Je, ulishawahi kushuka na begi/mzigo wa abiria mwenzio kwa bahati mbaya? Mtu aliyeshuka na box langu la samaki mwaka 2012 sasa ni family friend

Mkuu, hivi hawa superfeo na zile buses za BM za Morogoro ni za mtu mmoja?...
 
Bila shaka upo njema sana katika judo na karate boss
 
Niliingia kanisani kusali nikaweka baskeli nje ila nilisahau kuifunga baada ya sala kumaliza kutoka nje naiona baiskeli ipo na nikashangaa sana haikuibiwa maana ni nilisahau kuifunga ,basi nikaamua kurrudi kanisani kwenda kushukuru kwa mungu kwa kuikuta basikeli yangu ipo salama, wandugu kutoka baiskeli haipo, ,.
 
Daaah noma sana mkuu...
 
Planet ipo mkuu na boss ni yule yule mchaga mzee msalanga ila yule mama wa counter maarufu mama dave mungu kampenda zaidi
 
Mwaka 2016 haraka haraka na furaha ya kufika home salama,nikabeba begi la mdosi pale Jnia,nafika home nafungua nakutana na tambuu na zagazaga zingine za kidosi Duu nikapagawa mbaya,begi langu lilikuwa na mazaga yangu kibao na zawadi za madogo!....fasta nikarudi airport nikalikuta begi langu pale lost and found kwa Swissport....kumbe mdosi alivyoona begi sio lake akaliacha pale....kwa mazaga yale ingekuwa mbongo mhh sijui....
 

Kwamba Ulitaka kufanya umafia kimya kimya hahahahah!
 
Ilienda wap mkuu
 
Kumbe wewe jamaa ni mjaluo, kabila lenu nalikubali kinouma pia inanikumbusha maisha ya uvuvi miaka hiyo sota na shirati
 
Huko mbeya miaka ya nyuma kabla Bujibuji hajazaliwa kuna abiria alitamani box lilikuwa kwenye carrier ya ndani gari imetoka swanga linaenda tukuyu.

Jamaa akashuka mwanjelwa na box alililitamani.

Mbele kidogo mwenye box ana note kuwa mzigo umeshashuka. Kuuliza akaambiwa box limeshuka mwanjelwa. Akasema ndani mna mwili wa mtoto mchanga, alitumia mbinu tu ili kurahisisha usafirishaji.

Kilichotokea mbeba box alifika huko vichochoroni kufungua ohooo, ikabidi arudi stend ,

Mwisho walikuja kukutana na kumkabidhi mwenye mwili wake.

Be careful siyo kila zigo la kubeba mingine siyo.
 
Mwili wa mtoto mchanga ndani ya box? Doooh sio mchezo hata kidogo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…