Je umewahi kukaa nyumba ambazo zina vimbwanga

Je umewahi kukaa nyumba ambazo zina vimbwanga

Bado aliendelea kuishi hapo until kikao cha ukoo kilipokaa kumshinikiza ahame....πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kuna watu wanazo guts mkuu acha kbs
Daah,na bado alikuwa na guts za kukata gogo??unaweza ukapigwa dole kizembe,[emoji1787][emoji1787]
 
Nilipanga chumba temeke ( kwa kidande) uswahilini sana enzi hizo naanza maisha. Baada ya week moja siku hiyo nimetoka likwid (wakati ndio inaanza) nilinunua mguu wa mbuzi niko na mshkaji wangu tunaplani tukasongwe ugali.

Baada ya kufika gheto tukiwa high kidogo tulisonga ugali mkubwa hadi wenyewe tukashangaa lakini pia wakati tunakula ilituchukua almost 10 minutes kumaliza ule ugali.na bado tulikua na njaa, yaan hatukushiba na ilikua saa 7 na robo kuelekea saa 8. Ofcourse we had some weeds akat natoa lighter yalitokea maajabu and we couldn't sleep that night.

Baada ya kukucha ndani hatukuona unga wala mifupa ya ule mguu wa mbuzi ..............................
Yaan eti mi na mwanangu tulimaliza mfuko wa dona kilo tano ndani ya usiku mmoja!!!!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kuna huyo jirani alikuwa anakaa nyumba ambayo bibi kapelekwa kwa mwanae basi bhn usiku wa kwaza kulala usiku alimuona joka kubwa akatolka usiku uho uho hakuludi tena mpka leo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naskia ukilala na mfupa wa PIG hawa jamaa wa ulimwengu wa giza huwa hawasogei.... Mfupa wa Pig una resistance gani na hawa au ni mambo ya kufikirika tu?
Mkuu labda wasiamue kukufungia kazi [emoji1787][emoji1787] mfupa hausaidii chochote omba kwa imani yako kabla hujalala hiyo ndo salama yako. Unaweza ishi kwenye nyumba inayofugwa pig ila mziki wa mauza uza ukawa pale pale
 
Bado aliendelea kuishi hapo until kikao cha ukoo kilipokaa kumshinikiza ahame....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna watu wanazo guts mkuu acha kbs
Huyo jamaa anafaa sana kuishi na mimi. Kuna siku moja night kali sana around nane kuelekea tisa nilishtuka usingizini kwa makelele ya paka nahisi walikua zaidi ya wanne. Sauti ingine nikawa naisikia inatoka ndani sebuleni, nikanyata mdogo mdogo nikawasha taa pap!!

Mara naona paka kubwa jeusi linanikodolea macho moyoni nikasema usintanie hunijui nikarudi room nikachukua rungu huku nawaza hili paka limepitia wapi mbona madirisha yote yamefungwa (ni haya ya aluminium) aisee nimerudi nakuta paka anahangaika dirishani atoke nikasema leo nakuua. Kwanza nirusha lile rungu likatua mgongoni.

Paka likatoa mlio flani kama linafoka hivi likahamia dirisha lingine mie nnalo tu sasa safari hii nlipiga sikurusha rungu.. paka likawa kama limezimia basi nikalishika nikafungua dirisha nikalitupa nje kwa kulirusha likaenda jipigiza kwenye uzio nikasema nishau paka la watu. Asubuhi naenda pale nilipolirusha, hata dalili ya paka sikuona nikasema duh! Hii hatari

Ni hivi mie hua siogopi mauza uza binadamu ninaweza kumuogopa akinijia hiyo Mida ya wanga ila sjui paka sjui bundi ndo siogopi kabisaaa. Ila mpaka kesho sijajua yule paka aliingia vipi ilihali hakukua na sehemu ya kuingilia
 
Ikatokea Mama mwenye nyumba akakuona muda unaenda/unarudi kuoga na akaona dhakari imetuna......

