Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itatokea shida kama ilivyosasa kupata kutambulisho cha NIDAHello guys!
Ebu imagine nini kitatokea iwapo passport au hati za kusafiria zitatolewa bure kwa wananchi bila malipo yoyote?!
Ingia www.ajira.go.tz zimetangazwa ajira nyingi tuSerikali itoe ajira jamani kha!
darasa la saba wamekumbukwa?Ingia www.ajira.go.tz zimetangazwa ajira nyingi tu
Yaani Tanzania hii ya sasa ambayo kuna sekondari kila kata bado darasa la 7 unaulizia ajira za serikali!!!!darasa la saba wamekumbukwa?
Wenye uchi je??Kuna wananchi na wenye nchi.
Hela ya usmbufu, aina mpya ya tozo? Hivi kulipa ni kupi, na kutoa hela usumbufu ni kupi.NIDA haulipii ila unatoa hela ya usumbufu mkuu hahaha!!!!
Leo nimeona mtihani wa mwanafunzi wa darasa la nne tena shule ya english mediumYaani Tanzania hii ya sasa ambayo kuna sekondari kila kata bado darasa la 7 unaulizia ajira za serikali!!!!
Kaka kama ziko nyingi naomba na mie nizame inbox kakaUmekula?
Huna ajira??? Nifuate inbox
🤣Umekula?
Passport ni nyaraka ambayo inabidi mtu awe nayo iwe anasafiri au la maana ni ujinga kuanza tafta passport wakati ndipo una safari. Ingekuwa inawezekana kila raia anapewa tu bureHello guys!
Ebu imagine nini kitatokea iwapo passport au hati za kusafiria zitatolewa bure kwa wananchi bila malipo yoyote?!