Je, umewahi kujiuliza kwanini Passport za kusafiria hazitolewi bure nchini?

Je, umewahi kujiuliza kwanini Passport za kusafiria hazitolewi bure nchini?

Mimi mtoto wa kike nina passport tena nmepata within a week sina ata connection na sijatambika vingine sio vya kukaza ubongo jamani weka documents zako sawa jiamini for interview akuna atakuchezeašŸ˜’
Sema wapunguze tu urasimu wa kupata passport. Mtoto wa kike kupata passport labda akatambike, mawazo ya kipumbavu kabisa eti anaenda uarabuni kufanya Kazi atateswa, kwani hapa nchini dada wa Kazi awateswi?
Kudhibiti mateso ni suala la kisera na kielimu kuwapa seminar na nini wafanye endapo shida imetokea.
Mbona mabinti wa kifilipino wao awateswi, jibu ni serikali ya ufilipino imeweka muongozo mzuri wa kuwalinda watu wake nje ya nchi, hivyo hata hao watesaji wanaogopa. Pia nadharia ya mtu mmoja kuteswa isiwe kigezo cha kuwabania wengine.
Kama nchi imewatupa vijana waacheni wakatafute nje.
Kupata passport ishu kupita tu airport nayo ni ishu nyingine labda upite panya ukaondokee south africa au nchi zingine. Au uchomoke kwa majahazi shida ingine hii, kisa tu kiongozi mmoja kasema.
 
Sema wapunguze tu urasimu wa kupata passport. Mtoto wa kike kupata passport labda akatambike, mawazo ya kipumbavu kabisa eti anaenda uarabuni kufanya Kazi atateswa, kwani hapa nchini dada wa Kazi awateswi?
Kudhibiti mateso ni suala la kisera na kielimu kuwapa seminar na nini wafanye endapo shida imetokea.
Mbona mabinti wa kifilipino wao awateswi, jibu ni serikali ya ufilipino imeweka muongozo mzuri wa kuwalinda watu wake nje ya nchi, hivyo hata hao watesaji wanaogopa. Pia nadharia ya mtu mmoja kuteswa isiwe kigezo cha kuwabania wengine.
Kama nchi imewatupa vijana waacheni wakatafute nje.
Kupata passport ishu kupita tu airport nayo ni ishu nyingine labda upite panya ukaondokee south africa au nchi zingine. Au uchomoke kwa majahazi shida ingine hii, kisa tu kiongozi mmoja kasema.
Mwandishi umesafiri lakini au unaandik tu utufurahishe airport ipi unasemea? Kila kitu kinautaratibu pata visa ako nenda airport na ticket ako akuna atakaekurudisha as long you clean
 
Mwandishi umesafiri lakini au unaandik tu utufurahishe airport ipi unasemea? Kila kitu kinautaratibu pata visa ako nenda airport na ticket ako akuna atakaekurudisha as long you clean
Waenda Kazi awapiti
 
Serikali haioni kwann iwape bure kwa faida ya nani?? maana unakoenda kwa shughuliza zako ww!!
Alafu mtu aloshindwa kulipia laki na 50 passport hata ukimpa bure atakimbia aende wap hata nauli hana??!!! 150k hana iyo nauli atatoa wap?
Hiyo laki na 50 ndo nauli sasa
 
Back
Top Bottom