DOKEZO Je, uliwahi kufika bar ya Lubumbashi (kuzimu ya Dar), Mbezi Mwisho?

DOKEZO Je, uliwahi kufika bar ya Lubumbashi (kuzimu ya Dar), Mbezi Mwisho?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Wakuu jana nilipata mkosi wa kufika mitaa ya mbezi mwisho karibu na shule ya mbezi mwisho, roundabout ya kuelekea goba kuna bar nyingi sana eneo moja kuna guest nyingi sana eneo hilo hilo kuna idadi kubwa ya watu wanapisha kama utitili .

Wanawake 9/10 wamevaa nguo za kuonyesha hadi mbususu (wanaitwa vunja) wenyeji wa hawapo wanadai kero kubwa ni kuokota used condoms nyingi inapokuchwa ni uuzaji wa miili na pombe kali

Kuna nyumba inaitwa (whitehouse) hii haina mwenyewe inamauzauza kila aliyejaribu kuishi alipata cha mtema kuni so hapo nipa kila mtu humo ndani ni madawa ya kulevya,ngono,bangi na mara nyingi unaambiwa ugomvi hutokea na huwa hakuna kuamualiwa.

Kwa taarifa za kiintelijensia wateja wengi ni raia waliojichokea ,wafasiri wanaokwenda mikoani au waliofika Dar maana mbezi Louis ndio kitovu cha safari, polisi, wanajeshi na walinzi wa biashara ni vijana wa ulinzi shirikishi, mabaunsa,

Wanawake wanaojiuza ni mix piss kali,wala bangi na madawa,ukiwaona huwezi kuamini kuwa wanajiuza hasa mitaa ya bar ya sun Sirro,bar ya Gods pub, Lubumbashi,B bar na maduka yanayouza bombe eneo hilo kama unatoka sun Sirro kupandish sokoni wamefunga barabara kwa magogo hawataki usumbufu.

Waathirika wakuu ni watoto wa shule maana eneo hilo linashule mbili kubwa ile mbezi na upendo, wapangaji wa eneo hilo na wananchi wa kawaida.

Inadaiwa polisi wa kituo cha Gogoni, Temboni,mazulu hupokea pesa kila siku ili wasiwasimbue,wengi wamepanga pia mitaa hiyo na kutoa huduma kwa bei ya 2000-3000 ,wapo watoto waliochini ya miaka 18 inadaiwa wametolewa mikoani hasa singida, kagera, Arusha, Kilimanjaro na nyanda za juu kusini.

Kwenye bar ya Gods kila jumapili usiku kuna wanawake wanacheza uchi na kuweka chupa ya bia ukeni huku watu wakishangilia, uchi live

Eneo hilo lina harufu kali ya shahawa,kinyesi,na kutapakaa condom zilizotumika , sigara, bangi,

Kelele za muziki hadi asubuhi ni kawaida wanaume kuomba omba bia ni kawaida sana

CC . Dorothy GWAJIMA

USSR
Acheni watu wale maisha.
Kesheni kwenye nyumba za ibada tuacheni tule bata
 
Wakuu jana nilipata mkosi wa kufika mitaa ya mbezi mwisho karibu na shule ya mbezi mwisho, roundabout ya kuelekea goba kuna bar nyingi sana eneo moja kuna guest nyingi sana eneo hilo hilo kuna idadi kubwa ya watu wanapisha kama utitili .

Wanawake 9/10 wamevaa nguo za kuonyesha hadi mbususu (wanaitwa vunja) wenyeji wa hawapo wanadai kero kubwa ni kuokota used condoms nyingi inapokuchwa ni uuzaji wa miili na pombe kali

Kuna nyumba inaitwa (whitehouse) hii haina mwenyewe inamauzauza kila aliyejaribu kuishi alipata cha mtema kuni so hapo nipa kila mtu humo ndani ni madawa ya kulevya,ngono,bangi na mara nyingi unaambiwa ugomvi hutokea na huwa hakuna kuamualiwa.

Kwa taarifa za kiintelijensia wateja wengi ni raia waliojichokea ,wafasiri wanaokwenda mikoani au waliofika Dar maana mbezi Louis ndio kitovu cha safari, polisi, wanajeshi na walinzi wa biashara ni vijana wa ulinzi shirikishi, mabaunsa,

Wanawake wanaojiuza ni mix piss kali,wala bangi na madawa,ukiwaona huwezi kuamini kuwa wanajiuza hasa mitaa ya bar ya sun Sirro,bar ya Gods pub, Lubumbashi,B bar na maduka yanayouza bombe eneo hilo kama unatoka sun Sirro kupandish sokoni wamefunga barabara kwa magogo hawataki usumbufu.

