Je, ulishawahi kutongozwa na Mwanamke?

Je, ulishawahi kutongozwa na Mwanamke?

Hahah Mkuu Huwa Niko na kiwango kikubwa Cha Uwazi na ukweli !!

Yaan hapa Dunian ,mambo ambayo yanaonekana ni magumu kwamtu, Kwa mwingine ni mepesi sana.

Kwa ufupi, Nimeshanusurika kufumaniwa Mara 4 , na katika hizo 4, Moja ilibidi mpaka nikafungue Jalada Polisi na Yule Mume wa Mwanamke akajaga kuniomba Msamaha mwenyewe, maana nilihakikisha Jalada nimelisuka kwelikweli .
Hivi we jamaa una miaka mingapi maana mambo yako si haba 🤔🤔🤔
 
Daaah mbona hii kali asee mi kuna uncle wangu ni tax driver sio tajiri sio masikini ila anavyotongozwa na wanawake mmmmh assee

Sijui ni nguvu za Mungu au nn maana jamaa kaokoka kweli

Na sio handsome wala nn ana 47 hapo najiulizaga sana ila wote anawakataliaga tu [emoji848][emoji848][emoji19]
Kama kweli kaokoka hiyo ndio sababu kuu. Kuzimu kunamuwinda...!

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
She came into my life by this method
She clearly stated that she loves me, I asked her thrice do you real love me?
She replied yes
I went to her friend asking, does she love me real?
Her friend replied Yes she does and she loves you so much
I trusted her and entered the love game again, did my best as a man
But what happened ?

She nearly destroyed my life !
Hapo Kwenye Nearly destroyed your life Pajazie tupate la kujifunza.
 
Back
Top Bottom