Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
- #21
Anasema tu sasaivi Bado hajakutana na wanaume ambao hawajwahi kuhusu mwanamke kuondoka au akae yte ni juu yake.Inaelekea wee ni katili sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anasema tu sasaivi Bado hajakutana na wanaume ambao hawajwahi kuhusu mwanamke kuondoka au akae yte ni juu yake.Inaelekea wee ni katili sana
Muhimu sana Kwa wanaumeWachaa wee!!
Mpaka unafumwa sms unanuniwa wewe ni kilaza na sijawahi kuwa na kilaza aina yakoNawewe unao wapandwa vichwani pia ni wanaume vilaza wewe kama unalipiza lipiza tu ila kumtegemea msamaha sahau hiyo
Labda kama ukinipa option 2 niuawe au nikiri kosa ndo naweza kujifikria kuomba msamaha hivihivi siwezi
Simu ya kwangu Yanini utafte visivyo kuhusu? Haya umevipata halafu utegemee nikuombe msamaha thubutu!!Mpaka unafumwa sms unanuniwa wewe ni kilaza na sijawahi kuwa na kilaza aina yako
🤣🤣🤣🤒Ulimpata zumbukuku tu, wengine hiyo ni vita ya miaka nenda rudi mbona ungetubu
Hiyo Iko wazi kama ya mbuzi mkuuMwanaume hata ukifumwa ukiwa juu ya kifua cha mwanamke kataa kabisa
Mwanaume hafumaniwi..
Mwanaume "ANAKUTWA"...
Yani wewe ulikutwa na meseji za mapenzi na mwanamke mwingine..
Na hata ukiwa na mwanamke mwingine, ni amekukuta na mwanamke mwingine..
View attachment 3036692
Huenda ni kweli kabisa lkn kuhusu msamaha hata hivo asingeupata kabisaAlikua ameshakusamehe huyo!!
Siku tatu anakaa na Jambo moyoni!!!
Sawasawa kilazaSimu ya kwangu Yanini utafte visivyo kuhusu? Haya umevipata halafu utegemee nikuombe msamaha thubutu!!
Niache na Ukilaza wangu sikupingi Wala siwezi kujibana kwenye simu yangu.😂😂
Ni sawa na kunipa matumizi ya Hela yangu niliyosota nayo mwezi mzima
Nitakushangaa tu
Wanawake wengi hawana pakwenda 😄 Tena ukute Hana kipato chochote ataondoka ataenda wapi? Ataenda kula Nini? Kwahiyo itabidi arudi 2 asubirie chochote hapo. Ukikuta anae jiweza kiuchumi ndio byebyeKuna mwanamke alimfuma mmewe guest na mchepuko kosa alilofanya mwanamke akawaacha akarudi home, mumewe alivyorudi nyumbani alikana kabisa kua sio yeye mkewe kamfananisha vikao viliwekwa mwamba kasimamia msimamo sio yeye mkewe kamfananisha, mwanamke akaondoka baada ya miezi akarudi na maisha yakaendelea.
Kweli kabisa mkuu.Wanawake wengi hawana pakwenda 😄 Tena ukute Hana kipato chochote ataondoka ataenda wapi? Ataenda kula Nini? Kwahiyo itabidi arudi 2 asubirie chochote hapo. Ukikuta anae jiweza kiuchumi ndio byebye
sawaHapana mi mwanaume kawaida tu
Na akikuambia wifi Mimi nimeambiwa utaenda na Dada huyu Dar mkachukue mzigo. Hayo mengine mi siyajui wifi 😂😂 kizazi Cha nyoka ujueMwanamke yupi huyo 😏😏😏
Ningempigia dada yako huyo Wizzo naongea nae very friend " Umeamua kumcover kaka ako na ushetani wake well Mimi mjinga, visasi vyetu unavijua."
Dada yako Kuna neno atakupa tru