Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
- #41
Mkuu, hivi hawa superfeo na zile buses za BM za Morogoro ni za mtu mmoja?...Kuna siku Songea tumekesha bar Planet sijui bado ipo! asubuhi nikaunganisha na superfeo hadi Njombe. Wakati natoa bag nikachukua ambalo sio langu, nikapanda bus za kwenda Ludewa.
Kufika milima ya gangitoroli nikapokea simu kuwa tumechanganyana mabag, mwenye langu kaliweka ofisi za superfeo kwa hiyo nitalikuta pale.