AKILI TATU
JF-Expert Member
- Feb 10, 2016
- 2,659
- 2,827
Kikosi namba ngapi chief?Umaarufu wangu haujapotea bado.
Nikiwa P/R nilikua mtoto wa mzee mmoja maarufu sana pale tarafani so nikawa maarufu automatically.
Nikiwa O level physics ilinipa umaarufu mkubwa kupita maelezo.. Mpira wa miguu ukanifanya niwe king wa shule nakumbuka nimeanza kukipiga kwenye timu ya shule Mara baada tu ya sherehe ya welcome form one, siku ya sherehe tulicheza na staff nikatia goli 4 peke yangu.
Mpira ulinipa marafiki na mademu sana, ilifikia hatua nikagombanisha madam na mwanafunzi kisa penzi la Mimi superstar.
A level umaarufu ulikua ila sio saana. Hasa ukizingatia shule unakutana na mijitu toka Maswa, Bariadi, Ubaruku na Kigoma imetumwa kukamua tu.
Chuo umaarufu ulirudi kwa kasi sana ila ganja ziliniponza
Huku niliko bado maarufu kwani nikionekana kwa baadhi ya watu lazima wakaze matakhooo na kudondoka ulutiiii wa maana.. Usipoanguka wa kinaa mbele yangu lazima niku-compromise na utalinda tu main gate.
Ila umaarufu bila Mungu ni Bure
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hatarii sanaa...hahahaha..! nilikuwa mpiga kelele maarufu, kila mkiitwa hata kama nililala utasikia teacher "panya mabaka, njoo hapa, lala chini" yani nakula za maana alaf wengine wanaachwa! dah, shule hizi..
Kama ni wilaya ambayo sasa ya ubungo nshakujua say no more hahaaaaaaChekechea mpaka six dar. Chuo ndo mikoani
Dah,Vingi sana,shule ya msingi baada ya kuchoka kuwapigia wenzangu makofi na kuona kila jitihada zinaenda Kombo,Luna siku ilitungwa paper ngumu hatari,yani hadi wale waliokuwa vipanga walisanda,ajabu sasa Mimi ndie nikawa wakwanza aisee.
Ila wa kwanza kwa kujisahihishia na kjjiongezea mimaksi kibao,so walimu walipokuja kushtuka mie huyo ndio naongoza,kuja kukagua mitihani yangu wakanibamba nimejisahihishia.
Dah,nilichezea bakora sitasahau plus kuamishiwa darasa la vilaza kabisa yani.
Kilichonipa umaarufu zaidi,nilipofika huko Mimi ndio nikawa mwalimu wa hao vilaza,maana wana walikuwa kama wametengwa kabisa,so mie nikawa nawapigisha pindi ,kuanzia hesabu hadi maarifa ya jamii,so sifa zangu zikasambaa shule nzima hadi mwalim mkuu akanipongeza kwa kuwapush wenzangu ambao walikuwa wesuswa.jambo hill pia lilisaidia kufunika ile aibu ya kujisahihishia ,
Nachoshukuru na kufurahi hadi Leo,niliwasaidia sana wale vilaza,maana walikuwa hawaelewi walimu ,so maticha muda mwingine wakiwa wanataka kuja class wakinikuta nawafundisha wanasimamia tu jinsi navyowafundisha,na wengi walifaulu darasa la saba.
Duuhhh...mkuuu darasa la pili umebaka mwalimu!!?au la pili la mkoloni!?Umaarufu nilipata nilipoingia la pili na kubaka mwalimu nikafukuzwa shule hadi wa leo hio shule kila anaenda anahadithiwa historia yangu. Japo nilikuwa mdogo najiuliza ningekuwa kama leo je?
Au ningefika la tatu hadi saba walimu wote si wangenikoma?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sure aisee,maana wana walikuwa wametengwa kabisa then walikuwa boys tupu coz tuligawanywa,Class A waliwekwa mademu vipanga,Class B wakawekwa boys VIpanga,C wakawekwa madem vilaza,D wakawekwa boys vilaza ,so Mimi nikatupwa humo DHii reply nimeipenda ulitumika kuimarisha wengine safi sana
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Kwa uandishi huu ndio ulikufanya ukawa bingwa wa kiswahili???Nilikuwa mkali wa Kiswahili balaa, ikatokea kupendwa na walimu woteeee, kuna wengine wakawaga wananipa mitihani nasahihisha, na kingine nilikuwa kadogo kadogo halafu kazuriiiiiiii na kasafi hhahaha aiseee ukubwani taabu sana stress zimefanya kasura kangu kapotee ovyo ovyo tu mfyuuuuu
Hata vilaza nao ni watu kwani wanyama uliambiwaKwa uandishi huu ndio ulikufanya ukawa bingwa wa kiswahili???
Bila shaka ulikuwa unawaongoza vilaza.
Mama Lopa, nimefanya naye ofisi moja akiwa REO!Kwa kweli umaaarufu wangu ulikua ni kucheka kwa kelele yani nikicheka darasani lazima niitwe nipate kiboko. Kama ni usiku mabwenini watu wanahamaki. mmh lile cheko sijui limepotelea wapi sijui ndo kukua. Kwa waliosoma na mm olevel A level mpk chuo wanaweza waka guess who am I. Kwa sasa naomba wanangu wasinirithi maana ilikua balaa. Wale watoto wa mama Lopa loleza tujuane
😂😂 sidhani mana mi mhengaKama ni wilaya ambayo sasa ya ubungo nshakujua say no more hahaaaaaa
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
**** it everybody was bright in school! No one was dumb as me?
ukatuacha mapema tukipambana na mshanga na mr lema mkuuM 2007.
HahaNilikuwa naongoza kwa weusi yaani Mimi nimweusi, hakuna ambae hakunijua. Vile vile nilikuwa na nyazifa nyingi kuanzia darasani, baraza la wanafunzi, TYCCS na jikoni kwenye ugawaji wa msosi.
Barafu la moto
Haha haakuna wakati choo kilijaa pale shule, wanafunzi walizamika kujisadia wajuapo
kama kawaida watu wakufurahisha makundi, kuna siku nilipoona walimu wanaenda porini nikaropoka wanaenda kujisaidia... kilichonipata kilinipa umaarufu sana...