Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

I wanted this!!!
Ahsante nimeipata at right time, nimejifunza kitu.
Hili bandiko litaishi miaka mingu Sana.
be blessed!!!!
Samahani mkuu kama hutajali naomba ushee nasi yaliyotokea tujifunze kitu
#Be blessed too
 
Screenshot_20240320_183829_WhatsApp.jpg
 
Kuna binti nmekutana nae tukaanzisha mahusiano baada ya cku alikuja kunitembelea ninapoishi, sikufanikiwa kula tunda ila tulikiss sana nilimshawishi sana nimle alikazia bas baada ya mda aliaga na kuondoka
Bas tangu alipotoa mguu pale hakunitafuta tena mimi ndo nikawa naleta shobo na kujibebisha kwingi Lakin ushirikiano ukawa mdogo, juzi Kati hap akanitext niache kumtafuta. Inanifikilisha sana ila alf nilishamuelewa mtoto
 
Kuna binti nmekutana nae tukaanzisha mahusiano baada ya cku alikuja kunitembelea ninapoishi, sikufanikiwa kula tunda ila tulikiss sana nilimshawishi sana nimle alikazia bas baada ya mda aliaga na kuondoka
Bas tangu alipotoa mguu pale hakunitafuta tena mimi ndo nikawa naleta shobo na kujibebisha kwingi Lakin ushirikiano ukawa mdogo, juzi Kati hap akanitext niache kumtafuta. Inanifikilisha sana ila alf nilishamuelewa mtoto
Pole mkuu
 
Why won't you agree on my point? Can you make your facts to support your claims?
Yes I can,
Not everyone responds to love in the same way, Sir!
+ it's depends on the following factors:-
# Firstly, personality traits
# Secondly, past - experience
# Thirdly, Cultural originality.
 
Back
Top Bottom