Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nami natamani ningeweza kuwa na moyo mgumu kama wakoMbona waguna moneytalk
Naweza kukuelekeza kama utakua tayari, ila haita affect kwenye mapenzi tu bali kila engo. Lakini sometimes inabidi iwe inborn character yako.nami natamani ningeweza kuwa na moyo mgumu kama wako
GoodI can fix that [emoji17]
View attachment 2608673
NopeMay I fix it for you??[emoji125]
No... thanks for your offer,your in pain go heal yourselfI offered love and you spat on my face[emoji45]
View attachment 2615823
Nifundishe tu nimechokaNaweza kukuelekeza kama utakua tayari, ila haita affect kwenye mapenzi tu bali kila engo. Lakini sometimes inabidi iwe inborn character yako.
[Mimi najali sana sana kuhusu wanadam wenzangu, ilibidi nitengeneze hali hii ili kuukinga moyo wangu. Mimi hata mgonjwa siwezi kumuangalia coz hua naumwa kabisa anyway nisijieleze sana my personal traits]
[emoji28][emoji28][emoji28]No... thanks for your offer,your in pain go heal yourself
Wanawake wengi wanapenda toxic relationships (wengi, sio wote) na wanadai good men are so boring. Muda ukishaenda wanaanza kutafuta good men wakati huo huo wana negative attitude towards men walizotoka nazo kwenye toxic relationships ambazo walichagua wenyewe. Wanakuja na hizi mentality zao in form of feminism na other negative attitude na stress kibao. Then wanazihamishia kwenye good men ambao hawakuhusika na bad choice zao. The good men will end up dumping you kama ataweza au utaendelea kuwepo huku uki ruin life yake... And the cycle goes on and on.Kwanini mnpenda ku-generalize?? Usiseme wanawake sema mwanamke maana sio wote....haiwezekani wanawake wote wawe na tabia moja..afu wanaume ndio mnaotuvuruga na nyie ndio mmesababisha tufike hapa tulipo
Kutokana na hii thread uliotoa it seems upo kwenye pain.Kwanini wasema I'm in pain n distress?
kweli kabisa anachokiongelea mleta mada kinaashiria amepita mapito magumu 😂Kutokana na hii thread uliotoa it seems upo kwenye pain.
Eeh ukitulia unipe hizo mbinuLakini kwanini wakutese mtoto mzuri kama wewe...?
Ngoja nikitulia
Hao good men ndo wanafananaje?,tunawatambuaje? Si ni wanaume hawahawa....hakuna mwanamke anaependa kuingia kwenye mahusiano mabovu..haohao good men ndo wanakuja kutuingiza kwenye toxic relationship tunaanzia patamu tunamalizia pachungu.Wanawake wengi wanapenda toxic relationships (wengi, sio wote) na wanadai good men are so boring. Muda ukishaenda wanaanza kutafuta good men wakati huo huo wana negative attitude towards men walizotoka nazo kwenye toxic relationships ambazo walichagua wenyewe. Wanakuja na hizi mentality zao in form of feminism na other negative attitude na stress kibao. Then wanazihamishia kwenye good men ambao hawakuhusika na bad choice zao. The good men will end up dumping you kama ataweza au utaendelea kuwepo huku uki ruin life yake... And the cycle goes on and on.
Don't blame other people for your own terrible choices.
Kitu kile kile ulichomzuia mwenzio asifanye. Mwishoni na wew umefanya.Kwanini mnpenda ku-generalize?? Usiseme wanawake sema mwanamke maana sio wote....haiwezekani wanawake wote wawe na tabia moja..afu wanaume ndio mnaotuvuruga na nyie ndio mmesababisha tufike hapa tulipo
Asa ako ka-emoj [emoji23] kameingiaje hapokweli kabisa anachokiongelea mleta mada kinaashiria amepita mapito magumu [emoji23]
kanapunguza ukali wa maneno😂Asa ako ka-emoj [emoji23] kameingiaje hapo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]