mi nakumbuka shuleni nilikuwa bright mno alafu mi ndo nilikuwa navaa viatu peke yangu 1992 PRIMARY. hahaha dah, sasa pia nilikuwa mtu wa kusikiliza sana redio hasa dunia yetu leo mchana na DW, BBC SWAHILI NA SAUTI YA AMERIKA, habari zote muhimu wanafunzi walizipata kwangu hata baadhi ya walimu kwenye mikutano mbali mbali nikawa naitwa kuelezea kwa fact nini kinaendelea Huko duniani,
Nilipata umaarufu sana nilipoanza kuchambua masuala ya vita ya kimataifa YEMEN, YUGOSLAVIA, na wengine wengi,
Mzee wangu alikuwa na library moja balaa magazeti yoote yapo, hata yale ya Scientific america na National Geographic yanayotoka kila mwaka alikuwa nayo ya mwaka 1961 hadi 1998 humo kumesheheni nondo, mambo ya sayansi , geography , magalaxy ma big bang, na kila kitu niliyasoma na kuwaeleza wengine kama story,
Nilikuwa najua sana hesabu hiyo mpaka chuo kikuu nilikuwa kipanga mnoooo,
ISHU MOJA AMBAYO INANISHANGAZA ILIKUWA NIKIANZISHA KUONGELEA JAMBO MPAKA WATU WOTE WAKUSANYIKE KUNISIKILIZA MBAYA ZAID NA NINAO WAZIDI UMRI, NIKAPATA JINA LA ENCYCLOPEDIA BRITANNICA