Je, umewahi kujiuliza kwanini Passport za kusafiria hazitolewi bure nchini?

Mimi mtoto wa kike nina passport tena nmepata within a week sina ata connection na sijatambika vingine sio vya kukaza ubongo jamani weka documents zako sawa jiamini for interview akuna atakuchezeašŸ˜’
 
Mwandishi umesafiri lakini au unaandik tu utufurahishe airport ipi unasemea? Kila kitu kinautaratibu pata visa ako nenda airport na ticket ako akuna atakaekurudisha as long you clean
 
Mwandishi umesafiri lakini au unaandik tu utufurahishe airport ipi unasemea? Kila kitu kinautaratibu pata visa ako nenda airport na ticket ako akuna atakaekurudisha as long you clean
Waenda Kazi awapiti
 
Serikali haioni kwann iwape bure kwa faida ya nani?? maana unakoenda kwa shughuliza zako ww!!
Alafu mtu aloshindwa kulipia laki na 50 passport hata ukimpa bure atakimbia aende wap hata nauli hana??!!! 150k hana iyo nauli atatoa wap?
Hiyo laki na 50 ndo nauli sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…