Je uliwahi kufumaniwa na mke wako hata meseji(za mapenzi) kwenye simu Yako?

Je uliwahi kufumaniwa na mke wako hata meseji(za mapenzi) kwenye simu Yako?

Wakuu salama.

Hii special Kwa wanaume wasiokubali kutikiswa Wala kujambiwa na wife hata kama anampenda na amemkosea

Kauli mbiu ni:MWANAUME HALISI HAKUBALI KOSA.

Ilinitokea siku Moja nilikuwa naacha simu nyumbani naenda kazini (maana sikuwa na ruhusa ya kuingia na simu kazini kipindi hicho)

Nilkuwa na manzi mmoja Ambae tulipendana sana pengine ilibaki manusura tu nimuone.

Siku hiyo natoka kazini nikamkuta wife kanuna kavimba uso Na ana Angalia kama hanioni.

Kwa kawaida Mimi nishamkataza kunisalimia mbele ya Watoto ama mbele ya wageni.

Ni lazima anifate chumbani anisalimie na kunipa lineup yote ya nyumbani ilivyoenda kutwa nzima

Hii ndo kawaida yangu. Baada ya kuona Kuna dalili isiyo ya kawaida nikauliza unaumwa?

Akajibu si heri hata kuumwa

Nikamuuliza basi umefiwa?

Akajibu mara 100 ningekuwa nimefiwa!

Majibu haya yalinifanya nijiongeze kuwa Leo Kuna kimeo asee.

Sikubabaika hata kidogo. Nikawahi kuangalia simu Ile nafungua msg!!

Aiseee sikuamini nilichokiona

Wamechat na manzi angu Hadi uvumilivu ukamshinda akamtukana!!

Baadhi ya chatting zao zilikuwa Hivi

Manzi:My...
Wife :nambie mpenzi upo poa

Manzi :Nipo poa tu

Wife :nambie ....

Manzi: baby ahadi yetu si Iko palepale Mme wangu maana wewe Kwa kusahau mambo

Wife: mmmh ahadi yetu Tena ipi jamaniii

Manzi:akafunguka story yte na hapa ndipo wife akajitamburisha)

Story ilikuwa Hivi.

Huyu manzi ni mtoto wa 3 kwao na alikuwa Bado hajaolewa ndo ametoka chuo kipindi anatoka chuo yupo tu mzee wake akawa amepta mafao yake baada ya kustaafu ualimu.

Mzee akamwambia mtoto wake achague biashara atakayoweza kusimamia apewe mtaji muda huo akiwa Kwa wazee wake.

Manzi bila kupoteza muda akanidokeza akiniomba ushauri.

Nami nipo vzr nikamuuliza kwanza wewe unapenda biashara Gani?

Akasema anapenda duka la nguo ama vipodozi.

Nikamjibu fanya vipodozi maana mtaani kwao kulikuwa na duka Moja tu la vipodoz Wala sio kubwa na limekata kizamani sana na muuzaji hna customer care

Vilevile hapo nyuma nimewahi simamia pia duka la vipondozi la nyumbani kwetu baada ya dada yangu kuolewa aliyekuwa anauza.

Kama haitoshi dada yangu huyohyo alienda kufunguiwa duka la vipodozi ambalo analo Hadi Leo!

Inshort

Tulipanga kwenda Dar kununua vipodozi Mimi, dada na yeye (3)huku dada akijua kabisa mchezo.

Manzi alifunguka Kwa wife kuwa..... Ile ahadi ya kwenda dar kununua vipodozi umesahau Tena na uliniahidi mwenyewe?

Wife kusikia vile basi akajua Hela ya mtaji nimetoa Mimi ndo akamwambia unachti na mke wake mbwa wewe usiekuwa na haya Kwa wanaume wa wenzio

Malaya ndio maana hujaolewa unachezewa tu(hapo sijabadiri nguo ndo nasoma jasho linatiririka wife hata hajui yupo nje bado)

Nikavaa nikatoka huyoo mtaani

Nikaendelea kusoma nikakaa sehemu Moja Hivi uwanjani watu hufanya mazoezi ya mpira.

Manzi alipoona katukanwa nae kajibu mapigo alimtukana wife vya ndani kuwa hujui kuosha k ndio maana anakuacha anakuja kwangu na Kwa taarifa Yako Hadi gari itanunuliwa!!

