Kwa hiyo unafikiri umemkomesha na umeshinda? PoleAlikuta pakit ya kondom zipo mbili,akaniukiza Moja umetumia na Malaya wako .nikadilika nikamwambia umejuaje zipo tatu ? Kibano kikageukia kwake ilibid awe mpole
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo unafikiri umemkomesha na umeshinda? PoleAlikuta pakit ya kondom zipo mbili,akaniukiza Moja umetumia na Malaya wako .nikadilika nikamwambia umejuaje zipo tatu ? Kibano kikageukia kwake ilibid awe mpole
Ndio ndio..😂😂😂 Nadhani alisema Hivi akiwa iringa bila shaka
Ushahidi uliopatikana kukataa ingezidi kuleta mtafaruku. Nilikubali, ila version yenyewe ilibidi anihurumie. Lakini sikutaka mambo yawe mengiMnapata vilaza hiyo kutishia kuondoka wanafanya vilaza
😂😂😂😂😂😂Ushahidi uliopatikana kukataa ingezidi kuleta mtafaruku. Nilikubali, ila version yenyewe ilibidi anihurumie. Lakini sikutaka mambo yawe mengi
Kuna vitu unavyozidi kukataa unakuza mgogoro.
Au unasemaje international staff?😂😂😂😂😂😂
hiyo nimeipenda sanaWakuu salama.
Hii special Kwa wanaume wasiokubali kutikiswa Wala kujambiwa na wife hata kama anampenda na amemkosea
Kauli mbiu ni:MWANAUME HALISI HAKUBALI KOSA.
Ilinitokea siku Moja nilikuwa naacha simu nyumbani naenda kazini (maana sikuwa na ruhusa ya kuingia na simu kazini kipindi hicho)
Nilkuwa na manzi mmoja Ambae tulipendana sana pengine ilibaki manusura tu nimuone.
Siku hiyo natoka kazini nikamkuta wife kanuna kavimba uso Na ana Angalia kama hanioni.
Kwa kawaida Mimi nishamkataza kunisalimia mbele ya Watoto ama mbele ya wageni.
Ni lazima anifate chumbani anisalimie na kunipa lineup yote ya nyumbani ilivyoenda kutwa nzima
Hii ndo kawaida yangu. Baada ya kuona Kuna dalili isiyo ya kawaida nikauliza unaumwa?
Akajibu si heri hata kuumwa
Nikamuuliza basi umefiwa?
Akajibu mara 100 ningekuwa nimefiwa!
Majibu haya yalinifanya nijiongeze kuwa Leo Kuna kimeo asee.
Sikubabaika hata kidogo. Nikawahi kuangalia simu Ile nafungua msg!!
Aiseee sikuamini nilichokiona
Wamechat na manzi angu Hadi uvumilivu ukamshinda akamtukana!!
Baadhi ya chatting zao zilikuwa Hivi
Manzi:My...
Wife :nambie mpenzi upo poa
Manzi :Nipo poa tu
Wife :nambie ....
Manzi: baby ahadi yetu si Iko palepale Mme wangu maana wewe Kwa kusahau mambo
Wife: mmmh ahadi yetu Tena ipi jamaniii
Manzi:akafunguka story yte na hapa ndipo wife akajitamburisha)
Story ilikuwa Hivi.
Huyu manzi ni mtoto wa 3 kwao na alikuwa Bado hajaolewa ndo ametoka chuo kipindi anatoka chuo yupo tu mzee wake akawa amepta mafao yake baada ya kustaafu ualimu.
Mzee akamwambia mtoto wake achague biashara atakayoweza kusimamia apewe mtaji muda huo akiwa Kwa wazee wake.
Manzi bila kupoteza muda akanidokeza akiniomba ushauri.
Nami nipo vzr nikamuuliza kwanza wewe unapenda biashara Gani?
Akasema anapenda duka la nguo ama vipodozi.
