Je, uliwahi kukutana na changamoto gani katika kutafuta ajira

Je, uliwahi kukutana na changamoto gani katika kutafuta ajira

Sakwe

Member
Joined
Jul 31, 2022
Posts
46
Reaction score
300
Mimi nilikutana na matangazo haya ya ajira kwenye nguzo za umeme bhn mshahara 410k. Nikapiga simu, wakaniambia niende kwenye interview kesho yake pale Chang'ombe Junction saa 12 asubuhi na niwe smart sana, wakaniasa.

Kesho yake, kama kawaida, nikaenda kutimba pale Chang'ombe. Nikampigia jamaa, akanipa maelekezo hadi nikafika pale. Mmmh, nikaanza kupata wasiwasi tu kwa muonekano wa ofisi ile. Kuangalia kushoto, naona watu wamejipanga mstarini—yaani ni kama parade hivi! Daah!

Nikakaza moyo, nikaulizia alipo huyo jamaa maana aliniambia nikimuulizia tu nitaelekezwa alipo. Basi, kufika kule, jamaa akaniambia nitafanya interview kwa njia tatu tofauti: Oral (maswali ya mdomo), darasani kwa maandishi, na kwa vitendo. Nikajibu, "Sawa, hamna shida kiongozi."

Oral tukaanza. Mara wakaitwa wengine watano na mimi, tukawa sita. Anauliza swali, unanyoosha mkono ukiwa unajua jibu, anayejibu anapewa maksi.

Swali la kwanza likawa: "Unatakiwa kufika kazini saa ngapi?"

Nikajiuliza, "Mtu ndo nimekuja, wananiuliza muda wa kuja kazini kweli?" Kusikia sauti, "Saa 2! Saa 2!" Nikageuka, kuna mdada nilimuona ananinong’oneza kimoyomoyo. Nikasema, "Kama anajua, si anyooshe mkono ajibu jamaa?" Ila hakuna aliyejaribu kufanya hivyo kati ya wale ili tusionekane wote viazi.

Mimi nikanyoosha mkono, nikajibu, "Saa 2, kiongozi." Akasema, "Safi safi!" Wale wenzangu wakaanza...

Itaendelea: 2
 
Inaendelea part 2,
Wale wenzangu wakaanza Kunipigia makofi na hakuna aliyewaambia wafanye hvo nikawa nazidi kuvurugwa juu ya wale watu je n wenyew wanataka kaz au ni akina nan bs mkuu akauliza swali la pili. Ni nini majukumu/wajibu wa mfanyakazi kama kawaida nikasikia mtu ananongoneza 'kuwahi kazini' kuwa nadhifu' na 'Kuheshimu viongozi' lakini hakuna hata aliyenyoosha kidole nikasema OK ngoja nijibu nikajibu kama nilivyosikia kiongozi akasema safi sana wewe kwenye oral ushapita subiri nje hapo bs nikatoka nje wale wengne wakabaki kama dkk kadhaa tukaitwa tukapewa peni na rim paper 1,Maswali yameandikwa kwenye kaubao hv kuyasoma ndio yaleyale mawili niliyojibu ndani OMG nikasema ni nini hiki jaman nikajibu vizuri nikakusanya na kusubir pale nje wakati nasubiri akatoka yule interviewer wa oral akaniuliza dogo ushakunywa chai nikajibu bado bro Basi kama kuna sehemu nilikosea ni hapo jamaa akasema twende nikamfuata akaninunulia supu ya 2500 na chapati 2 nikapiga nilipomaliza kidogo tukaitwa tena tukaambiwa hongereni wote mpo vizuri kila mtu tutamkabidhi kwa senior ambae ndie atafanya nae interview kwa vitendo
Inaendelea.....
 
Inaendelea part 2,
Wale wenzangu wakaanza Kunipigia makofi na hakuna aliyewaambia wafanye hvo nikawa nazidi kuvurugwa juu ya wale watu je n wenyew wanataka kaz au ni akina nan bs mkuu akauliza swali la pili. Ni nini majukumu/wajibu wa mfanyakazi kama kawaida nikasikia mtu ananongoneza 'kuwahi kazini' kuwa nadhifu' na 'Kuheshimu viongozi' lakini hakuna hata aliyenyoosha kidole nikasema OK ngoja nijibu nikajibu kama nilivyosikia kiongozi akasema safi sana wewe kwenye oral ushapita subiri nje hapo bs nikatoka nje wale wengne wakabaki kama dkk kadhaa tukaitwa tukapewa peni na rim paper 1,Maswali yameandikwa kwenye kaubao hv kuyasoma ndio yaleyale mawili niliyojibu ndani OMG nikasema ni nini hiki jaman nikajibu vizuri nikakusanya na kusubir pale nje wakati nasubiri akatoka yule interviewer wa oral akaniuliza dogo ushakunywa chai nikajibu bado bro Basi kama kuna sehemu nilikosea ni hapo jamaa akasema twende nikamfuata akaninunulia supu ya 2500 na chapati 2 nikapiga nilipomaliza kidogo tukaitwa tena tukaambiwa hongereni wote mpo vizuri kila mtu tutamkabidhi kwa senior ambae ndie atafanya nae interview kwa vitendo
Inaendelea.....
Ulikuwa zuzu nawe 😂😂 jokes