Hii vita ilikuwa sio poa
Walipochoka wakapigiana simu maana nilkuta manzi kapiga na wife kapiga kama mara4.

Ilipofika saa2 nikarudi home nimenunua matunda nikakuta amepika akanikaribisha kula ila yeye Hali.

Nikanawa nikamuuliza mbona wewe huli? Akasema kula tu nikamwambia haiwezi tokea

Umenuna nimekuulza unaumwa hajajibu umefiwa hujajibu

Je kama umeweka Sumu humu? basi kula mwenyew au mwaga.

Nikarudi kula mgahawani nikarudi kulala.

Nikajifanya kama sijui kitu Wala sijaona kitu kwenye simu yangu.

Kumbuka nikiwa uwanjani nilimpigia manzi nikamuomba msamaha Kwa yaliyo tokea nikamwambia Mimi nimeshamwambia kabisa nimeoa

hivo alikuwa anakutukana kama mke mwenza sorry baby haya yamepita kuwa na amani hayatajirudia Tena.

Kesho yake nikaenda job kama Kawa nikarudi hivyo hivo kanuna Nami sijali nacheza na dogo tu (mtoto) Wala Sina hofu yoyote Ile.

Siku3 natoka kazini Sasa ndo akanikalisha kikao

Akanieleza wee Mimi nikamwambia sijui kabisa Wala msg sijaona hata Moja kule.

Alinibana lkn wapi nikamwambia Mimi sijui na Mimi nilijua labda una mawazo Yako tu hutaki nishirikisha.

Ikabidi apige simu amuite mzee

Mzee akaja kweli wakanikalisha kikao. Nikajibu mzee sikuona msg Wala Nini ila hiyo no anayosema ni ya rafiki yangu tu aliniomba nimpeleke dar mi nikaona haitakuwa sawa kwenda dar na mwanamke

Ni bora nimuungamishe na dada na Kwa sababu yeye dada ni mzoefu wa biashara hii itakuwa vizuri zaidi

Hata dada tukimpigia simu saivi kumuuliza hii kitu atawaambia kama nilivyo waambia hapa.

Simu ikapigwa na mzee mwenyew dada akajisahaulisha simu nikapewa Mimi nikamwambia yule dada × niliyekuambia mwende nae dar

Dada akajiongeza ukumbuke hapo hajapangwa

Akadakia hata Leo amenipigia anaulizia tunaenda lini mzee wake anauliza vipi Kuna shida kwani?

Maelezo ni mengi lakini Kwa kifupi
Sikukubali kabisa Wala msamaha sikuomba Wala kutingishwa hakunitingisha Tena.

Akanyoooka

Ila mzee akawa amejua akaniambia hakikisha simu Yako unafunga kabisa na umzuie asishike au kama atatumia asipokee simu Yako Wala kusoma msg zako akimaliza kutumia aendelee na simu yake.

Ni hivyo wakuu. Share hapa nww kisa chako uli
Pichani ni bibi akiniambia mwanaume haombi msamaha Bali husema yameisha basii jamani
Kila ndani ya siku 365 na robo napata hizo kesi mara 2 au3.
 
Huo ndo uanaume Sasa sio kirahisi tu ushaomba msamaha
Me ilishanitokea lakin sio mke ni mtu niliyekua nampenda sana.

Sasa nilimuomba mchazo akawa ananipanga tu zaid ya siku 5, me huwa sijui kabisa kubembeleza kupewa penzi ukizingua nakaa kimya tu napotezea natafuta wale wanaoshoboka napiga.
(Kila mwanaume huwa Ana dem ambaye huwa hachomoi ukimtaka).

Yule mpenz alikua anapiga sim usiku siku hiyo sipokei na sms sijjibu mpaka asbui kumbe aliniona akawa ananifatilia mpaka naingia Lodge siku hiyo,akaja kunielezea kila kitu nilishtuka sana.

Ila nilikataa sikukubali na sikuomba msamaa ,akanuna wiki nikashikria msimamo wangu sikukubali.
 
Kilichofanya nikuvue nyota ni kitendo cha kumuomba mchepuko msamaha huku wife umemkazia. Huwa pia nakuwa ngumu kuomba msamaha kwa wife lakini mchepuko ukimzingua wife aisee atajuta kwa nn aliamua kuchepuka na mm.