Nikamjibu fanya vipodozi maana mtaani kwao kulikuwa na duka Moja tu la vipodoz Wala sio kubwa na limekata kizamani sana na muuzaji hna customer care
Vilevile hapo nyuma nimewahi simamia pia duka la vipondozi la nyumbani kwetu baada ya dada yangu kuolewa aliyekuwa anauza.
Kama haitoshi dada yangu huyohyo alienda kufunguiwa duka la vipodozi ambalo analo Hadi Leo!
Inshort
Tulipanga kwenda Dar kununua vipodozi Mimi, dada na yeye (3)huku dada akijua kabisa mchezo.
Manzi alifunguka Kwa wife kuwa..... Ile ahadi ya kwenda dar kununua vipodozi umesahau Tena na uliniahidi mwenyewe?
Wife kusikia vile basi akajua Hela ya mtaji nimetoa Mimi ndo akamwambia unachti na mke wake mbwa wewe usiekuwa na haya Kwa wanaume wa wenzio
Malaya ndio maana hujaolewa unachezewa tu(hapo sijabadiri nguo ndo nasoma jasho linatiririka wife hata hajui yupo nje bado)
Nikavaa nikatoka huyoo mtaani
Nikaendelea kusoma nikakaa sehemu Moja Hivi uwanjani watu hufanya mazoezi ya mpira.
Manzi alipoona katukanwa nae kajibu mapigo alimtukana wife vya ndani kuwa hujui kuosha k ndio maana anakuacha anakuja kwangu na Kwa taarifa Yako Hadi gari itanunuliwa!!
Hii vita ilikuwa sio poa
Walipochoka wakapigiana simu maana nilkuta manzi kapiga na wife kapiga kama mara4.
Ilipofika saa2 nikarudi home nimenunua matunda nikakuta amepika akanikaribisha kula ila yeye Hali.
Nikanawa nikamuuliza mbona wewe huli? Akasema kula tu nikamwambia haiwezi tokea
Umenuna nimekuulza unaumwa hajajibu umefiwa hujajibu
Je kama umeweka Sumu humu? basi kula mwenyew au mwaga.
Nikarudi kula mgahawani nikarudi kulala.
Nikajifanya kama sijui kitu Wala sijaona kitu kwenye simu yangu.
Kumbuka nikiwa uwanjani nilimpigia manzi nikamuomba msamaha Kwa yaliyo tokea nikamwambia Mimi nimeshamwambia kabisa nimeoa
hivo alikuwa anakutukana kama mke mwenza sorry baby haya yamepita kuwa na amani hayatajirudia Tena.
Kesho yake nikaenda job kama Kawa nikarudi hivyo hivo kanuna Nami sijali nacheza na dogo tu (mtoto) Wala Sina hofu yoyote Ile.
Siku3 natoka kazini Sasa ndo akanikalisha kikao
Akanieleza wee Mimi nikamwambia sijui kabisa Wala msg sijaona hata Moja kule.
Alinibana lkn wapi nikamwambia Mimi sijui na Mimi nilijua labda una mawazo Yako tu hutaki nishirikisha.
Ikabidi apige simu amuite mzee
Mzee akaja kweli wakanikalisha kikao. Nikajibu mzee sikuona msg Wala Nini ila hiyo no anayosema ni ya rafiki yangu tu aliniomba nimpeleke dar mi nikaona haitakuwa sawa kwenda dar na mwanamke
Ni bora nimuungamishe na dada na Kwa sababu yeye dada ni mzoefu wa biashara hii itakuwa vizuri zaidi
Hata dada tukimpigia simu saivi kumuuliza hii kitu atawaambia kama nilivyo waambia hapa.
Simu ikapigwa na mzee mwenyew dada akajisahaulisha simu nikapewa Mimi nikamwambia yule dada × niliyekuambia mwende nae dar
Dada akajiongeza ukumbuke hapo hajapangwa
Akadakia hata Leo amenipigia anaulizia tunaenda lini mzee wake anauliza vipi Kuna shida kwani?
