Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

Kutokana na hii thread uliotoa it seems upo kwenye pain.
No no.... You're just insinuating things!
Mimi sina hisia(Nina abnormal emotional pain endurance) wala sijali lolote mtu analotaka kunifanyia. Hakuna anayeweza kunikomoa kwa kunifanyia kitu ili niumie.
Nipende au nichukie it's up to you I don't careee
 
No no.... You're just insinuating things!
Mimi sina hisia(Nina abnormal emotional pain endurance) wala sijali lolote mtu analotaka kunifanyia. Hakuna anayeweza kunikomoa kwa kunifanyia kitu ili niumie.
Nipende au nichukie it's up to you I don't careee
kaka, nimeona niulize hii condition je unaona unanufaika nayo, au inaharibu maisha yako....
 
No no.... You're just insinuating things!
Mimi sina hisia(Nina abnormal emotional pain endurance) wala sijali lolote mtu analotaka kunifanyia. Hakuna anayeweza kunikomoa kwa kunifanyia kitu ili niumie.
Nipende au nichukie it's up to you I don't careee
Ar u a Robot??
sijawahi sikia mtu hana hisia unless otherwise kuna kitu amefanyiwa ambacho kilimuumiza sana kihisia but anyway pole sana mwamba
 
Ar u a Robot??
sijawahi sikia mtu hana hisia unless otherwise kuna kitu amefanyiwa ambacho kilimuumiza sana kihisia but anyway pole sana mwamba
I'm not a robot.. It's may armour I chose to wear so I can keep away from pain and miseries inducted by this miserable life. Hakuna lolote baya lililonikuta
 
Wanawake wengi wanapenda toxic relationships (wengi, sio wote) na wanadai good men are so boring. Muda ukishaenda wanaanza kutafuta good men wakati huo huo wana negative attitude towards men walizotoka nazo kwenye toxic relationships ambazo walichagua wenyewe. Wanakuja na hizi mentality zao in form of feminism na other negative attitude na stress kibao. Then wanazihamishia kwenye good men ambao hawakuhusika na bad choice zao. The good men will end up dumping you kama ataweza au utaendelea kuwepo huku uki ruin life yake... And the cycle goes on and on.

Don't blame other people for your own terrible choices.
Kuna mmoja nishawahi kuwa naye, yaani sijamsaliti wala kumtesa nipo naye poa. Ila kila siku ni lawama eti nyinyi wanaumr hamuaminiki na hampendeki, anakuja kukusimulia janga fulani la mwenzake na mwisho aake anaanza kusema tatizo wanaume ndivyo mlivyo. Nikajiuliza huyu mtu vipi, ana kichaaa? Maana nilijitahidi kumwelewesha aondokane na idea hizo ila naona ni kilekile nikaamua kwenda jinsi ambavyo akili zake vilivyo. Maana alikuwa mpumbavu aana, yaani mimi nishapigwa matukio na wanawake wenzake ila sikuwahi kumwambia wanawake ndiyo walivyo
 
Kuna mmoja nishawahi kuwa naye, yaani sijamsaliti wala kumtesa nipo naye poa. Ila kila siku ni lawama eti nyinyi wanaumr hamuaminiki na hampendeki, anakuja kukusimulia janga fulani la mwenzake na mwisho aake anaanza kusema tatizo wanaume ndivyo mlivyo. Nikajiuliza huyu mtu vipi, ana kichaaa? Maana nilijitahidi kumwelewesha aondokane na idea hizo ila naona ni kilekile nikaamua kwenda jinsi ambavyo akili zake vilivyo. Maana alikuwa mpumbavu aana, yaani mimi nishapigwa matukio na wanawake wenzake ila sikuwahi kumwambia wanawake ndiyo walivyo
Mapenzi yanahitaji kuaminiana.
Alikuwa anakosea kukutuhumu kwa
Makosa ya wengine.
 
Babe, So kiss me 😔
FB_IMG_1682889507151.jpg
 
Niafanyeje kupata usingizi jamani, kichwani utadhani kuna watu hua wanapiga stori all the time.😔
 
Back
Top Bottom