New ID l
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 248
- 480
- Thread starter
- #21
Njoo my friendKaka kama ziko nyingi naomba na mie nizame inbox kaka
Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo my friendKaka kama ziko nyingi naomba na mie nizame inbox kaka
Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Sio mimi mkuu mazingira y nchi yetuHela ya usmbufu, aina mpya ya tozo? Hivi kulipa ni kupi, na kutoa hela usumbufu ni kupi.
Nani anaesumbuka, ni huyu mwananchi aliesimamisha shuguri zake kuvuatilia Card ya nina, huyu mtumishi wa Uma, aliyopo ofisini kwake, kwenye kazi yake, anayo lipwa mshahara wa kuendeshea maisha yake.
Tena kwa kodi za wananchi, akiwemo huyo anaehitaji kitambulisho.
Mkuu ilo swali la kafikaje la nne naona ungewauliza halmashauri kuu ya CCM au pale Dodoma naona ungepata majibu ya haraka mnoLeo nimeona mtihani wa mwanafunzi wa darasa la nne tena shule ya english medium
Kaandika RODI (ROAD) , TRANI ( TRAIN) AND CHACHI (CHURCH).
sijui kafikaje la nne??
Passport ni nyaraka ambayo inabidi mtu awe nayo iwe anasafiri au la maana ni ujinga kuanza tafta passport wakati ndipo una safari. Ingekuwa inawezekana kila raia anapewa tu bure
Ni kweliWatu watakimbia nchi hii, ... Watu ninrasili mali tosha ya kuzalisha na kuendesha uchumi wa nchi,
Hello guys!
Ebu imagine nini kitatokea iwapo passport au hati za kusafiria zitatolewa bure kwa wananchi bila malipo yoyote?!
Itakua ndio wewe.Mkuu ilo swali la kafikaje la nne naona ungewauliza halmashauri kuu ya CCM au pale Dodoma naona ungepata majibu ya haraka mno
Watanzania wote watakimbilia ughaibuniHello guys!
Ebu imagine nini kitatokea iwapo passport au hati za kusafiria zitatolewa bure kwa wananchi bila malipo yoyote?!
Bure hapana, kama neti za kuzuia mbu tu zinatolewa bure wanaenda vulia samaki au kuifanya fence passport si wataacha iliwe na panya.Passport ni nyaraka ambayo inabidi mtu awe nayo iwe anasafiri au la maana ni ujinga kuanza tafta passport wakati ndipo una safari. Ingekuwa inawezekana kila raia anapewa tu bure
Serikali haioni kwann iwape bure kwa faida ya nani?? maana unakoenda kwa shughuliza zako ww!!
Alafu mtu aloshindwa kulipia laki na 50 passport hata ukimpa bure atakimbia aende wap hata nauli hana??!!! 150k hana iyo
Bongo hapanogi mkuuWatanzania wote watakimbilia ughaibuni
Mbona kajitahidi watu wanaingia form 1 hawajui kusoma na kuandikaLeo nimeona mtihani wa mwanafunzi wa darasa la nne tena shule ya english medium
Kaandika RODI (ROAD) , TRANI ( TRAIN) AND CHACHI (CHURCH).
sijui kafikaje la nne??
Hao wakagombee ubunge maana ndo kwalifikesheni ya TZ.darasa la saba wamekumbukwa?
Only in danganyika.Mbona kajitahidi watu wanaingia form 1 hawajui kusoma na kuandika
Uko si ndio kunamashoga wakutoshaView attachment 2244990
Natafuta mke
Uko si ndio kunamashoga wakutosha