Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Uyu atakua piratoNamba ya kwanza Pharao na nyingine Herode
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uyu atakua piratoNamba ya kwanza Pharao na nyingine Herode
[emoji28][emoji28][emoji28] niko vizuri kwenye martial art [emoji2297][emoji2297]Kwani umejifunza ubondia wa aina gani mashuati au karatee[emoji23][emoji23][emoji23]
Yah kuna wakati mambo hayakuwa sawaUmeshaharibu ukiona ivo
Weeeeeh hii mashuati sasa unataka uue kabisa[emoji28][emoji28][emoji28] niko vizuri kwenye martial art [emoji2297][emoji2297]
Lazima uue hivi unakuta amekusave gari bovu...aisee hata ungekuwa wewe ungeuaKwani umejifunza ubondia wa aina gani mashuati au karatee[emoji23][emoji23][emoji23]
Tabu zote za nini chukua sim kistarabu andika jina unakiitaji liwepo ktk sim ykoLazima uue hivi unakuta amekusave gari bovu...aisee hata ungekuwa wewe ungeua
Tabu zote za nini chukua sim kistarabu andika jina unakiitaji liwepo ktk sim yko[/
halafu mapenzi yanaanzia chini kama yeye mwenyewe kwa utashi wake ameshindwa kunisave jina zuri hata nikiandika jina nilipendalo itakuwa haina maana,na huwa tunaamini kama amenisave vibaya kuna mtu kasaviwa kimahaba so shida yote ya nini? Tunapigana chini tu
Ipi iyo etHio face Id naitoaje [emoji2297][emoji2297]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] katokea ukoo wa PotifaUyu atakua pirato
Majina haya mbn kama yakigaratia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] katokea ukoo wa Potifa
[emoji28][emoji28]walifamiana katika kuuziana kuku, sasa kamsevu. KUKU dah sio poa kabisaa
Dah kumbe nami ninge msevu Facebook 😂😂ingekaa vizuriwalifamiana katika kuuziana kuku, sasa kamsevu. KUKU dah sio poa kabisaa