Michepuko huwa naiambia hata wife akimdunda mangumi anachotakiwa ni kukaa kimya au kukimbia baaasii sio kumsemea mbovu wife, siwezi vumilia huo upuuzi
Nyota kunivua sio rahisi hapo nilkuwa nawinda Hela mkuu kama nilivosema mzee wake alikuwa mstaafu ningekulaje hizo Hela Sasa bila kujifanya bwege Kwa Wakati huo maana mavuno yalikuwa hakika
 
Hii imekaa kama fix vile maana mmmh 😂😂😂😂 hawa jamaa na jinsi ulivyoandika hii habari sio kweli broo vinginevyo mke wako ni zaidi ya malaika na cha kushangaza bado yupo 😳😳
Jamaa wanatofautiana.
Kuna mshikaji alifumaniwa na mke wa mshikaji akapigwa kweli kweli na akatolewa mkumku. Wife wake akasikia Kila kitu alipo muhoji akakataa huku ana ngeo akamwambia siyo kweli sema wamepigana Kwa sababu alikuwa anadaiwa na jamaa akamjibu vibaya huku na huku jamaa kameza wembe hakukubali
 
Wakuu salama.

Hii special Kwa wanaume wasiokubali kutikiswa Wala kujambiwa na wife hata kama anampenda na amemkosea

Kauli mbiu ni:MWANAUME HALISI HAKUBALI KOSA.

Ilinitokea siku Moja nilikuwa naacha simu nyumbani naenda kazini (maana sikuwa na ruhusa ya kuingia na simu kazini kipindi hicho)

Nilkuwa na manzi mmoja Ambae tulipendana sana pengine ilibaki manusura tu nimuone.

Siku hiyo natoka kazini nikamkuta wife kanuna kavimba uso Na ana Angalia kama hanioni.

Kwa kawaida Mimi nishamkataza kunisalimia mbele ya Watoto ama mbele ya wageni.

Ni lazima anifate chumbani anisalimie na kunipa lineup yote ya nyumbani ilivyoenda kutwa nzima

Hii ndo kawaida yangu. Baada ya kuona Kuna dalili isiyo ya kawaida nikauliza unaumwa?

Akajibu si heri hata kuumwa

Nikamuuliza basi umefiwa?

Akajibu mara 100 ningekuwa nimefiwa!

Majibu haya yalinifanya nijiongeze kuwa Leo Kuna kimeo asee.

Sikubabaika hata kidogo. Nikawahi kuangalia simu Ile nafungua msg!!

Aiseee sikuamini nilichokiona

Wamechat na manzi angu Hadi uvumilivu ukamshinda akamtukana!!

Baadhi ya chatting zao zilikuwa Hivi

Manzi:My...
Wife :nambie mpenzi upo poa

Manzi :Nipo poa tu

Wife :nambie ....

Manzi: baby ahadi yetu si Iko palepale Mme wangu maana wewe Kwa kusahau mambo

Wife: mmmh ahadi yetu Tena ipi jamaniii

Manzi:akafunguka story yte na hapa ndipo wife akajitamburisha)

Story ilikuwa Hivi.

Huyu manzi ni mtoto wa 3 kwao na alikuwa Bado hajaolewa ndo ametoka chuo kipindi anatoka chuo yupo tu mzee wake akawa amepta mafao yake baada ya kustaafu ualimu.

Mzee akamwambia mtoto wake achague biashara atakayoweza kusimamia apewe mtaji muda huo akiwa Kwa wazee wake.

Manzi bila kupoteza muda akanidokeza akiniomba ushauri.

Nami nipo vzr nikamuuliza kwanza wewe unapenda biashara Gani?

Akasema anapenda duka la nguo ama vipodozi.

Nikamjibu fanya vipodozi maana mtaani kwao kulikuwa na duka Moja tu la vipodoz Wala sio kubwa na limekata kizamani sana na muuzaji hna customer care

Vilevile hapo nyuma nimewahi simamia pia duka la vipondozi la nyumbani kwetu baada ya dada yangu kuolewa aliyekuwa anauza.

Kama haitoshi dada yangu huyohyo alienda kufunguiwa duka la vipodozi ambalo analo Hadi Leo!

Inshort

Tulipanga kwenda Dar kununua vipodozi Mimi, dada na yeye (3)huku dada akijua kabisa mchezo.

Manzi alifunguka Kwa wife kuwa..... Ile ahadi ya kwenda dar kununua vipodozi umesahau Tena na uliniahidi mwenyewe?

