DOKEZO Je, uliwahi kufika bar ya Lubumbashi (kuzimu ya Dar), Mbezi Mwisho?

DOKEZO Je, uliwahi kufika bar ya Lubumbashi (kuzimu ya Dar), Mbezi Mwisho?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kweli maana wanasababisha tusihonge, kwani tunao wahonga nao wanajiuza huko mitaani

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Na hii biashara ipo Toka kuumbwa kwa mwadamu.Delila anatajwa alikuwa kahaba,mke Amos,Lilith na hata wakati wa Dola ya Rumi zilitengenezwa pesa maalum kwa ajili ya kulipia style za kubanduana.Chuma mboga ilikuwa na pesa yake,teke la nyau na pesa yake,kifo Cha Mendes pesa yake,mzungu wa nne pesa yake,kitikiti pesa yake nk
 
Mama zetu na Dada zetu wanapoelekea hapajulikani, maandiko yanajitimiliza taratibu, wanaona kuvaa suruali, vimini, hakutoshi yote ni kuvutia vijana na akina baba, future inatisha.
Crocodiletooth hawana shida, wenye shida hapa ni wanaume. Wao ndiyo wateja wao. Waache kwenda kuwanunua kwa mwezi tu mmoja. Uone kama hiyo biashara itaendelea.

Wanajianika sababu kuna wanunuzi, wanaume wanaonunua waache na kila kitu kitabadilika. Hakuna biashara inayoweza kuendelea, bila kuwa na wateja.
 
Crocodiletooth hawana shida, wenye shida hapa ni wanaume. Wao ndiyo wateja wao. Waache kwenda kuwanunua kwa mwezi tu mmoja. Uone kama hiyo biashara itaendelea.

Wanajianika sababu kuna wanunuzi, wanaume wanaonunua waache na kila kitu kitabadilika. Hakuna biashara inayoweza kuendelea, bila kuwa na wateja.
Kwa nini wanatutega? 😁 wakati wanajua sisi ni dhaifu kwenye k, kama mbwa anapoona chatu.
 
Kwa nini wanatutega? 😁 wakati wanajua sisi ni dhaifu kwenye k, kama mbwa anapoona chatu.
Kumbe shida iko kwenu. Kama wanajua udhaifu wenu, nanyinyi mnauendekeza basi ni hatari. Tusiwalaumu wanaouza miili na hii biashara haitakuja kuisha kama ni hivyo. Wanaume mkiacha vitu vingi, dunia itakuwa sehemu salama.
 
Kumbe shida iko kwenu. Kama wanajua udhaifu wenu, nanyinyi mnauendekeza basi ni hatari. Tusiwalaumu wanaouza miili na hii biashara haitakuja kuisha kama ni hivyo. Wanaume mkiacha vitu vingi, dunia itakuwa sehemu salama.
Tuache K kweli.sasa uku kwingine cost sana uanze kuhudumia c bora kununua maana lengo ni kupata K tu.
 
Inadaiwa polisi wa kituo cha Gogoni, Temboni,mazulu hupokea pesa kila siku ili wasiwasimbue,wengi wamepanga pia mitaa hiyo na kutoa huduma kwa bei ya 2000-3000 ,wapo watoto waliochini ya miaka 18 inadaiwa wametolewa mikoani hasa singida, kagera, Arusha, Kilimanjaro na nyanda za juu kusini.
Mleta mada asante sana kwa taarifa hizi.
Kusema kweli nwenyeji hapa tumepaza sana sauti na kutoa vilio kwa mapoilisi na serikali za mitaa!
mapolisi wao huja kila wiki kuchukua pesa (tena kwa gari lao) na kuondoka!
Tena inasemekana ole wako ucheleweshe malipo utawatambua!
Watoto wameathirika , wakazi wa hapo wanapata shida sana!

Kamanda Jumanne Muliro tunaomba msaada wako, Mamlaka husika please ingieni kati kukomeshe hii JEHENAM
 
Hivi mkuu Kahama mjini ni pazuri kiasi chake?..

Huduma muhimu kama maji,fresh foods,sehemu za starehe zipoje?

Mkuu [mention]Darmian [/mention] MJI WA STAREHE ,MJI WA MALAYA WA VIWANGO ,MJI WA GUEST ,LODGE NYINGI

yani ukilala lodge ya 10,000 kahama hapo dar utaipata kwa 30,000 lodge za viwango vbya mno.

nimekaa morogoro, Dodoma na dar ila sijawahi ona sehemu unaweza ukavimba na 50,000 kuanzia msosi wa nguvu, bia, malaya na lodge juuu na chenji za supu asubuhi

mimi huwa naanzia hapa rocky point kwa serengeti lite kama 6, nahamua chillers kwnye bendi na kumalizia choma nalipa 5,000 kaunta nasepa na kaunta girl, nazama lodge ya 8000( hii lodge ya 8000 ni selfie safi na nzuri mzee) demu nampa 15,000 overnight. na asubuhi mdogomdgo kweny supu ya 3000. siku imeisha

hyo ndo bajeti yangu
bia 15,000( lites wanauza 1,500 =10 bottles)
Lodge 8000
Demu 15,000
Kumlipa meneja wa bar ili nisepe na demu -5000
boda jumla -2,000
supu - 3000
na vocha juuu


HII NDO BAJETI YANGU NA NAIFANYAGA MARA 2 kwa mwezi

daaah aiseee kahama ni balaaa
 
Back
Top Bottom