Je, umemsave vipi kwenye simu mwenzi/mpenzi wako?

Je, umemsave vipi kwenye simu mwenzi/mpenzi wako?

Tabu zote za nini chukua sim kistarabu andika jina unakiitaji liwepo ktk sim yko[/
halafu mapenzi yanaanzia chini kama yeye mwenyewe kwa utashi wake ameshindwa kunisave jina zuri hata nikiandika jina nilipendalo itakuwa haina maana,na huwa tunaamini kama amenisave vibaya kuna mtu kasaviwa kimahaba so shida yote ya nini? Tunapigana chini tu
 
Cuz [emoji3590] ila tukigombana uwa namsevu jina lake lababa yake la babu yake na la ukoo wao na mwisho namalizia na jina la mtandao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom