Je, uliwahi kukutana na changamoto gani katika kutafuta ajira

Je, uliwahi kukutana na changamoto gani katika kutafuta ajira

Leo nilikua mahali nimekaa, akapita kaka mmoja na sabuni zake kwenye kibeseni anatembeza na hakuna anayenunua. Nimemuonea huruma sana.

Na ndo hao hao wamemdanganya. Anatia huruma mtu asiponunua 😅
Sijui nani amuamshe usingizini.
unakuta ndio mumeo yuko kujitafuta
 
Mimi nilikimbiaga, pale kindononi B nilivyoona ofisi hazieleweki ni kama store
 
Inaendelea..5
Baada ya kula nikashangaa ananyooshea kidole njia ya kuelekea ilala boma nikamuuliza vipi akanijibu kwani we umemaliza mzigo wako ebu Acha utoto nikamtukana sana ila kimoyomoyo ila ustaarabu ukaniongoza basi tukaanza kufuata ile njia mpaka marapa bungoni tukapita hd mbele kuna mtaa unaitwa Arusha, huo mtaa una waarabu kibao inaonekana ni mtaa wake pendwa maana kila tulipogonga walikuwa wanafahamiana nae kuna house moja tuligonga ikatoka Mali hiyo asikwambie mtu akasema dada mambo leo umekuja na mkaka mpya kapendeza jmn ! hapo mm natamani kusema kitu but gubu liko moyoni kucheka nataka kulia nataka! Confidence nakosa kbsa nikaishia kuuchubua tu of course tuliuza uza pale ilala na mimi sasa ule mbeseni wangu ukanunuliwa ko nikamuomba jeba vile vyombo vyangu vichache vyenye vimebaki niweke kwake na nikahisi kuanzia hapo nitakuwa free from loads daah jeba likakunja Eti ooh ukiweka hvo basi unabeba nikasema famililah! ,wacha nivishike tu ilikuwa ni chupa ya chai , glass za kunywea maji zile zimebebanishwa na vikunio vya karoti na nyanya hivyo basi ndugu yangu jeba likasemaje eti twende hadi junction ya karume then tukunje had ofisini kwa mguu lahaula walakuata illabillah! nikajisemea sakwe leo ninalo Kusema kweli hapo mm nilikuwa tyr miguu iko hoi to the maximum nikagoma nikamwambia hapana tupande daladala hapo boma shule lkn jeba akawa hataki nikamwambia sikia kama hutaki shika vyombo vyako mm naondoka akasema we unampa nan kakabidhi ofisin upewe na posho nikamjibu Sina shida na posho yenu mimi sitaki chochote jeba akawa mpole akasema basi punguza hasira twende tukapande daladala wakati tunaenda kuna mwanangu mmoja nilisoma nae advance mlandizi pale mm nilimuona anasogea pande nilipokuwa sema yeye hakuniona nilishukuru maana angenichalazia sana😅yule mwamba kwenye group letu la WhatsApp,Ndo kupanda daladala hadi veta tukafika ofisini tukaenda kukabidhi vile vitu vikabaki store kule tukaambiwa tumsubiri cashier nae yuko site huko ndo aje kutupa posho kukaa hadi saa moja kasoro cashier ndo anarudi yuko hoi kiatu kimoja mkononi kimekatika daah akatupa buku 2 Kila mmoja pale sikuamini yaani nimengoja for more than 1 en half hour iyo buku 2 daah nilikuwa hoi sana ile buku2 nikapanda boda hadi ngozi pale then nikapanda daladala hadi Gongolamboto ndo nilikuwa nikiishi huko enzi hizo hallo! ni siku sitaisahau yaani Nikiona haya matangazo kwenye nguzo huwa yananikumbusha hii story na nikiona mtu anauza vyombo yuko smart kavaa mpaka tai reminds me of this story 😄 sitasahau sitasahau sitasahau ukiwa Huna ajira maisha huwa weird mnoo 🙌🙌END
Wenu katika ujenzi wa taifa
SAKWE..
~Mwisho~
Wemwanangu nomasana hiyoishanikuta mwaka 2011 nilitembea kwa miguu Toka tabatabima kule hadi kunduchi kule wanachukuaga hotel simba umevaa. Vizuri suruali ya kitambaa umechomekea una besenikibwa moja dogomoja hotpot Kama 2 zilezinakaa nne we kiatu kiliisha upande sikuhizi hio nasuluali ilikata upande uleule keshoyake nikaacha aisee nikaenda haloteli buguruni crast
 
Wemwanangu nomasana hiyoishanikuta mwaka 2011 nilitembea kwa miguu Toka tabatabima kule hadi kunduchi kule wanachukuaga hotel simba umevaa. Vizuri suruali ya kitambaa umechomekea una besenikibwa moja dogomoja hotpot Kama 2 zilezinakaa nne we kiatu kiliisha upande sikuhizi hio nasuluali ilikata upande uleule keshoyake nikaacha aisee nikaenda haloteli buguruni crast
Bob 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 your hand writing it's so amazing
 
Back
Top Bottom