini usianze safari mpya bila yeye?
Kwa hiyo upo singo?sipo naye tena
Mapenzi ni majanga tu yaanihaya mambo haya!! ndio maana yule jamaa akamrekodi mke wake akiwa anakunywa sumu huku anamuangalia
I still need time to heal ,maana kwa sasa sina hisia ya mapenzi ila na hamu ya ngono[emoji174],sipendi kuwa ivo ila sina jinsi.
Kumpenda nampenda bado siwez kataa maan kuingia kwenye mahusiano Mengine nimeshashindwa
nimetry hard for the past 8 years.... Yan i know everything about her...
yeye anaamin i won't survive nitalud tuu..
YaapKwa hiyo upo singo?
8years bado umeshindwa kumsahau,najua kupenda lakini siwezi kumove muda wote huo,upendo wako kwake kwakwel ni too much yaani nimeshindwa hata chakukuambia ila umenishangazaKumpenda nampenda bado siwez kataa maan kuingia kwenye mahusiano Mengine nimeshashindwa
nimetry hard for the past 8 years.... Yan i know everything about her...
yeye anaamin i won't survive nitalud tuu..
Not really but always never let your guard down....you will be surprisedYou're going to bleed on someone who did not cut you