Saa 5 usiku anakuja kukugongea mlango halafu anamuulizia mwanae vinci kama yupo kwako...
Ameliwa sana na masela wenye haraka
 
Huyo jamaa anafaa sana kuishi na mimi. Kuna siku moja night kali sana around nane kuelekea tisa nilishtuka usingizini kwa makelele ya paka nahisi walikua zaidi ya wanne. Sauti ingine nikawa naisikia inatoka ndani sebuleni, nikanyata mdogo mdogo nikawasha taa pap!!

Mara naona paka kubwa jeusi linanikodolea macho moyoni nikasema usintanie hunijui nikarudi room nikachukua rungu huku nawaza hili paka limepitia wapi mbona madirisha yote yamefungwa (ni haya ya aluminium) aisee nimerudi nakuta paka anahangaika dirishani atoke nikasema leo nakuua. Kwanza nirusha lile rungu likatua mgongoni.

Paka likatoa mlio flani kama linafoka hivi likahamia dirisha lingine mie nnalo tu sasa safari hii nlipiga sikurusha rungu.. paka likawa kama limezimia basi nikalishika nikafungua dirisha nikalitupa nje kwa kulirusha likaenda jipigiza kwenye uzio nikasema nishau paka la watu. Asubuhi naenda pale nilipolirusha, hata dalili ya paka sikuona nikasema duh! Hii hatari

Ni hivi mie hua siogopi mauza uza binadamu ninaweza kumuogopa akinijia hiyo Mida ya wanga ila sjui paka sjui bundi ndo siogopi kabisaaa. Ila mpaka kesho sijajua yule paka aliingia vipi ilihali hakukua na sehemu ya kuingilia
😁😁😁
 
Huyo jamaa anafaa sana kuishi na mimi. Kuna siku moja night kali sana around nane kuelekea tisa nilishtuka usingizini kwa makelele ya paka nahisi walikua zaidi ya wanne. Sauti ingine nikawa naisikia inatoka ndani sebuleni, nikanyata mdogo mdogo nikawasha taa pap!!

Mara naona paka kubwa jeusi linanikodolea macho moyoni nikasema usintanie hunijui nikarudi room nikachukua rungu huku nawaza hili paka limepitia wapi mbona madirisha yote yamefungwa (ni haya ya aluminium) aisee nimerudi nakuta paka anahangaika dirishani atoke nikasema leo nakuua. Kwanza nirusha lile rungu likatua mgongoni.

Paka likatoa mlio flani kama linafoka hivi likahamia dirisha lingine mie nnalo tu sasa safari hii nlipiga sikurusha rungu.. paka likawa kama limezimia basi nikalishika nikafungua dirisha nikalitupa nje kwa kulirusha likaenda jipigiza kwenye uzio nikasema nishau paka la watu. Asubuhi naenda pale nilipolirusha, hata dalili ya paka sikuona nikasema duh! Hii hatari

Ni hivi mie hua siogopi mauza uza binadamu ninaweza kumuogopa akinijia hiyo Mida ya wanga ila sjui paka sjui bundi ndo siogopi kabisaaa. Ila mpaka kesho sijajua yule paka aliingia vipi ilihali hakukua na sehemu ya kuingilia
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Huu n uongo bhana

hahahaha, sio chai mkuu nilikula sana kiboga cha mama mwenye nyumba mwanga, naona alinogewa maana kila akija namfumania akaachana na mpango wake wakuniwangia akawa analiwa kiboga tu..

Huwezi amini alikuwa akija kiwanga wanga hatuongei namvuta na matunguli + mahirizi yake namuweka sawa nakula mzigo tena kavukavu.... asubuhi ananichekeachekea tu huku mwamba niko serious...

Siku niliyohama hiyo nyumba ilikuwa imebaki miezi miwili kodi yangu kuisha, nikaja siku moja na gari nikabeba mizigo yangu nikasepa bila kuaga mtu...enzi hizo hata simu hakuna.... naamini umri wake yule mama that time ilikuwa around 45yrs me nilikuwa niko kwenye 22yrs....kama bado yuko hai na anasoma humu JF najua atacheka sana na kuja kunisalimia Inbox, nilikuwa msela sana namimi zama zile dah....
 
Back
Top Bottom