Mtu anatafuta kazi ana acha kujibu yeye kama anajua anakupa wewe majibu why usisepe mkuu mbeleni najua utakuwa ulipigwa pesa ndefu
 
Nilitoa elfu 20 kwa ajili ya kitambulisho baada ya kuunganishwa na mshkaji hadi leo sijui pasport na cv zangu zilipo na kile kitambulisho sijapata na niliahidiwa kitakuwa tayari baada ya siku 3.
Nikakaa kama wiki hivi mshkaji ananiambia kama kule hakujaeleweka nakupa namba ya huyu wa kampuni nyingine ufanye kama ulivyofanya kwa yule wa kwanza, huku ni uhakika utampa 50K. Kengele ikagonga kichwani nikajiuliza hivi ni lini nmeanza kuwaamini watu kwa kiasi hiki cha kutaka kupigwa pesa ambazo sina? Nikachukua namba na sikumtafuta mhusika, nikafanya tafiti nikajabaini mshkaji anawapiga wengi sana kwa style ile.

Akanisumbua sana nimtafute mshkaji nikamwambia mi staki hiyo kazi tena.
 
Inaendelea part :3.......
Mimi nikapewa senior wangu kidada flani kibonge kinaongea harakaharaka kakaniambia twende huku ndo tukaenda huko sijui ndo warehouse tukakuta mavyombo haya ya kila aina mabeseni, majagi, mavikombe, masahani na mengine mengine yule dada akaongea na yule store keeper pale,Mara akatoa mabeseni mawili makubwa yana mavyombo vyombo mengine ndani yake kile kidada kikasema beba hilo wallah nilikua siamini nikabeba akasema leo kuna wateja tutawasambazia huu mzigo ko usiwe na wasiwasi utakuwa na mimi nitakuelekeza kila kitu Kimoyo moyo nikasema no no!Lakini ile supu niliyokunywa ikawa inanihukumu moyoni nikasema OK let me do it today kesho sitakanyaga hapa abadani bs tukatoka na yale mabeseni hadi barabarani akasema tunaanzia buguruni sa mm kimahesabu naona buguruni mbali isitoshe tuna mizigo veta pale hd buguruni mhh!
Nikamwambia si tupande daladala sister kama shida nauli mm nitalipa wueh yule dada akanigeukia akaniambia io ela itakusaidia baadae we twende nifuate bs nikatii nikamfuata ile barabara yote hd junction tukakunja hv tukaanza kufuata nyerere road hd Mtava kumbuka hapo nina beseni.
Alafu nimevaa official kinouma yaani official official kweli yaani maombi yangu yalikuwa watu wa kwenye daladala zinapita pale asitokee hta mmoja ananijua maana dhaaa bs tukaenda hd Mtava pale kuna chocho unakatiza hd buguruni hpa kati kuna mitaa mitaa bs yule kijeba akaanza..
Itaendelea...
 
Inaendelea part :3.......
Mimi nikapewa senior wangu kidada flani kibonge kinaongea harakaharaka kakaniambia twende huku ndo tukaenda huko sijui ndo warehouse tukakuta mavyombo haya ya kila aina mabeseni, majagi, mavikombe, masahani na mengine mengine yule dada akaongea na yule store keeper pale,Mara akatoa mabeseni mawili makubwa yana mavyombo vyombo mengine ndani yake kile kidada kikasema beba hilo wallah nilikua siamini nikabeba akasema leo kuna wateja tutawasambazia huu mzigo ko usiwe na wasiwasi utakuwa na mimi nitakuelekeza kila kitu Kimoyo moyo nikasema no no!Lakini ile supu niliyokunywa ikawa inanihukumu moyoni nikasema OK let me do it today kesho sitakanyaga hapa abadani bs tukatoka na yale mabeseni hadi barabarani akasema tunaanzia buguruni sa mm kimahesabu naona buguruni mbali isitoshe tuna mizigo veta pale hd buguruni mhh!
Nikamwambia si tupande daladala sister kama shida nauli mm nitalipa wueh yule dada akanigeukia akaniambia io ela itakusaidia baadae we twende nifuate bs nikatii nikamfuata ile barabara yote hd junction tukakunja hv tukaanza kufuata nyerere road hd Mtava kumbuka hapo nina beseni.
Alafu nimevaa official kinouma yaani official official kweli yaani maombi yangu yalikuwa watu wa kwenye daladala zinapita pale asitokee hta mmoja ananijua maana dhaaa bs tukaenda hd Mtava pale kuna chocho unakatiza hd buguruni hpa kati kuna mitaa mitaa bs yule kijeba akaanza..
Itaendelea...
Alooh pambe tyu🤣🤣
 
