Je, ulishawahi kushuka na begi/mzigo wa abiria mwenzio kwa bahati mbaya? Mtu aliyeshuka na box langu la samaki mwaka 2012 sasa ni family friend

Mwaka 2016 haraka haraka na furaha ya kufika home salama,nikabeba begi la mdosi pale Jnia,nafika home nafungua nakutana na tambuu na zagazaga zingine za kidosi Duu nikapagawa mbaya,begi langu lilikuwa na mazaga yangu kibao na zawadi za madogo!.
Wadosi kwa pilipili ni shiiiida. Haukukutana nazo humo mkuu?...
 
Alafu hapo ni nyumba ya ibada (Kanisani), sasa jenga picha ingekuwaje kama huko uswahilini. Ifike wakati watu wawe wanaheshimu pahala patakatifu.
 
mim
i nilishawahi kuibiwa demu kwenye daladala
 
Niliwahi kuchukua begi la Mwanafunzi mmoja aisee mpaka huruma kizuri ni kuwa kulikuwa na mawasiliano ya Mama yake hivyo nilimtafuta Kisha akalifuata.
 
Niliwahi kuchukua begi la Mwanafunzi mmoja aisee mpaka huruma kizuri ni kuwa kulikuwa na mawasiliano ya Mama yake hivyo nilimtafuta Kisha akalifuata.
Daaah, noma sana mkuu. Begi la mwanafunzi si unakutana na madaftari na penseli tu humo mzee baba
 
Mkuu, hivi Njombe mpaka Songea ni kama KMs ngapi hivi?
 
Huu ni uzembe mkubwa sana, iweje usijue begi/mzigo wako ulivyo?

Unatakiwa kuweka alama na uwe macho gari linaposhusha watu/mizigo njiani.
Kuwa macho inakuwaga ngumu kwa maana kuna muda mtu anakuwa amesinzia au yupo dirisha la upande tofauti na boot ya gari ilipo
 
Mkuu, Mdosi hakuweka hata dollars kadhaa katika begi? Ungezikuta ungerudisha begi?
 
Hii ni shiiiiida mzee baba...
 
2020 nko kati ya mikoa ya kanda ya ziwa nasubr prvate kuja mwanza nko na mtoto wangu wa kiume nmebeba beg lake la nguo mgongon ikaja noah ile kupanda nkaona beg nlweke kwa nyuma kumbe kule nyuma kuna beg pia lnafanana na langu vile vile tumefka mwanza jamaa kasema anaenda kulala hotel mabatin nkaona sio mbaya ntashuka apo npande hais mpaka buzuruga tukafka apo kwenye hotel nkashuka kuchukua beg na kusepa na mtoto ile nafka hom kama saa nne na nus iv usku mtoto ashaoga fungua beg nakutana na masurual makubwa balaaa smart phone kama 20 iv na n mpya walkua wanaproject ya kukusanya data mwanza nkaona apa kulko nkabak na hz cm n bora nfate nguo za mwanangu mana uez jua akili za walimwengu ikabd nrud usku uo uo mpka kwenye io hotel jmaaa wameshaingia kulala mm nakomaa kugonga hata hawajui kama wamebak na vipens vya mtoto wale jamaa wakashukuru tukapeana namba wkend n kutafutana na kula bia mpka kuziangalia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…