Je umewahi kukaa nyumba ambazo zina vimbwanga

Je umewahi kukaa nyumba ambazo zina vimbwanga

Nilipanga chumba temeke ( kwa kidande) uswahilini sana enzi hizo naanza maisha. Baada ya week moja siku hiyo nimetoka likwid (wakati ndio inaanza) nilinunua mguu wa mbuzi niko na mshkaji wangu tunaplani tukasongwe ugali.

Baada ya kufika gheto tukiwa high kidogo tulisonga ugali mkubwa hadi wenyewe tukashangaa lakini pia wakati tunakula ilituchukua almost 10 minutes kumaliza ule ugali.na bado tulikua na njaa, yaan hatukushiba na ilikua saa 7 na robo kuelekea saa 8. Ofcourse we had some weeds akat natoa lighter yalitokea maajabu and we couldn't sleep that night.

Baada ya kukucha ndani hatukuona unga wala mifupa ya ule mguu wa mbuzi ..............................
Yaan eti mi na mwanangu tulimaliza mfuko wa dona kilo tano ndani ya usiku mmoja!!!!!
 
mama mwenye nyumba enzi za ujana kaja kuniwangia usiku kichawi chawi, nikamshtukia, kimyakimya nikamla kiboga.... akaenda zake..

asubuhi ananiona anaanza kuchekacheka, ukawa ndio mchezo wake namimi kimyakimya akija siongei naye namla, asubuhi anabaki anachekacheka tu....
Huu n uongo bhana
 
Nilipanga chumba temeke ( kwa kidande) uswahilini sana enzi hizo naanza maisha. Baada ya week moja siku hiyo nimetoka likwid (wakati ndio inaanza) nilinunua mguu wa mbuzi niko na mshkaji wangu tunaplani tukasongwe ugali.

Baada ya kufika gheto tukiwa high kidogo tulisonga ugali mkubwa hadi wenyewe tukashangaa lakini pia wakati tunakula ilituchukua almost 10 minutes kumaliza ule ugali.na bado tulikua na njaa, yaan hatukushiba na ilikua saa 7 na robo kuelekea saa 8. Ofcourse we had some weeds akat natoa lighter yalitokea maajabu and we couldn't sleep that night.

Baada ya kukucha ndani hatukuona unga wala mifupa ya ule mguu wa mbuzi ..............................
Yaan eti mi na mwanangu tulimaliza mfuko wa dona kilo tano ndani ya usiku mmoja!!!!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nimecheka kama mjinga yaani😂 anakuruka😂😂
😄😁Amini mkuu s unajua nakua nmetulia hv mida mibovu nimelala chini kweny carpet nachart spendag kukaa sana kitandaNi mara naskia kkishindo 😄😁 kama nmerukwa hv kudadekii
 
Nilipanga chumba temeke ( kwa kidande) uswahilini sana enzi hizo naanza maisha. Baada ya week moja siku hiyo nimetoka likwid (wakati ndio inaanza) nilinunua mguu wa mbuzi niko na mshkaji wangu tunaplani tukasongwe ugali.

Baada ya kufika gheto tukiwa high kidogo tulisonga ugali mkubwa hadi wenyewe tukashangaa lakini pia wakati tunakula ilituchukua almost 10 minutes kumaliza ule ugali.na bado tulikua na njaa, yaan hatukushiba na ilikua saa 7 na robo kuelekea saa 8. Ofcourse we had some weeds akat natoa lighter yalitokea maajabu and we couldn't sleep that night.

Baada ya kukucha ndani hatukuona unga wala mifupa ya ule mguu wa mbuzi ..............................
Yaan eti mi na mwanangu tulimaliza mfuko wa dona kilo tano ndani ya usiku mmoja!!!!!
Bangi mbaya...!
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Naskia ukilala na mfupa wa PIG hawa jamaa wa ulimwengu wa giza huwa hawasogei.... Mfupa wa Pig una resistance gani na hawa au ni mambo ya kufikirika tu?
Yesu aliwakumbiza Kwa pig,kuna jamaa aliniomba nintaftie maana kwako huko siopoa
 
Back
Top Bottom