njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Huyu mama n ikatili sana kuna masononeko makubwa sana mtaani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni moja ya hadithi utakayoikuta kwa mfanya biashara yeyote yule mkwepa kodi na anayetaka huruma kwa mwananchi wa kawaida, ila kiuhalisia ni hakuna tra afisa akajakukupigia hesabu kama hizo unless otherwise ulimgongea mke/ demu wake.Ukiwa mjinga jaribu kujielimisha kwanza.
Kodi halali ni zipi?
Anatokea mtu wa TRA anakuambia kwa vile una duka la mtaji wa milioni 10 basi nakukadiria kodi ya milioni 3 kwa mwaka.
Na kwa vile ulianzisha duka miaka mitano iliyopita kwa hiyo kodi ni milioni 3 mara 5 ni milioni 15.
Na kwa vile kuna fine ya kutolipa miaka yote hiyo, fine ni milioni 10.
Sasa na riba ya kutolipa kwa wakati kila mwaka, riba ya kodi ya milioni 15 ni milioni 4.5
Kwa hiyo mfanyabiashara unadaiwa milioni 15+10+4,5 jumla 29.5 milioni.
Mtaji wako ni milioni 10 katika duka.
Ni mjinga tu hawezi kuelewa kuwa huo ni wizi wa kiserikali na kodi hailipiki maana hata ukiuza mtaji hiyo kodi huwezi kulipa.
Kafanye hiyo biashara basi, siyo kunuka mdomo tu.Hii ni moja ya hadithi utakayoikuta kwa mfanya biashara yeyote yule mkwepa kodi na anayetaka huruma kwa mwananchi wa kawaida, ila kiuhalisia ni hakuna tra afisa akajakukupigia hesabu kama hizo unless otherwise ulimgongea mke/ demu wake.
Mamlaka hyo anayo.Je, umewahi kujiuliza kwa nini Rais Samia aliamua kuwasamehe wafanyabiashara kodi za miaka ya nyuma, ambazo ni kodi halali kabisa wanazodaiwa na mamlaka ya kodi? Kumbuka mwezi June Rais Samia aliwaagiza TRA wasiwasumbue wafanyabiashara kwa kuwadai kodi za miaka ya nyuma isipokuwa za mwaka jana pekee.
Jibu ni moja tu, Samia aliamua kuwasamehe wafanyabiashara, halafu akaamua zile kodi walizokua wanadaiwa wafanyabiashara, wafanyakazi wawasaidie wafanyabiashara kulipa kwa kukatwa tozo kwenye mishahara yao ambayo tayari imekashakatwa kodi.
Tozo ni fidia ya kodi ambayo Samia aliamua kuwasamehe wafanyabiashara. Samia anajali tabaka la juu na anakamua tabaka la chini kwa maslahi ya tabaka la juu la wafanyabishara!
Je, umewahi kujiuliza kwa nini Rais Samia aliamua kuwasamehe wafanyabiashara kodi za miaka ya nyuma, ambazo ni kodi halali kabisa wanazodaiwa na mamlaka ya kodi? Kumbuka mwezi June Rais Samia aliwaagiza TRA wasiwasumbue wafanyabiashara kwa kuwadai kodi za miaka ya nyuma isipokuwa za mwaka jana pekee.
Jibu ni moja tu, Samia aliamua kuwasamehe wafanyabiashara, halafu akaamua zile kodi walizokua wanadaiwa wafanyabiashara, wafanyakazi wawasaidie wafanyabiashara kulipa kwa kukatwa tozo kwenye mishahara yao ambayo tayari imekashakatwa kodi.
Tozo ni fidia ya kodi ambayo Samia aliamua kuwasamehe wafanyabiashara. Samia anajali tabaka la juu na anakamua tabaka la chini kwa maslahi ya tabaka la juu la wafanyabishara!
Je, umewahi kujiuliza kwa nini Rais Samia aliamua kuwasamehe wafanyabiashara kodi za miaka ya nyuma, ambazo ni kodi halali kabisa wanazodaiwa na mamlaka ya kodi? Kumbuka mwezi June Rais Samia aliwaagiza TRA wasiwasumbue wafanyabiashara kwa kuwadai kodi za miaka ya nyuma isipokuwa za mwaka jana pekee.
Jibu ni moja tu, Samia aliamua kuwasamehe wafanyabiashara, halafu akaamua zile kodi walizokua wanadaiwa wafanyabiashara, wafanyakazi wawasaidie wafanyabiashara kulipa kwa kukatwa tozo kwenye mishahara yao ambayo tayari imekashakatwa kodi.
Tozo ni fidia ya kodi ambayo Samia aliamua kuwasamehe wafanyabiashara. Samia anajali tabaka la juu na anakamua tabaka la chini kwa maslahi ya tabaka la juu la wafanyabishara!
Utawaelemishaje hao wanashinda humu kwenye mitandao na kutoa lawama kwa kila kitu?Ukiwa mjinga jaribu kujielimisha kwanza.
Kodi halali ni zipi?
Anatokea mtu wa TRA anakuambia kwa vile una duka la mtaji wa milioni 10 basi nakukadiria kodi ya milioni 3 kwa mwaka.
Na kwa vile ulianzisha duka miaka mitano iliyopita kwa hiyo kodi ni milioni 3 mara 5 ni milioni 15.
Na kwa vile kuna fine ya kutolipa miaka yote hiyo, fine ni milioni 10.
Sasa na riba ya kutolipa kwa wakati kila mwaka, riba ya kodi ya milioni 15 ni milioni 4.5
Kwa hiyo mfanyabiashara unadaiwa milioni 15+10+4,5 jumla 29.5 milioni.
Mtaji wako ni milioni 10 katika duka.
Ni mjinga tu hawezi kuelewa kuwa huo ni wizi wa kiserikali na kodi hailipiki maana hata ukiuza mtaji hiyo kodi huwezi kulipa.
Kimsingi , kibiashara , kodi ambayo hailipiki maana yake FUNGA BIASHARA!Utawaelemishaje hao wanashinda humu kwenye mitandao na kutoa lawama kwa kila kitu?
Hata hilo wanalolizungumzia hawalijui alimradi malawama tu.