Je, ulishawahi kutongozwa na Mwanamke?

1. Yes nimetongozwa mara nyingi
2. Niliona kawaida sio ajabu kutongozwa
3. Kila aliyenitongoza kwa dhati kwangu huwa namheshimu...ikiwa sitamkubalia nitampa heshima ya pekee, nitamheshimu kama alivyoziheshimu hisia zake akanitokea. ...nampa heshima kubwa na nitampa majibu yasiyovunja moyo.

Usimvunje moyo aliyekupenda...mpe sababu...mfano.

Dada ninashukuru mno kwa ujasiri wa kipekee.
Nimejisikia vizuri kusikia unanipenda...bahati mbaya nina mtu ambaye tuna uhusiano siriaz.....sipendi nikukubalie then nije kukuvunja moyo.
Nisamehe kama nitakuudhi kwa majibu haya plz.

Hiyo kauli nimeweka tu kama kauli ambayo unaweza kuitumia usimvunje moyo aliyeonyesha hisia za kweli kwako.
 


Pumb--f dume zima unakuja hapa na habari za kutongozwa!! Na mwanamke asemeje??-- Mwanaume huwa hatongozwi bali anaashiriwa na mwanamke.
 
Kipindi hicho ndio nimemaliza chuo nilitongozwa na mwanamke mmoja mke wa mtu halafu alikua na pesa na Hadi Sasa anazo. Tatizo mwanamke mwenyewe Hana shape Wala sura. Mbele na nyuma Ni sawa kabisa, flat screen OG. Nikawa najiuliza kwa huyu hata Kama abdala Ni kichwa wazi lkn kwa huyu hatoweza kuinuka. Alinipa mpaka offer ya kwenda Zanzibar Kama Dar ninaogopa. Nashukuru Sana sikumkula.
 
Ulifeli pakubwa ulichezea iyo chance
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…