Maelezo ni mengi lakini Kwa kifupi
Sikukubali kabisa Wala msamaha sikuomba Wala kutingishwa hakunitingisha Tena.
Akanyoooka
Ila mzee akawa amejua akaniambia hakikisha simu Yako unafunga kabisa na umzuie asishike au kama atatumia asipokee simu Yako Wala kusoma msg zako akimaliza kutumia aendelee na simu yake.
Ni hivyo wakuu. Share hapa nww kisa chako uli
Pichani ni bibi akiniambia mwanaume haombi msamaha Bali husema yameisha basii jamani
yani angejutaaaa[emoji28], angeenda na kulala kwa hicho kimalaya chake, yani hata mtoto asingemgusa angeishia kumuangalia tu dirishani.. uwiiiiii nyumba ingegeuka gaza na israel[emoji23]Ulimpata zumbukuku tu, wengine hiyo ni vita ya miaka nenda rudi mbona ungetubu
NILIKUTA YANNABII NILIPOMPIGIAA AKANIAMBIA NABÌINAFUMANIWII NKAMWOMBA TU AANDIKE WOSIA.MAPEMA ELSE AKIENDELEA ATAGEUKA NYAMA ZA MACHINJION ILENAMBA NIKIPGA MPAKALEO NA LINE ZA WATU HAOPATIKANWakuu salama.
Hii special Kwa wanaume wasiokubali kutikiswa Wala kujambiwa na wife hata kama anampenda na amemkosea
Kauli mbiu ni:MWANAUME HALISI HAKUBALI KOSA.
Ilinitokea siku Moja nilikuwa naacha simu nyumbani naenda kazini (maana sikuwa na ruhusa ya kuingia na simu kazini kipindi hicho)
Nilkuwa na manzi mmoja Ambae tulipendana sana pengine ilibaki manusura tu nimuone.
Siku hiyo natoka kazini nikamkuta wife kanuna kavimba uso Na ana Angalia kama hanioni.
Kwa kawaida Mimi nishamkataza kunisalimia mbele ya Watoto ama mbele ya wageni.
Ni lazima anifate chumbani anisalimie na kunipa lineup yote ya nyumbani ilivyoenda kutwa nzima
Hii ndo kawaida yangu. Baada ya kuona Kuna dalili isiyo ya kawaida nikauliza unaumwa?
Akajibu si heri hata kuumwa
Nikamuuliza basi umefiwa?
Akajibu mara 100 ningekuwa nimefiwa!
Majibu haya yalinifanya nijiongeze kuwa Leo Kuna kimeo asee.
Sikubabaika hata kidogo. Nikawahi kuangalia simu Ile nafungua msg!!
Aiseee sikuamini nilichokiona
Wamechat na manzi angu Hadi uvumilivu ukamshinda akamtukana!!
Baadhi ya chatting zao zilikuwa Hivi
Manzi:My...
Wife :nambie mpenzi upo poa
Manzi :Nipo poa tu
Wife :nambie ....
Manzi: baby ahadi yetu si Iko palepale Mme wangu maana wewe Kwa kusahau mambo
Wife: mmmh ahadi yetu Tena ipi jamaniii
Manzi:akafunguka story yte na hapa ndipo wife akajitamburisha)
Story ilikuwa Hivi.
Huyu manzi ni mtoto wa 3 kwao na alikuwa Bado hajaolewa ndo ametoka chuo kipindi anatoka chuo yupo tu mzee wake akawa amepta mafao yake baada ya kustaafu ualimu.
Mzee akamwambia mtoto wake achague biashara atakayoweza kusimamia apewe mtaji muda huo akiwa Kwa wazee wake.
Manzi bila kupoteza muda akanidokeza akiniomba ushauri.
Nami nipo vzr nikamuuliza kwanza wewe unapenda biashara Gani?
Akasema anapenda duka la nguo ama vipodozi.
