millerson
JF-Expert Member
- Aug 5, 2022
- 606
- 1,651
Huyu Lucas mwashambwaNilikutana na bwashee johnthebaptist nikamchukua na pic ya kumbukumbu View attachment 3168101
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Lucas mwashambwaNilikutana na bwashee johnthebaptist nikamchukua na pic ya kumbukumbu View attachment 3168101
Kijana si juzi tu ulisema umeacha pombe wewe?Nimewahi kukutana na wanayanga wenzangu maarufu hapa jukwaani uwanja wa taifa siku Yanga akicheza nakutana nao VIP A pale na Kuna mmoja Kila tukikutana tunapiga pombe mixer nyama choma Ciao,adios
Mi siwaogopi, ndo nawatafuta.Yaani hujaelewa.
Kuna watu wanaibuka ghafla na kuomba kampani bila woga. Hao ni wa kuwaogopa
Na wambea mlikuwa hamkosi episode hata moja😃😃😃ILa demiss alikuwa wa moto na mcheshi sana kabla lile jambo kutokea,kulichangamka sana humu kipindi kile, nakumbuka hadi akaunti yake ya facebook tuliitembelea kuona picha.
Aisee.Mi siwaogopi, ndo nawatafuta.
Na nyingi hamuogopi kama mimi.Aisee.
Sasa sisi wanawake ndio inakuwa balaa zaidi
Hao sasa ndio walikuwa wanawindwa...alooo!!!Na Kuna wengine wapo hadi wanajiona wazuri kumbe sura za baba 😀😀😀😀
😂😂😂😂 We acha tu.Tatizo huanza mnakutaka kwa ajili ya nini. Mimi kuna watu kibao tumefahamiana kupitia humu na wote ni watu wema. Mambo ya kuwinda mademu na kutambiana maisha ndo huwa chanzo cha hayo yote.
Wanajf wakiamuaga jambo lao huwa ni balaa, kuna yule mwamba wa kuitwa Parabora alikuwa kila siku anatutambia kuwa yupo Uswiss sijui Canada. Kuna siku watu wakamstukia, aloo. Alijuta na kuanzia siku hiyo sijawahi kumwona tena...
Pia kuna sakata lile la dada yangu manengelo, walikuwa watu wa maana sana, watu wabaya wakawatibua.Na wambea mlikuwa hamkosi episode hata moja😃😃😃
Jamani, ilikuwa raha sana.
Sahv wamejitulizia zao kimya na Pm wamefunga 😂😂
TunaogopaNa nyingi hamuogopi kama mimi.
Hapa kuna code tunahitaji mhitimu wa Cuba 🇨🇺 aje afunguweNdio yeye ni fundi Dish Akaja home tukapiga msosi akafix dish langu, ilikuwa safi tu baadae nikampa lift mpaka kwake,nime mmis ni fundi mzuri sana.
Sahv wote hao wamebadili user name.Pia kuna sakata lile la dada yangu manengelo, walikuwa watu wa maana sana, watu wabaya wakawatibua.
Matukio kama haya yanafanya wanaume wa JF tusiaminike. Kwa mfano mimi nawapenda sana Depal na financial services ila ni changamoto kuwaingia kutokana na mambo kama haya...😂😂😂😂 We acha tu.
Yaani kipindi kile watu waliumbuka jamani.
Kuna yule mmoja alikuwa anajiita jina la 'kusaka' alitangaziwa ndoa na mwanajf, akaitwa mpaka Mbeya akabanduliwa picha zake za faragha zikaja. Alooooo!!!!!
Bwana siku ya kwanza kamtumja laki, akaona mume ndo huyu, alivyojichanganya tu, kumbe bwana keshamrekodi muda tu.
Jamaa akitaka mzigo kinguvu anamwambia nasambaza picha zako. Bidada alibanduliwa mpaka alichoka.
Dada ilibidi aombe msaada ndio mods kumbadilishia user name na jaama akala life ban😆
Wamebadili lakini hazina uchangamfu kama ID za mwanzo.Sahv wote hao wamebadili user name.
Ila wanaume wa Jf nyie 🙌🙌🙌
Mkiamua kumsakama mtu, mpaka anajuta.
Asubutuuuu.Matukio kama haya yanafanya wanaume wa JF tusiaminike. Kwa mfano mimi nawapenda sana Depal na financial services ila ni changamoto kuwaingia kutokana na mambo kama haya...