Inaendelea part :3.......
Mimi nikapewa senior wangu kidada flani kibonge kinaongea harakaharaka kakaniambia twende huku ndo tukaenda huko sijui ndo warehouse tukakuta mavyombo haya ya kila aina mabeseni, majagi, mavikombe, masahani na mengine mengine yule dada akaongea na yule store keeper pale,Mara akatoa mabeseni mawili makubwa yana mavyombo vyombo mengine ndani yake kile kidada kikasema beba hilo wallah nilikua siamini nikabeba akasema leo kuna wateja tutawasambazia huu mzigo ko usiwe na wasiwasi utakuwa na mimi nitakuelekeza kila kitu Kimoyo moyo nikasema no no!Lakini ile supu niliyokunywa ikawa inanihukumu moyoni nikasema OK let me do it today kesho sitakanyaga hapa abadani bs tukatoka na yale mabeseni hadi barabarani akasema tunaanzia buguruni sa mm kimahesabu naona buguruni mbali isitoshe tuna mizigo veta pale hd buguruni mhh!
Nikamwambia si tupande daladala sister kama shida nauli mm nitalipa wueh yule dada akanigeukia akaniambia io ela itakusaidia baadae we twende nifuate bs nikatii nikamfuata ile barabara yote hd junction tukakunja hv tukaanza kufuata nyerere road hd Mtava kumbuka hapo nina beseni.
Alafu nimevaa official kinouma yaani official official kweli yaani maombi yangu yalikuwa watu wa kwenye daladala zinapita pale asitokee hta mmoja ananijua maana dhaaa bs tukaenda hd Mtava pale kuna chocho unakatiza hd buguruni hpa kati kuna mitaa mitaa bs yule kijeba akaanza..
Itaendelea...
Dah
 
Nilitoa elfu 20 kwa ajili ya kitambulisho baada ya kuunganishwa na mshkaji hadi leo sijui pasport na cv zangu zilipo na kile kitambulisho sijapata na niliahidiwa kitakuwa tayari baada ya siku 3.
Nikakaa kama wiki hivi mshkaji ananiambia kama kule hakujaeleweka nakupa namba ya huyu wa kampuni nyingine ufanye kama ulivyofanya kwa yule wa kwanza, huku ni uhakika utampa 50K. Kengele ikagonga kichwani nikajiuliza hivi ni lini nmeanza kuwaamini watu kwa kiasi hiki cha kutaka kupigwa pesa ambazo sina? Nikachukua namba na sikumtafuta mhusika, nikafanya tafiti nikajabaini mshkaji anawapiga wengi sana kwa style ile.

Akanisumbua sana nimtafute mshkaji nikamwambia mi staki hiyo kazi tena.
Na ujanja wote uho unapigwa 😂
 
Inaendelea part :3.......
Mimi nikapewa senior wangu kidada flani kibonge kinaongea harakaharaka kakaniambia twende huku ndo tukaenda huko sijui ndo warehouse tukakuta mavyombo haya ya kila aina mabeseni, majagi, mavikombe, masahani na mengine mengine yule dada akaongea na yule store keeper pale,Mara akatoa mabeseni mawili makubwa yana mavyombo vyombo mengine ndani yake kile kidada kikasema beba hilo wallah nilikua siamini nikabeba akasema leo kuna wateja tutawasambazia huu mzigo ko usiwe na wasiwasi utakuwa na mimi nitakuelekeza kila kitu Kimoyo moyo nikasema no no!Lakini ile supu niliyokunywa ikawa inanihukumu moyoni nikasema OK let me do it today kesho sitakanyaga hapa abadani bs tukatoka na yale mabeseni hadi barabarani akasema tunaanzia buguruni sa mm kimahesabu naona buguruni mbali isitoshe tuna mizigo veta pale hd buguruni mhh!
Nikamwambia si tupande daladala sister kama shida nauli mm nitalipa wueh yule dada akanigeukia akaniambia io ela itakusaidia baadae we twende nifuate bs nikatii nikamfuata ile barabara yote hd junction tukakunja hv tukaanza kufuata nyerere road hd Mtava kumbuka hapo nina beseni.
Alafu nimevaa official kinouma yaani official official kweli yaani maombi yangu yalikuwa watu wa kwenye daladala zinapita pale asitokee hta mmoja ananijua maana dhaaa bs tukaenda hd Mtava pale kuna chocho unakatiza hd buguruni hpa kati kuna mitaa mitaa bs yule kijeba akaanza..
Itaendelea...
Hadithi yako kila nikisoma nachukua mda kumalizia naangua kicheko ulivaa official kama afisa biashara sio
 
Back
Top Bottom