Nikamjibu fanya vipodozi maana mtaani kwao kulikuwa na duka Moja tu la vipodoz Wala sio kubwa na limekata kizamani sana na muuzaji hna customer care
Vilevile hapo nyuma nimewahi simamia pia duka la vipondozi la nyumbani kwetu baada ya dada yangu kuolewa aliyekuwa anauza.
Kama haitoshi dada yangu huyohyo alienda kufunguiwa duka la vipodozi ambalo analo Hadi Leo!
Inshort
Tulipanga kwenda Dar kununua vipodozi Mimi, dada na yeye (3)huku dada akijua kabisa mchezo.
Manzi alifunguka Kwa wife kuwa..... Ile ahadi ya kwenda dar kununua vipodozi umesahau Tena na uliniahidi mwenyewe?
Wife kusikia vile basi akajua Hela ya mtaji nimetoa Mimi ndo akamwambia unachti na mke wake mbwa wewe usiekuwa na haya Kwa wanaume wa wenzio
Malaya ndio maana hujaolewa unachezewa tu(hapo sijabadiri nguo ndo nasoma jasho linatiririka wife hata hajui yupo nje bado)
Nikavaa nikatoka huyoo mtaani
Nikaendelea kusoma nikakaa sehemu Moja Hivi uwanjani watu hufanya mazoezi ya mpira.
Manzi alipoona katukanwa nae kajibu mapigo alimtukana wife vya ndani kuwa hujui kuosha k ndio maana anakuacha anakuja kwangu na Kwa taarifa Yako Hadi gari itanunuliwa!!
Hii vita ilikuwa sio poa
Walipochoka wakapigiana simu maana nilkuta manzi kapiga na wife kapiga kama mara4.
Ilipofika saa2 nikarudi home nimenunua matunda nikakuta amepika akanikaribisha kula ila yeye Hali.
Nikanawa nikamuuliza mbona wewe huli? Akasema kula tu nikamwambia haiwezi tokea
Umenuna nimekuulza unaumwa hajajibu umefiwa hujajibu
Je kama umeweka Sumu humu? basi kula mwenyew au mwaga.
Nikarudi kula mgahawani nikarudi kulala.
Nikajifanya kama sijui kitu Wala sijaona kitu kwenye simu yangu.
Kumbuka nikiwa uwanjani nilimpigia manzi nikamuomba msamaha Kwa yaliyo tokea nikamwambia Mimi nimeshamwambia kabisa nimeoa
hivo alikuwa anakutukana kama mke mwenza sorry baby haya yamepita kuwa na amani hayatajirudia Tena.
Kesho yake nikaenda job kama Kawa nikarudi hivyo hivo kanuna Nami sijali nacheza na dogo tu (mtoto) Wala Sina hofu yoyote Ile.
Siku3 natoka kazini Sasa ndo akanikalisha kikao
Akanieleza wee Mimi nikamwambia sijui kabisa Wala msg sijaona hata Moja kule.
Alinibana lkn wapi nikamwambia Mimi sijui na Mimi nilijua labda una mawazo Yako tu hutaki nishirikisha.
Ikabidi apige simu amuite mzee
Mzee akaja kweli wakanikalisha kikao. Nikajibu mzee sikuona msg Wala Nini ila hiyo no anayosema ni ya rafiki yangu tu aliniomba nimpeleke dar mi nikaona haitakuwa sawa kwenda dar na mwanamke
Ni bora nimuungamishe na dada na Kwa sababu yeye dada ni mzoefu wa biashara hii itakuwa vizuri zaidi
Hata dada tukimpigia simu saivi kumuuliza hii kitu atawaambia kama nilivyo waambia hapa.
Simu ikapigwa na mzee mwenyew dada akajisahaulisha simu nikapewa Mimi nikamwambia yule dada × niliyekuambia mwende nae dar
Dada akajiongeza ukumbuke hapo hajapangwa
Akadakia hata Leo amenipigia anaulizia tunaenda lini mzee wake anauliza vipi Kuna shida kwani?