Waathirika wakuu ni watoto wa shule maana eneo hilo linashule mbili kubwa ile mbezi na upendo, wapangaji wa eneo hilo na wananchi wa kawaida.

Inadaiwa polisi wa kituo cha Gogoni, Temboni,mazulu hupokea pesa kila siku ili wasiwasimbue,wengi wamepanga pia mitaa hiyo na kutoa huduma kwa bei ya 2000-3000 ,wapo watoto waliochini ya miaka 18 inadaiwa wametolewa mikoani hasa singida, kagera, Arusha, Kilimanjaro na nyanda za juu kusini.

Kwenye bar ya Gods kila jumapili usiku kuna wanawake wanacheza uchi na kuweka chupa ya bia ukeni huku watu wakishangilia, uchi live

Eneo hilo lina harufu kali ya shahawa,kinyesi,na kutapakaa condom zilizotumika , sigara, bangi,

Kelele za muziki hadi asubuhi ni kawaida wanaume kuomba omba bia ni kawaida sana

CC . Dorothy GWAJIMA

USSR
"Uchi live" . Zamani watu walitembea uchi haikuwa shida, dhana ya kutukuza uchi ililetwa na wazungu na warabu. Bahati nzuri wazungu waliotukuza uchi ndio hao hao wanafanya kiwe kitu cha kawaida.
Zamani 90 kurudi nyumba watu walivaa magauni, siku hizi wanavaa vibana nwili na neti wala watu hawashangai. Uchi nao hautashangawa ni mindset tuning.
Usiogope dunia inarudi zamani.
Dunia inahama kutoka sheria za kimaadili za kundi na kuwa binafsi. Hao unaowaona wana maadili mioyo yao imeoza sana, na mambo yao huyafanya gizani.
NIige mimi mkuu. Najali fikra zangu zinataka nini sio jamii inataka nini, ukoo unataka nini. Kila mtu kaha duniani kivyake na atakufa kivyake, kwa hio hakuna haja kuumia na watu wasiokuletea madhara.
Mtu atakae ingilia uhuru wako huyo nyooka nae.
 
Huu mji una laana aisee juzi nimeenda bar moja Gomz nimeagiza choma kaja demu simjui akaanza kula akamalizia pia bia yangu nikaona isiwe kesi niende toilet alafu nisepe ishakuwa jau , si kanifuata toilet akainama na kuniambia anataka kunilipa nilivurugwa sana
Hahaha gomz sehem gan mkuu?

Sent from my itel A661W using JamiiForums mobile app
 
Crocodiletooth hawana shida, wenye shida hapa ni wanaume. Wao ndiyo wateja wao. Waache kwenda kuwanunua kwa mwezi tu mmoja. Uone kama hiyo biashara itaendelea.

Wanajianika sababu kuna wanunuzi, wanaume wanaonunua waache na kila kitu kitabadilika. Hakuna biashara inayoweza kuendelea, bila kuwa na wateja.
Driving force ya hiyo biashara ni nyege. Nyege haziwezi kuisha as long as kizazi cha binadam kipo hai kinapumua...wanadamu wakishiba vizuri tu kinachofuata ni kutafuta njia ya kupunguza nyege.

Vijana wakienda kubisha hodi waoe..wanatajiwa mahari shilingi milioni 3.... Wakati akizama kwenye hayo machimbo anamaliza haja zake kwa sh 2000-10000 tu
 
Makao makuu ya mashoga Tanzania ni ki local club kimoja kipo manzese tip top kinaitwa the heroes kipo ndani ya Moshi hotel pale kila jumatano mashoga wote wa dar na mikoa ya jirani wanakutana pale laana zinazofanyika pale ata wakati wa sodoma na gomora hawajawai kufanya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nawee kila J5 uko hapo kutazama hayo, wanafiki sana nyie watu lol
 
Inaitwa Mikumi pack nliwahi taka kuchukua room ile naingia nikakutana na harufu kali inanuka mavi ilibidi niulize kulikoni mhudumu akaniambia Malaya wakishalewa hua wafirwa mpaka wanakunya nligairi nikaondoka na mrembo wangu..hapafai usiku
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu miee, uwiiiiih.
 
Back
Top Bottom