AKILI TATU
JF-Expert Member
- Feb 10, 2016
- 2,659
- 2,827
Chuo,umaridadi na kupendeza viliwashika kihoro kuanzia madem hadi malecture wote wa K,nilikuwa kila day naombwa Picha za selfie na madem wa class tofauti fofauti,plus kismati cha kupendwa ,jk vocal,handsome face vilichangia wakanipa urais was chuo,
Maana nakumbuka,siku wanapendekeza majina sikuwepo so wana wakapendekeza jinalangu,nikaja kuoewa taarifa jina lishapita ngazi zote so kilichobaki ni kampeni,kama kawaida kila class nayoingia vibe kama loteee yani,waliokuwa wanagombea nami ikabidi wajitoe kuepuka aibu ya kuashindwa
Maana nakumbuka,siku wanapendekeza majina sikuwepo so wana wakapendekeza jinalangu,nikaja kuoewa taarifa jina lishapita ngazi zote so kilichobaki ni kampeni,kama kawaida kila class nayoingia vibe kama loteee yani,waliokuwa wanagombea nami ikabidi wajitoe kuepuka aibu ya kuashindwa