Wife kusikia vile basi akajua Hela ya mtaji nimetoa Mimi ndo akamwambia unachti na mke wake mbwa wewe usiekuwa na haya Kwa wanaume wa wenzio

Malaya ndio maana hujaolewa unachezewa tu(hapo sijabadiri nguo ndo nasoma jasho linatiririka wife hata hajui yupo nje bado)

Nikavaa nikatoka huyoo mtaani

Nikaendelea kusoma nikakaa sehemu Moja Hivi uwanjani watu hufanya mazoezi ya mpira.

Manzi alipoona katukanwa nae kajibu mapigo alimtukana wife vya ndani kuwa hujui kuosha k ndio maana anakuacha anakuja kwangu na Kwa taarifa Yako Hadi gari itanunuliwa!!

Hii vita ilikuwa sio poa
Walipochoka wakapigiana simu maana nilkuta manzi kapiga na wife kapiga kama mara4.

Ilipofika saa2 nikarudi home nimenunua matunda nikakuta amepika akanikaribisha kula ila yeye Hali.

Nikanawa nikamuuliza mbona wewe huli? Akasema kula tu nikamwambia haiwezi tokea

Umenuna nimekuulza unaumwa hajajibu umefiwa hujajibu

Je kama umeweka Sumu humu? basi kula mwenyew au mwaga.

Nikarudi kula mgahawani nikarudi kulala.

Nikajifanya kama sijui kitu Wala sijaona kitu kwenye simu yangu.

Kumbuka nikiwa uwanjani nilimpigia manzi nikamuomba msamaha Kwa yaliyo tokea nikamwambia Mimi nimeshamwambia kabisa nimeoa

hivo alikuwa anakutukana kama mke mwenza sorry baby haya yamepita kuwa na amani hayatajirudia Tena.

Kesho yake nikaenda job kama Kawa nikarudi hivyo hivo kanuna Nami sijali nacheza na dogo tu (mtoto) Wala Sina hofu yoyote Ile.

Siku3 natoka kazini Sasa ndo akanikalisha kikao

Akanieleza wee Mimi nikamwambia sijui kabisa Wala msg sijaona hata Moja kule.

Alinibana lkn wapi nikamwambia Mimi sijui na Mimi nilijua labda una mawazo Yako tu hutaki nishirikisha.

Ikabidi apige simu amuite mzee

Mzee akaja kweli wakanikalisha kikao. Nikajibu mzee sikuona msg Wala Nini ila hiyo no anayosema ni ya rafiki yangu tu aliniomba nimpeleke dar mi nikaona haitakuwa sawa kwenda dar na mwanamke

Ni bora nimuungamishe na dada na Kwa sababu yeye dada ni mzoefu wa biashara hii itakuwa vizuri zaidi

Hata dada tukimpigia simu saivi kumuuliza hii kitu atawaambia kama nilivyo waambia hapa.

Simu ikapigwa na mzee mwenyew dada akajisahaulisha simu nikapewa Mimi nikamwambia yule dada × niliyekuambia mwende nae dar

Dada akajiongeza ukumbuke hapo hajapangwa

Akadakia hata Leo amenipigia anaulizia tunaenda lini mzee wake anauliza vipi Kuna shida kwani?

Maelezo ni mengi lakini Kwa kifupi
Sikukubali kabisa Wala msamaha sikuomba Wala kutingishwa hakunitingisha Tena.

Akanyoooka

Ila mzee akawa amejua akaniambia hakikisha simu Yako unafunga kabisa na umzuie asishike au kama atatumia asipokee simu Yako Wala kusoma msg zako akimaliza kutumia aendelee na simu yake.

Ni hivyo wakuu. Share hapa nww kisa chako uli
Pichani ni bibi akiniambia mwanaume haombi msamaha Bali husema yameisha basii jamani
Ilinitokea na nikakataa sio sms zangu
 
Unarudi kazini unakuta nimesoma msg zako halafu sinuni wala nini, na sikuulizi chohote. Utaanza kujiuliza mwenyewe...ina maana hajanuna?....au naye anafanya zinaa so anaona kawaida?....au ananidharau?....au atanitilia sumu...au hajali....au.....au....au. Ila ujue sehemu kubwa ya upendo imekwenda na maji. Iko siku utajutia juto kuu.
 
Back
Top Bottom