Je, umetimiza malengo yako ndani ya mwaka huu? Kipi umejifunza?

Je, umetimiza malengo yako ndani ya mwaka huu? Kipi umejifunza?

kusita sita kuchukua uamuzi mgumu ni kitu mbaya sana na inachelewesha wengi mno kufikia na kutimiza ndoto na matarajio yao maisha..

Ondoa woga vaa ujasiri,
Tukianza mwaka mpya, make sure by the end of May uko zaidi ya 75% ya malengo yako ya mwaka, right?

Na,
ni kwa Neema na Baraka za Mungu hayo yote yanawezekana 🐒
Amen
 
3607de8b-6e30-49bd-a005-61226258bcd2.jpeg
 
Katika mwak nimekuwa mzembe huu
Nimeandika malengo lkn nasita sita kuyatimiza
Ni kawaida kubugdet kilakitu changu kila mwez na kupiga hesabu za mwaka ila ninamiez sita sihashika notebook na nikishika siizingatii kabisa najiendea ovyo ovyo tu Mungu anisaidie nirudi kwenye mstari
 
Huu mwaka zaidi ya kulipia watoto ada na kumnunulia wife ka gari hakuna kitu ingine ya mana nimefanya zaidi ya ulevi na uzinzi ..Mungu nisamehe na naomba nianze nwaka mpya na mambo mapya nina mwezi na siku kazaa za kumalizia zambi.
Kwa kuwa umetubu basi ukafanikiw
 
Hongera kwa kuwa Mama, ila siwezi kuita kuzaa ni malengo maana hilo ni uhalisia wa kibaiolojia kwa viumbe vyote vinavyotembea duniani
Unaweza kusema umetimiza jukumu kama mke katika ndoa
 
Katika mwak nimekuwa mzembe huu
Nimeandika malengo lkn nasita sita kuyatimiza
Ni kawaida kubugdet kilakitu changu kila mwez na kupiga hesabu za mwaka ila ninamiez sita sihashika notebook na nikishika siizingatii kabisa najiendea ovyo ovyo tu Mungu anisaidie nirudi kwenye mstari
Atakusaidia kwa kuwa ushajua upungufu wako uko wapi.
 
Namshukuru Mungu huu mwaka angalau nilifanikiwa kutimiza ndoto yangu ya kuwa mama. Haikuwa rahisi ila ni kwa neema tu.

Pia namshukuru mzazi mwenzang double click kwa kila jambo hata kama tulipishana kwenye baadhi ya mambo.

Zaidi nimejifunza kuwa mzazi sio kazi ndogo na imenifanya niongeze upendo na heshima zaidi kwa wazazi wangu,jamani leba sio mchezo. Umejifunza nini ndani ya huu mwaka.
Mimi namshukuru Mungu nimetimiza almost 90% ya malengo yagu ya mwaka huu. Isingekuwa mambo fulani fulani huenda ningetimiza 200% kabisa.
Nimejifunza kuwa ukiweka malengo usiende nje nayo iwe mvua au jua. Na pia usifuate sana watu wanafanya na wanasema nini maana miruzi mingi humchanganya mbwa.
 
Hongera kwa kuwa Mama, ila siwezi kuita kuzaa ni malengo maana hilo ni uhalisia wa kibaiolojia kwa viumbe vyote vinavyotembea duniani
Unaweza kusema umetimiza jukumu kama mke katika ndoa
Asante sana
 
Back
Top Bottom