Maelezo ni mengi lakini Kwa kifupi
Sikukubali kabisa Wala msamaha sikuomba Wala kutingishwa hakunitingisha Tena.
Akanyoooka
Ila mzee akawa amejua akaniambia hakikisha simu Yako unafunga kabisa na umzuie asishike au kama atatumia asipokee simu Yako Wala kusoma msg zako akimaliza kutumia aendelee na simu yake.
Ni hivyo wakuu. Share hapa nww kisa chako uli
Pichani ni bibi akiniambia mwanaume haombi msamaha Bali husema yameisha basii jamani
sahihiAnyway inawezekana unaona maisha yameendelea bila shida,but trust me kuna kauaminifu kwako kamepungua,ila ameamua tu msonge mbele inawezekana mmetoka mbali........siyo jambo jema sana jambo kama hilo,hasa mkeo kutukanwa na mchepuko wako....... wanaume hata kama unanyumba ndogo hakikisha mkeo haguswi kwa namna yoyote,unapanda mbegu mbaya sana,japo huwa tunawaona wanawake wajinga ila tunawakosea sana
HujaulizwaUlimpata zumbukuku tu, wengine hiyo ni vita ya miaka nenda rudi mbona ungetubu
Hii imekaa kama fix vile maana mmmh 😂😂😂😂 hawa jamaa na jinsi ulivyoandika hii habari sio kweli broo vinginevyo mke wako ni zaidi ya malaika na cha kushangaza bado yupo 😳😳
AndaziHapa nilipo nimefumaniwa na nilijua na chat na mchepuko kumbe mke
duuu we unatakiwa usiwe kwenye mahusiano sasa maana hasira yako mbaya mnoomimi mwanaume wa ivo atakuta sim imepasuliwa na tofali anabisha nachoma nguo zake moto anabisha mafuta ya taa yanatuhusu wote
🤣bipolarduuu we unatakiwa usiwe kwenye mahusiano sasa maana hasira yako mbaya mnoo
Hongera mkuu mwanaume kweli kukataa ni silaha ya kwanza ila inaonekana mkeo ni jobless hana lolote kila kitu anategemea toka kwako or anacho cha kwake ila wewe una pesa nyingi sana kwahiyo anaona kabisa akitoka atamiss kitu. Trust me mwanamke kama ana kipato chake na wewe kipato chako ni cha kawaida halafu umfanyie hivyo kuna mawili either atabaki hapo ila ndoa yenu inakuwa imekufa kwa ndani kila mtu atafanya lake ni nje tu watu wataona mko pamoja au ataondona na kuendelea na maisha yake. The only way to control woman ni mwanaume kuwa na uchumi mkubwa mara tatu zaidi yake hapo atakutii na ndio maana siku zote hapa tunawaambia NDOA NI UTAPELIWakuu salama.
Hii special Kwa wanaume wasiokubali kutikiswa Wala kujambiwa na wife hata kama anampenda na amemkosea
Kauli mbiu ni:MWANAUME HALISI HAKUBALI KOSA.
Ilinitokea siku Moja nilikuwa naacha simu nyumbani naenda kazini (maana sikuwa na ruhusa ya kuingia na simu kazini kipindi hicho)
Nilkuwa na manzi mmoja Ambae tulipendana sana pengine ilibaki manusura tu nimuone.
Siku hiyo natoka kazini nikamkuta wife kanuna kavimba uso Na ana Angalia kama hanioni.
Kwa kawaida Mimi nishamkataza kunisalimia mbele ya Watoto ama mbele ya wageni.
Ni lazima anifate chumbani anisalimie na kunipa lineup yote ya nyumbani ilivyoenda kutwa nzima
Hii ndo kawaida yangu. Baada ya kuona Kuna dalili isiyo ya kawaida nikauliza unaumwa?
Akajibu si heri hata kuumwa
Nikamuuliza basi umefiwa?
Akajibu mara 100 ningekuwa nimefiwa!
