The introvert
JF-Expert Member
- Sep 15, 2023
- 701
- 1,522
- Thread starter
- #321
Naani huyo?Nilipokutana nae macho yangu hayakuamini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naani huyo?Nilipokutana nae macho yangu hayakuamini
Kwa nini mkuuNimesikitika sana..😑
Hahaha unawashauri kipi sasa hao wanaotafuta wake JF mkuuNimewala sana mademu wengi wa Jf kwa kutumia Id nyingine ambayo ni maarufu sana humu ndani.
Pia nimekutana na wanaume wenzangu kadhaa humu ndani wenye heshima zao ila katika uhalisia hawajiheshimu , ni waongowaongo na matapeli ukikaa vibaya mara mia hata demu wa Jf ukiwa mwanaume anakupa pussy.
Nb: nashangaaga sana wale wanaotafuta wake Jf
Hongera yako mkuu🙌🙌Nilikutana na mwana jf kwenye mauzo ya bidhaa yangu baada ya kuinadi jukwaani. Alikuja hadi kwangu nikampa bidhaa nikapokea mpungu akasepa, hakuwa na mambo mengi na alionyesha ustarabu sana .
Sikumjua ni nani kwa id mana niliweka namba tu na jamaa alinipgia. ila yeye alinijua fika, 2018 hiyo.
Ila wengi nawaona kwenye daladala na japo sijaona id zao
Kumbe watu wanapeana humu alafu wengine hatujui...😑Kwa nini mkuu
Kwa nyie wengine ni sawa, ila baadhi yetu na hali ya hewa ya humu jukwaani tunayoisababisha, nani atathubutu kufungua mbele ya watu? Thubutuuu!!!Mimi nna hii app nafungua kwa uwazi bila kuogopa nimeifatilia jamii forum toka nipo form one, mpaka sasa kwahiyo nipo confidently kuingia na kutoka..
🤓🤓🤓Demis
Watu hawashindwi Jamboree 😂 mpaka AIKwa nyie wengine ni sawa, ila baadhi yetu na hali ya hewa ya humu jukwaani tunayoisababisha, nani atathubutu kufungua mbele ya watu? Thubutuuu!!!
Itakuja picha yangu live hata kama ya AI🤓
Usijali mkuu wamekusikia na kutokana na umaarufu wako watakutunuku tuKumbe watu wanapeana humu alafu wengine hatujui...😑
Wanaume wa humu hamshindwi na jamboreeeee.....Watu hawashindwi Jamboree 😂 mpaka AI
Dah!!!Kumbuka kua wife wako nae ana marafiki zake pia anao waamini,
Samahani mkuu,siku zote nilikua najua wewe ni mdada kwa kuangalia hiyo ID.
Ngoja nikimbie kombo kuwa angalia kina manka, 😂Nipo naelekea TACRI kula ndizi
Lakini ukifungua mbn hata username haionekani maybe sijui ufanye nn ndo mtu akushtukieKwa nyie wengine ni sawa, ila baadhi yetu na hali ya hewa ya humu jukwaani tunayoisababisha, nani atathubutu kufungua mbele ya watu? Thubutuuu!!!
Itakuja picha yangu live hata kama ya AI🤓
Haina nouma mshua..... ukiweka madini hayo tuyapate pate walau utupe na uendeshaji wake kuanzia kwa regulators wa pharmaceutical plus industry yenyewe ....Huwa nadonoa donoa some hints hope before end of this December ntapata wasaa kwa utulivu ntaandika
NaiombaAisee nakumbuka hiyo story ya huyo kaka
Hahah naukumbuka ule uzi. Wale jamaa miyeyusho sana.Kuna jamaa walikutana humu wazichape.. ile story yao sijui iliishaje
Sema kuna watu malimbukeni sana asee.Kuna mada moja ililetwaga humu miaka kama 4 au 5 iliyopita
Kipindi hiko humu Jf kila mwanamke anajiita pisi
Jamaa akaomba mchezo na pisi moja pm, akakubaliwa, kumbe bwana ulikuwa mchongo.
Yule dada kafika lodge kumbe jamaa kategesha camera chumbani.
Yule dada hatakuja kusahau ile aibu halafu wote tulikuwa tunamuona bonge la demu na mkali balaa hapa jukwaani, kumbe hakuna kitu na ni aibu sana.
Pia kosa kubwa alilofanya yule dada ni kuchati kupitia Pm mpaka sura yake.
Jamaa aliscreenshot kisha akaja na uzi wenye naked video ya yule dada pamoja na picha zake.
Jamaa alikula life ban na ile Id ya yule dada last seen yake imesimama July 2019 mpaka leo.
Kwahiyo hizi ndizo sababu za wengi kukataa kufahamika
Kaushaaaaa bwashe!Ngoja nikimbie kombo kuwa angalia kina manka, 😂