Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa JF katika maisha ya uhalisia (Jamii)?

Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa JF katika maisha ya uhalisia (Jamii)?

Nimewala sana mademu wengi wa Jf kwa kutumia Id nyingine ambayo ni maarufu sana humu ndani.

Pia nimekutana na wanaume wenzangu kadhaa humu ndani wenye heshima zao ila katika uhalisia hawajiheshimu , ni waongowaongo na matapeli ukikaa vibaya mara mia hata demu wa Jf ukiwa mwanaume anakupa pussy.

Nb: nashangaaga sana wale wanaotafuta wake Jf
Hahaha unawashauri kipi sasa hao wanaotafuta wake JF mkuu
 
Nilikutana na mwana jf kwenye mauzo ya bidhaa yangu baada ya kuinadi jukwaani. Alikuja hadi kwangu nikampa bidhaa nikapokea mpungu akasepa, hakuwa na mambo mengi na alionyesha ustarabu sana .

Sikumjua ni nani kwa id mana niliweka namba tu na jamaa alinipgia. ila yeye alinijua fika, 2018 hiyo.

Ila wengi nawaona kwenye daladala na japo sijaona id zao
Hongera yako mkuu🙌🙌
 
Mimi nna hii app nafungua kwa uwazi bila kuogopa nimeifatilia jamii forum toka nipo form one, mpaka sasa kwahiyo nipo confidently kuingia na kutoka..
Kwa nyie wengine ni sawa, ila baadhi yetu na hali ya hewa ya humu jukwaani tunayoisababisha, nani atathubutu kufungua mbele ya watu? Thubutuuu!!!
Itakuja picha yangu live hata kama ya AI🤓
 
Watu hawashindwi Jamboree 😂 mpaka AI
Wanaume wa humu hamshindwi na jamboreeeee.....
Niko humu tangu enzi ya Jambo forum mpaka kuwa Jamii forum.
Nawajua vilivyo wanaume wa Jf.
Yaani usithubutu kujichanganya!!!

Afu kuna ile ya kualikana member kwenye uwanja wa Pm kisirisiri
Demu anajua anachati na mchizi Pm peke yake kumbe mchizi kaalika masela wenzake wanaona kila kitu.
Sasa balaa linakuja jukwaani, unajiuliza mbona tulikuwa tunachati wawili tu? Imekuwaje hawa wengine wana mpaka screenshot zangu?
Babba.....toka mbioooo👣👣👣👣👣💨💨💨
Hii nakumbuka mpaka uongozi wa Jf ulikuja kulitolea ufafanuzi maana naona sahv kidogo baadhi ya members wamekuwa na uelewa na kusanukia mchezo huu.
 
Huwa nadonoa donoa some hints hope before end of this December ntapata wasaa kwa utulivu ntaandika
Haina nouma mshua..... ukiweka madini hayo tuyapate pate walau utupe na uendeshaji wake kuanzia kwa regulators wa pharmaceutical plus industry yenyewe ....

Mimi nilikuwa sehemu kwenye hii industry Ila kwa muda mfupi nilitamani kujua vingi.. shukrani
 
Kuna mada moja ililetwaga humu miaka kama 4 au 5 iliyopita
Kipindi hiko humu Jf kila mwanamke anajiita pisi
Jamaa akaomba mchezo na pisi moja pm, akakubaliwa, kumbe bwana ulikuwa mchongo.
Yule dada kafika lodge kumbe jamaa kategesha camera chumbani.
Yule dada hatakuja kusahau ile aibu halafu wote tulikuwa tunamuona bonge la demu na mkali balaa hapa jukwaani, kumbe hakuna kitu na ni aibu sana.
Pia kosa kubwa alilofanya yule dada ni kuchati kupitia Pm mpaka sura yake.
Jamaa aliscreenshot kisha akaja na uzi wenye naked video ya yule dada pamoja na picha zake.
Jamaa alikula life ban na ile Id ya yule dada last seen yake imesimama July 2019 mpaka leo.

Kwahiyo hizi ndizo sababu za wengi kukataa kufahamika
Sema kuna watu malimbukeni sana asee.
 
Back
Top Bottom