Majibu haya yalinifanya nijiongeze kuwa Leo Kuna kimeo asee.
Sikubabaika hata kidogo. Nikawahi kuangalia simu Ile nafungua msg!!
Aiseee sikuamini nilichokiona
Wamechat na manzi angu Hadi uvumilivu ukamshinda akamtukana!!
Baadhi ya chatting zao zilikuwa Hivi
Manzi:My...
Wife :nambie mpenzi upo poa
Manzi :Nipo poa tu
Wife :nambie ....
Manzi: baby ahadi yetu si Iko palepale Mme wangu maana wewe Kwa kusahau mambo
Wife: mmmh ahadi yetu Tena ipi jamaniii
Manzi:akafunguka story yte na hapa ndipo wife akajitamburisha)
Story ilikuwa Hivi.
Huyu manzi ni mtoto wa 3 kwao na alikuwa Bado hajaolewa ndo ametoka chuo kipindi anatoka chuo yupo tu mzee wake akawa amepta mafao yake baada ya kustaafu ualimu.
Mzee akamwambia mtoto wake achague biashara atakayoweza kusimamia apewe mtaji muda huo akiwa Kwa wazee wake.
Manzi bila kupoteza muda akanidokeza akiniomba ushauri.
Nami nipo vzr nikamuuliza kwanza wewe unapenda biashara Gani?
Akasema anapenda duka la nguo ama vipodozi.
Nikamjibu fanya vipodozi maana mtaani kwao kulikuwa na duka Moja tu la vipodoz Wala sio kubwa na limekata kizamani sana na muuzaji hna customer care
Vilevile hapo nyuma nimewahi simamia pia duka la vipondozi la nyumbani kwetu baada ya dada yangu kuolewa aliyekuwa anauza.
Kama haitoshi dada yangu huyohyo alienda kufunguiwa duka la vipodozi ambalo analo Hadi Leo!
Inshort
Tulipanga kwenda Dar kununua vipodozi Mimi, dada na yeye (3)huku dada akijua kabisa mchezo.
Manzi alifunguka Kwa wife kuwa..... Ile ahadi ya kwenda dar kununua vipodozi umesahau Tena na uliniahidi mwenyewe?
Wife kusikia vile basi akajua Hela ya mtaji nimetoa Mimi ndo akamwambia unachti na mke wake mbwa wewe usiekuwa na haya Kwa wanaume wa wenzio
Malaya ndio maana hujaolewa unachezewa tu(hapo sijabadiri nguo ndo nasoma jasho linatiririka wife hata hajui yupo nje bado)
Nikavaa nikatoka huyoo mtaani
Nikaendelea kusoma nikakaa sehemu Moja Hivi uwanjani watu hufanya mazoezi ya mpira.
Manzi alipoona katukanwa nae kajibu mapigo alimtukana wife vya ndani kuwa hujui kuosha k ndio maana anakuacha anakuja kwangu na Kwa taarifa Yako Hadi gari itanunuliwa!!
Hii vita ilikuwa sio poa
Walipochoka wakapigiana simu maana nilkuta manzi kapiga na wife kapiga kama mara4.
Ilipofika saa2 nikarudi home nimenunua matunda nikakuta amepika akanikaribisha kula ila yeye Hali.
Nikanawa nikamuuliza mbona wewe huli? Akasema kula tu nikamwambia haiwezi tokea
Umenuna nimekuulza unaumwa hajajibu umefiwa hujajibu
Je kama umeweka Sumu humu? basi kula mwenyew au mwaga.
Nikarudi kula mgahawani nikarudi kulala.
Nikajifanya kama sijui kitu Wala sijaona kitu kwenye simu yangu.
Kumbuka nikiwa uwanjani nilimpigia manzi nikamuomba msamaha Kwa yaliyo tokea nikamwambia Mimi nimeshamwambia kabisa nimeoa
hivo alikuwa anakutukana kama mke mwenza sorry baby haya yamepita kuwa na amani hayatajirudia Tena.
