Je umewahi kukaa nyumba ambazo zina vimbwanga

Je umewahi kukaa nyumba ambazo zina vimbwanga

hahahaha, sio chai mkuu nilikula sana kiboga cha mama mwenye nyumba mwanga, naona alinogewa maana kila akija namfumania akaachana na mpango wake wakuniwangia akawa analiwa kiboga tu..

Huwezi amini alikuwa akija kiwanga wanga hatuongei namvuta na matunguli + mahirizi yake namuweka sawa nakula mzigo tena kavukavu.... asubuhi ananichekeachekea tu huku mwamba niko serious...

Siku niliyohama hiyo nyumba ilikuwa imebaki miezi miwili kodi yangu kuisha, nikaja siku moja na gari nikabeba mizigo yangu nikasepa bila kiaga mtu...enzi hizo hata simu hakuna...
Asee bhas mzee ulijikaz sana asee
Kwa hyo ww ukawa n kula uroda tu
 
mama mwenye nyumba enzi za ujana kaja kuniwangia usiku kichawi chawi, nikamshtukia, kimyakimya nikamla kiboga.... akaenda zake..

asubuhi ananiona anaanza kuchekacheka, ukawa ndio mchezo wake namimi kimyakimya akija siongei naye namla, asubuhi anabaki anachekacheka tu....
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
mama mwenye nyumba enzi za ujana kaja kuniwangia usiku kichawi chawi, nikamshtukia, kimyakimya nikamla kiboga.... akaenda zake..

asubuhi ananiona anaanza kuchekacheka, ukawa ndio mchezo wake namimi kimyakimya akija siongei naye namla, asubuhi anabaki anachekacheka tu....
Ulikuwa unamuonaje wakati wachawi hawaonekani kwa macho ya kawaida?

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaaaah ila watu lol

Sent using Jamii Forums mobile app
Wachawi wana akili mbovu hahahaaa kuna jamaa anamiliki pool table kitaa flani alikamatwa na msukule na wale jamaa wa kunasua wachawi, waliomkamata wakaja kugundua kumbe ule msukule anautumia kuwala kiboga wanaume wanaocheza pool table pale kijiweni kwake wakiinama kusukuma kete just imagine akili za wachawi....
 
Wachawi wana akili mbovu hahahaaa kuna jamaa anamiliki pool table kitaa flani alikamatwa na msukule na wale jamaa wa kunasua wachawi, waliomkamata wakaja kugundua kumbe ule msukule anautumia kuwala kiboga wanaume wanaocheza pool table pale kijiweni kwake wakiinama kusukuma kete just imagine akili za wachawi....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavuuu zangu mie lol.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom