Je, uliwahi kukutana na changamoto gani katika kutafuta ajira

Je, uliwahi kukutana na changamoto gani katika kutafuta ajira

Inaendelea part :3.......
Mimi nikapewa senior wangu kidada flani kibonge kinaongea harakaharaka kakaniambia twende huku ndo tukaenda huko sijui ndo warehouse tukakuta mavyombo haya ya kila aina mabeseni, majagi, mavikombe, masahani na mengine mengine yule dada akaongea na yule store keeper pale,Mara akatoa mabeseni mawili makubwa yana mavyombo vyombo mengine ndani yake kile kidada kikasema beba hilo wallah nilikua siamini nikabeba akasema leo kuna wateja tutawasambazia huu mzigo ko usiwe na wasiwasi utakuwa na mimi nitakuelekeza kila kitu Kimoyo moyo nikasema no no!Lakini ile supu niliyokunywa ikawa inanihukumu moyoni nikasema OK let me do it today kesho sitakanyaga hapa abadani bs tukatoka na yale mabeseni hadi barabarani akasema tunaanzia buguruni sa mm kimahesabu naona buguruni mbali isitoshe tuna mizigo veta pale hd buguruni mhh!
Nikamwambia si tupande daladala sister kama shida nauli mm nitalipa wueh yule dada akanigeukia akaniambia io ela itakusaidia baadae we twende nifuate bs nikatii nikamfuata ile barabara yote hd junction tukakunja hv tukaanza kufuata nyerere road hd Mtava kumbuka hapo nina beseni.
Alafu nimevaa official kinouma yaani official official kweli yaani maombi yangu yalikuwa watu wa kwenye daladala zinapita pale asitokee hta mmoja ananijua maana dhaaa bs tukaenda hd Mtava pale kuna chocho unakatiza hd buguruni hpa kati kuna mitaa mitaa bs yule kijeba akaanza..
Itaendelea...
Nimecheka jamani 😅😅😅😅😅
 
Inaendelea..4
Basi yule kijeba akaanza
Kupoint nyumba anaanza kuongea harakaharaka kama ushawahi ona wale watu wa promotion kwenye mabasi ndio kama vile mara sisi ni wauzaji wa vyombo vya majumbani kutoka bra bra bra kibao kimoyo moyo hapo natamani hata kumtukana yule dada sisi wew na nani mbwa ww lkn daah! Nikawa namalizia rohoni tu sasa huwez amini nyumba zote zenye kapoint kama saba hv tukauza jagi moja tu zile zenye zinakuwaga na viglass vyake tena katoa kwenye beseni lake dada kijeba mm kwangu mzigo upo vile vile tukasonga hd buguruni pale ndo kuna nyumba moja hv kubwa wanaishi Waarabu si unajua wanakaaga wengi pale ndo tuliuza uza vyombo akawa anapoint hukuhuku lkn yule mama akitaka aje kwangu dada kijeba yeye anaanza promo kwa alivyovibeba yeye tu uwezi amini kuanzia hapo nikaanza kupata hasira na kijeba BTW Mungu alivyo mkubwa vitu vingi tuliuza Kiasi nikaanza kufeel kupungua uzito nikasema ahsante Mungu hapa tumemaliza maana si niliambiwa kuwa point ni buguruni ko nikahisi mambo yamekwisha wuehh dada kijeba akaanza kuniambia wew una upepo sana wa biashara hongera basi twende tukale tukaondoka hapo kama mida ya saa nane hivi,Tukaingia mgahawa mmoja hivi pale buguruni mm nikaagiza wali wa 2k yule my goodness kijeba alikula ugali sahani 2 nashuhudia kwa macho yangu akaulizia na ukoko ila mama akamwambia kuwa teyari una order ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kuona manzi anakula kiasi kile basi...
Inaendelea sehemu ya mwisho
 
Inaendelea..4
Basi yule kijeba akaanza
Kupoint nyumba anaanza kuongea harakaharaka kama ushawahi ona wale watu wa promotion kwenye mabasi ndio kama vile mara sisi ni wauzaji wa vyombo vya majumbani kutoka bra bra bra kibao kimoyo moyo hapo natamani hata kumtukana yule dada sisi wew na nani mbwa ww lkn daah! Nikawa namalizia rohoni tu sasa huwez amini nyumba zote zenye kapoint kama saba hv tukauza jagi moja tu zile zenye zinakuwaga na viglass vyake tena katoa kwenye beseni lake dada kijeba mm kwangu mzigo upo vile vile tukasonga hd buguruni pale ndo kuna nyumba moja hv kubwa wanaishi Waarabu si unajua wanakaaga wengi pale ndo tuliuza uza vyombo akawa anapoint hukuhuku lkn yule mama akitaka aje kwangu dada kijeba yeye anaanza promo kwa alivyovibeba yeye tu uwezi amini kuanzia hapo nikaanza kupata hasira na kijeba BTW Mungu alivyo mkubwa vitu vingi tuliuza Kiasi nikaanza kufeel kupungua uzito nikasema ahsante Mungu hapa tumemaliza maana si niliambiwa kuwa point ni buguruni ko nikahisi mambo yamekwisha wuehh dada kijeba akaanza kuniambia wew una upepo sana wa biashara hongera basi twende tukale tukaondoka hapo kama mida ya saa nane hivi,Tukaingia mgahawa mmoja hivi pale buguruni mm nikaagiza wali wa 2k yule my goodness kijeba alikula ugali sahani 2 nashuhudia kwa macho yangu akaulizia na ukoko ila mama akamwambia kuwa teyari una order ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kuona manzi anakula kiasi kile basi...
Inaendelea sehemu ya mwisho
Stuka boy wao wanakula sahani moja wawili we unaagiza peke yako
 
Back
Top Bottom