πππππππππππππππππππmawowo ya siku hizi yamekua kama maji ukiyaweka kwenye friji yanaganda ukiweka juani yanayayuka
Sent using Jamii Forums mobile app
SitajiiiiπUkitaja shule tu watakujua hahaaa
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Hahaaaaa...ulisoma Dar?Sitajiiii[emoji16]
Chekechea mpaka six dar. Chuo ndo mikoaniHahaaaaa...ulisoma Dar?
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Tunafanana Mkuu, Mpaka nikabatizwa Tundu Lissu.UBISHI.
Mpaka sasa nina umaarufu sababu ya ubishi, halafu sio ubishi wa kijinga ni ule uloenda shule[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaaa!!!kuna wakati choo kilijaa pale shule, wanafunzi walizamika kujisadia wajuapo
kama kawaida watu wakufurahisha makundi, kuna siku nilipoona walimu wanaenda porini nikaropoka wanaenda kujisaidia... kilichonipata kilinipa umaarufu sana...
mi nakumbuka shuleni nilikuwa bright mno alafu mi ndo nilikuwa navaa viatu peke yangu 1992 PRIMARY. hahaha dah, sasa pia nilikuwa mtu wa kusikiliza sana redio hasa dunia yetu leo mchana na DW, BBC SWAHILI NA SAUTI YA AMERIKA, habari zote muhimu wanafunzi walizipata kwangu hata baadhi ya walimu kwenye mikutano mbali mbali nikawa naitwa kuelezea kwa fact nini kinaendelea Huko duniani,
Nilipata umaarufu sana nilipoanza kuchambua masuala ya vita ya kimataifa YEMEN, YUGOSLAVIA, na wengine wengi,
Mzee wangu alikuwa na library moja balaa magazeti yoote yapo, hata yale ya Scientific america na National Geographic yanayotoka kila mwaka alikuwa nayo ya mwaka 1961 hadi 1998 humo kumesheheni nondo, mambo ya sayansi , geography , magalaxy ma big bang, na kila kitu niliyasoma na kuwaeleza wengine kama story,
Nilikuwa najua sana hesabu hiyo mpaka chuo kikuu nilikuwa kipanga mnoooo,
ISHU MOJA AMBAYO INANISHANGAZA ILIKUWA NIKIANZISHA KUONGELEA JAMBO MPAKA WATU WOTE WAKUSANYIKE KUNISIKILIZA MBAYA ZAID NA NINAO WAZIDI UMRI, NIKAPATA JINA LA ENCYCLOPEDIA BRITANNICA
Hahaaa...Mimi hapa mwenzioHumu kila mtu alikua namba moja (john kisomo)?
Ina mana wale tuliokuwa tunakamata mkia kama mimi humu hawamo?
Kila mtu kaenda chuo?wa la saba na form four hapa hawapo ehee??
Wale wa di nne za kuunga unga hawapo???
Wale wa ziro kama mimi hawapo???
Wale wa veta na setifiketi hawapo????
Duuuh!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio.
Msuli mrefu, msuli konki, msuli sumu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwifwa AKA MSULI
Najutia kusababisha kipigo kwake