Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna siku ,kama mara mbili nilikuta chura kakauka balaa kwenye nguo chafu chumbani, ni mimi tu naingia humoKwa yoyote ambaye amewahi kukaa nyumba ambayo haikaliki alete mrejesho,Kuna watu wanapika chakula
Daah,na bado alikuwa na guts za kukata gogo??unaweza ukapigwa dole kizembe,[emoji1787][emoji1787]Kuna mshkaji wangu aliishi Ilala Shariff Shamba, Choo chao ni vile vya shimo ila vimewekwa Sinki haya ya kisasa, sasa hiyo siku jamaa ameingia toilet anaona moshi unatoka kama vile mtu amevuta sigara afu msohi unapulizwa yaani unatoka kwa pressure kali..... the other day jamaa alikutana na chungwa lina hang katika kati ya shimo yaani chungwa halijashikiliwa na chochote lakini lipo tu na imeshamesha menywa!!
Sio dole tu jamaa anaweza kujikuta ame chuchumalia bonge la mkuyenye hahaaa wachawi hawajawahi kua na akili kaibsa...Daah,na bado alikuwa na guts za kukata gogo??unaweza ukapigwa dole kizembe,[emoji1787][emoji1787]
Nimecheka kama mjinga yaani😂 anakuruka😂😂Mm napokaa apa kuna vimbwanga kuna mda naskia kishindo kama mtu kaniruka hivi sema huwaga napotezea nachukua msuba napuliza nalala
mfupa wa mbuzi katoriki unaogopwa na majini tu hawa vibwengo, vinyamkera na mfanano wake hauna nguvu kuwafukuzaNaskia ukilala na mfupa wa PIG hawa jamaa wa ulimwengu wa giza huwa hawasogei.... Mfupa wa Pig una resistance gani na hawa au ni mambo ya kufikirika tu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaahDaah,na bado alikuwa na guts za kukata gogo??unaweza ukapigwa dole kizembe,[emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaaaah ila watu lolSio dole tu jamaa anaweza kujikuta ame chuchumalia bonge la mkuyenye hahaaa wachawi hawajawahi kua na akili kaibsa...
Mfupa, pua, ngozi, hivyo hata majini wabayaa hawasogei.Naskia ukilala na mfupa wa PIG hawa jamaa wa ulimwengu wa giza huwa hawasogei.... Mfupa wa Pig una resistance gani na hawa au ni mambo ya kufikirika tu?