Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Nimeona, kwani mkuu na wewe hujaona jamaa aliyekuwa mpiga kelele, hujaona huyo dada aliyesema kuwa alifeli vibaya mno o level hadi akachanganyikiwa? kama hujaona basi utakuwa mchawi, mkuu.Kila comment,kila mmoja "I was very bright"...mara "Nilikua nawakimbiza darasani"...etc
Jeez,old people are lying like its nothing!
Pitia thread uone,ukisema hujaona utakua mchawi aisee!
Mi nilikua yule monta wako mkali wa math , umenikumbuka mama ?![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mimi primary nilikuwa mkali wa English, halafu lilikuwa somo linalowatoa jasho wengi si unajua shule za vijijini, basi nikawa star mpaka shule za jirani wananijua
Wacha Wee!advance wowowo
Ntakuibukia inbobo muda c mrefu! Napenda sana ngozi nyeupe!Nakumbuka nilikuwa najulikana kwasababu ya muonekano wangu unique, mrefu mweupe etc.
Kingine darasani nilikuwa nafaulu alafu general knowledge yangu ni kubwa kwahiyo vitu karibia vyote nilikuwa navijua.
Pia nilikuwa najua kingereza balaa na hizi speech sijui madebate nilikuwa sikosekani.
Nimeona, kwani mkuu na wewe hujaona jamaa aliyekuwa mpiga kelele, hujaona huyo dada aliyesema kuwa alifeli vibaya mno o level hadi akachanganyikiwa? kama hujaona basi utakuwa mchawi, mkuu.
SawaSisi wakina Chausiku kumaliza huu uzi hautuhusu naona wakina Juma kisomo tu na sifa
Overwhelming majority inadai walikua wanaonea masomo sana....
Sijui huu uongo utatufikisha wapi?
I don't get it!
Secondary; ni vingi tu vilivyofanya nijulikane shule nzima hata shule jirani lakini kubwa ilikuwa mwandiko mzuri shule nzima....ilifikia hatua watoto wa kishua wananiletea barua za kwenda kwa maboyfriend wao niwachongee mwandiko( ila kwa sasa navyoandika bata ana nafuu)
Kingine ni muonekano ukibebwa na guu kweli, shule ilikuwa ni day ...muda wa kutoka shule baadhi ya watu waume kwa wake walikuwa wakitoka nje kuniona tu ( ule uzuri uliisha baada ya mahudhurio ya leba)
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha umenikumbusha mbali sana aisee!!!They are held us like a cattle where shall I be now tonight? ?Where shall I be this time tomorrow? ?Hahaha,,,this time tomorrow[emoji23]
Hahah unajua mtu akipitia nyuzi zako anajua kwamba jamaa alikuwa maarufuHa ha ha.... britanicca mimi nlikuwa kilaza ila maarufu kwa kuwapa sound maticha na mabinti wakali ....
Naona unajihami tusije PM, eti uliisha.
Mi unavyoandika tu nachora picha kuchwani ya hilo guu mmmSecondary; ni vingi tu vilivyofanya nijulikane shule nzima hata shule jirani lakini kubwa ilikuwa mwandiko mzuri shule nzima....ilifikia hatua watoto wa kishua wananiletea barua za kwenda kwa maboyfriend wao niwachongee mwandiko( ila kwa sasa navyoandika bata ana nafuu)
Kingine ni muonekano ukibebwa na guu kweli, shule ilikuwa ni day ...muda wa kutoka shule baadhi ya watu waume kwa wake walikuwa wakitoka nje kuniona tu ( ule uzuri uliisha baada ya mahudhurio ya leba)
Sent using Jamii Forums mobile app