Je, umewahi kujiuliza nia ya Rais Samia kusamehe wafanyabiashara kodi za nyuma?

Je, umewahi kujiuliza nia ya Rais Samia kusamehe wafanyabiashara kodi za nyuma?

Ukiwa mjinga jaribu kujielimisha kwanza.
Kodi halali ni zipi?

Anatokea mtu wa TRA anakuambia kwa vile una duka la mtaji wa milioni 10 basi nakukadiria kodi ya milioni 3 kwa mwaka.

Na kwa vile ulianzisha duka miaka mitano iliyopita kwa hiyo kodi ni milioni 3 mara 5 ni milioni 15.

Na kwa vile kuna fine ya kutolipa miaka yote hiyo, fine ni milioni 10.
Sasa na riba ya kutolipa kwa wakati kila mwaka, riba ya kodi ya milioni 15 ni milioni 4.5

Kwa hiyo mfanyabiashara unadaiwa milioni 15+10+4,5 jumla 29.5 milioni.
Mtaji wako ni milioni 10 katika duka.

Ni mjinga tu hawezi kuelewa kuwa huo ni wizi wa kiserikali na kodi hailipiki maana hata ukiuza mtaji hiyo kodi huwezi kulipa.
Hii ni moja ya hadithi utakayoikuta kwa mfanya biashara yeyote yule mkwepa kodi na anayetaka huruma kwa mwananchi wa kawaida, ila kiuhalisia ni hakuna tra afisa akajakukupigia hesabu kama hizo unless otherwise ulimgongea mke/ demu wake.
 
Hii ni moja ya hadithi utakayoikuta kwa mfanya biashara yeyote yule mkwepa kodi na anayetaka huruma kwa mwananchi wa kawaida, ila kiuhalisia ni hakuna tra afisa akajakukupigia hesabu kama hizo unless otherwise ulimgongea mke/ demu wake.
Kafanye hiyo biashara basi, siyo kunuka mdomo tu.
 
Mimi nilivyomuelewa wakati ule ni kuwa kama mfanyabiashara umekuwa unalipa Kodi zako kila mwaka TRA inakuwaje ghafla unaambiwa unadaiwa Kodi za miaka ya nyuma?

Sidhani kama hili ndiyo sababu ya kuweka tozo. Wameona kuwa tozo ni suluhisho la kuongeza mapato ya serikali lakini sindani kama ni suluhisho endelevu.
 
Je, umewahi kujiuliza kwa nini Rais Samia aliamua kuwasamehe wafanyabiashara kodi za miaka ya nyuma, ambazo ni kodi halali kabisa wanazodaiwa na mamlaka ya kodi? Kumbuka mwezi June Rais Samia aliwaagiza TRA wasiwasumbue wafanyabiashara kwa kuwadai kodi za miaka ya nyuma isipokuwa za mwaka jana pekee.

Jibu ni moja tu, Samia aliamua kuwasamehe wafanyabiashara, halafu akaamua zile kodi walizokua wanadaiwa wafanyabiashara, wafanyakazi wawasaidie wafanyabiashara kulipa kwa kukatwa tozo kwenye mishahara yao ambayo tayari imekashakatwa kodi.

Tozo ni fidia ya kodi ambayo Samia aliamua kuwasamehe wafanyabiashara. Samia anajali tabaka la juu na anakamua tabaka la chini kwa maslahi ya tabaka la juu la wafanyabishara!

Mamlaka hyo anayo.
Over
 
Je, umewahi kujiuliza kwa nini Rais Samia aliamua kuwasamehe wafanyabiashara kodi za miaka ya nyuma, ambazo ni kodi halali kabisa wanazodaiwa na mamlaka ya kodi? Kumbuka mwezi June Rais Samia aliwaagiza TRA wasiwasumbue wafanyabiashara kwa kuwadai kodi za miaka ya nyuma isipokuwa za mwaka jana pekee.

Jibu ni moja tu, Samia aliamua kuwasamehe wafanyabiashara, halafu akaamua zile kodi walizokua wanadaiwa wafanyabiashara, wafanyakazi wawasaidie wafanyabiashara kulipa kwa kukatwa tozo kwenye mishahara yao ambayo tayari imekashakatwa kodi.

Tozo ni fidia ya kodi ambayo Samia aliamua kuwasamehe wafanyabiashara. Samia anajali tabaka la juu na anakamua tabaka la chini kwa maslahi ya tabaka la juu la wafanyabishara!


Kama Kodi gani hiyo? Maana kama TRA ulizembea kukusanya then uje kubambikia Kodi ambayo haipo hilo halikibaliki..

Ila kama unadaiwa na utalipa mdogo mdogo hakuna cha msamaha unless ulibainika pasi na shaka kwamba ulikwepa Kodi.
 
Je, umewahi kujiuliza kwa nini Rais Samia aliamua kuwasamehe wafanyabiashara kodi za miaka ya nyuma, ambazo ni kodi halali kabisa wanazodaiwa na mamlaka ya kodi? Kumbuka mwezi June Rais Samia aliwaagiza TRA wasiwasumbue wafanyabiashara kwa kuwadai kodi za miaka ya nyuma isipokuwa za mwaka jana pekee.

Jibu ni moja tu, Samia aliamua kuwasamehe wafanyabiashara, halafu akaamua zile kodi walizokua wanadaiwa wafanyabiashara, wafanyakazi wawasaidie wafanyabiashara kulipa kwa kukatwa tozo kwenye mishahara yao ambayo tayari imekashakatwa kodi.

Tozo ni fidia ya kodi ambayo Samia aliamua kuwasamehe wafanyabiashara. Samia anajali tabaka la juu na anakamua tabaka la chini kwa maslahi ya tabaka la juu la wafanyabishara!


Rais Samia Suluhu yuko madarakani kwa lengo la kupambana na umasikini na sio kuwadidimiza wananchi ndio maana amesamehe maana wengine wangefilisika kabisa na tozo ipo kwaajili ya maendeleo ya nchi na sio ka usemavyo
 
Ukiwa mjinga jaribu kujielimisha kwanza.
Kodi halali ni zipi?

Anatokea mtu wa TRA anakuambia kwa vile una duka la mtaji wa milioni 10 basi nakukadiria kodi ya milioni 3 kwa mwaka.

Na kwa vile ulianzisha duka miaka mitano iliyopita kwa hiyo kodi ni milioni 3 mara 5 ni milioni 15.

Na kwa vile kuna fine ya kutolipa miaka yote hiyo, fine ni milioni 10.
Sasa na riba ya kutolipa kwa wakati kila mwaka, riba ya kodi ya milioni 15 ni milioni 4.5

Kwa hiyo mfanyabiashara unadaiwa milioni 15+10+4,5 jumla 29.5 milioni.
Mtaji wako ni milioni 10 katika duka.

Ni mjinga tu hawezi kuelewa kuwa huo ni wizi wa kiserikali na kodi hailipiki maana hata ukiuza mtaji hiyo kodi huwezi kulipa.
Utawaelemishaje hao wanashinda humu kwenye mitandao na kutoa lawama kwa kila kitu?

Hata hilo wanalolizungumzia hawalijui alimradi malawama tu.
 
Utawaelemishaje hao wanashinda humu kwenye mitandao na kutoa lawama kwa kila kitu?

Hata hilo wanalolizungumzia hawalijui alimradi malawama tu.
Kimsingi , kibiashara , kodi ambayo hailipiki maana yake FUNGA BIASHARA!
Msimamo huo ni hasi kwa maendeleo ya nchi!
 
Back
Top Bottom