Yeah, zile za mwanzo ndio zilikuwa konki.Wamebadili lakini hazina uchangamfu kama ID za mwanzo.
Wewe tena ndio unafahamiana na watu wengi sana humu kuliko wana Jf wengi,na kama ningekutana na mtu humu basi ungekuwa wa kwanza, miaka mingi tuliweka miadi kuhusu kuja kuona nyumba niliyokuwa naiuza Dodoma, bahati mbaya mambo yakaingiliana nikashindwa kutokea. Nakumbuka ulinieleza jinsi ulivyokuwa dissapointed!.Misjawahi mkuu...🙄
Hivi kumbe kuna kunamna pipo wana mingo humu eeehhh....😳
Inasikitisha sana...Asubutuuuu.
Sahv wanawake hatutaki masikhara.
Mnaumbua vibayasana nyie
KabisaInasikitisha sana...
Ndiyo.Misjawahi mkuu...🙄
Hivi kumbe kuna kanamna pipo wana mingo humu eeehhh....😳
Oya nawafungulia hii code, Ngoja niende msalani kwanza.Hapa kuna code tunahitaji mhitimu wa Cuba 🇨🇺 aje afunguwe
halafu humu ke si wachache sana kuliko me?Asubutuuuu.
Sahv wanawake hatutaki masikhara.
Mnaumbua vibayasana nyie
Bonge la popoma.Yupoje 😁
Mpaka sasa hivi hujatoka tu chooni?Oya nawafungulia hii code, Ngoja niende msalani kwanza.
🏃🏿♂️➡️,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,!
Ngoja kwanza, unanitoa kwenye reli.Mpaka sasa hivi hujatoka tu chooni?
Au unajichua.
Mojawapo ni NALIA NGWENAKuna watu huwaga wanakera Sanaa mpaka unaweza waza mkapiganee🤣🤣😂😂
Jamaa walikutana pale tabata shule uwanjani wakazichapaa 😁🤣😂 noma sanaaa
Aisee hahahFaizaFoxy huwa anapenda rosti, ila kama ni kitimoto ya ulimi huwa anapenda ulimi ule ukaushwe uwe kavu.
Sema huwa hapendi kula hadharani, mara nyingi wanakuwaga na Malaria 2 pale mwananyamala kuna kapub fulani hivi kapo mafichoni wanasifika kwa kutengeneza kitimoto safi na tamu sana.
Kinywaji hawa watu hupendelea sana K vant
Ndo mtugombanie kiuhalifu hivi?halafu humu ke si wachache sana kuliko me?
nadhani hili pia linaleta mgongano fulani
ndo asili yetu nadhaniNdo mtugombanie kiuhalifu hivi?
Drone mwenye Drake yake au kijana wa Liverpool?Nilikutana na kataa ndoa mmoja maarufu Sana hapa JF😆😆😆aisee ya JF yaache JF we jifunze tu ila usiige utaumia
Haya bhanando asili yetu nadhani