Kesho yake nikaenda job kama Kawa nikarudi hivyo hivo kanuna Nami sijali nacheza na dogo tu (mtoto) Wala Sina hofu yoyote Ile.
Siku3 natoka kazini Sasa ndo akanikalisha kikao
Akanieleza wee Mimi nikamwambia sijui kabisa Wala msg sijaona hata Moja kule.
Alinibana lkn wapi nikamwambia Mimi sijui na Mimi nilijua labda una mawazo Yako tu hutaki nishirikisha.
Ikabidi apige simu amuite mzee
Mzee akaja kweli wakanikalisha kikao. Nikajibu mzee sikuona msg Wala Nini ila hiyo no anayosema ni ya rafiki yangu tu aliniomba nimpeleke dar mi nikaona haitakuwa sawa kwenda dar na mwanamke
Ni bora nimuungamishe na dada na Kwa sababu yeye dada ni mzoefu wa biashara hii itakuwa vizuri zaidi
Hata dada tukimpigia simu saivi kumuuliza hii kitu atawaambia kama nilivyo waambia hapa.
Simu ikapigwa na mzee mwenyew dada akajisahaulisha simu nikapewa Mimi nikamwambia yule dada × niliyekuambia mwende nae dar
Dada akajiongeza ukumbuke hapo hajapangwa
Akadakia hata Leo amenipigia anaulizia tunaenda lini mzee wake anauliza vipi Kuna shida kwani?
Maelezo ni mengi lakini Kwa kifupi
Sikukubali kabisa Wala msamaha sikuomba Wala kutingishwa hakunitingisha Tena.
Akanyoooka
Ila mzee akawa amejua akaniambia hakikisha simu Yako unafunga kabisa na umzuie asishike au kama atatumia asipokee simu Yako Wala kusoma msg zako akimaliza kutumia aendelee na simu yake.
Ni hivyo wakuu. Share hapa nww kisa chako uli
Pichani ni bibi akiniambia mwanaume haombi msamaha Bali husema yameisha basii jamani
Wewe sasa ndo unatujulia wanawake, achana na mtoa mada amesahau kiburi huishi kwa mpumbavuUshahidi uliopatikana kukataa ingezidi kuleta mtafaruku. Nilikubali, ila version yenyewe ilibidi anihurumie. Lakini sikutaka mambo yawe mengi
Kuna vitu unavyozidi kukataa unakuza mgogoro.
Angefurahishwayani angejutaaaa[emoji28], angeenda na kulala kwa hicho kimalaya chake, yani hata mtoto asingemgusa angeishia kumuangalia tu dirishani.. uwiiiiii nyumba ingegeuka gaza na israel[emoji23]
mwanamke wa ndoa Halafu Kuna mwanamke Malaya. Sasa niwajibu wako kujitathimini upo kundi Gani hapaAngefurahishwa
Mkuu hayo yte usemayo ni juu yake/Yao but msimamo wangu ni huo.Hongera mkuu mwanaume kweli kukataa ni silaha ya kwanza ila inaonekana mkeo ni jobless hana lolote kila kitu anategemea toka kwako or anacho cha kwake ila wewe una pesa nyingi sana kwahiyo anaona kabisa akitoka atamiss kitu. Trust me mwanamke kama ana kipato chake na wewe kipato chako ni cha kawaida halafu umfanyie hivyo kuna mawili either atabaki hapo ila ndoa yenu inakuwa imekufa kwa ndani kila mtu atafanya lake ni nje tu watu wataona mko pamoja au ataondona na kuendelea na maisha yake. The only way to control woman ni mwanaume kuwa na uchumi mkubwa mara tatu zaidi yake hapo atakutii na ndio maana siku zote hapa tunawaambia NDOA NI UTAPELI
Akivunja simu maana yake ipo siku naye atavunjwa.duuu we unatakiwa usiwe kwenye mahusiano sasa maana hasira yako mbaya mnoo