Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Nimechill Man mjini kwenu mvua tuuKaushaaaaa bwashe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimechill Man mjini kwenu mvua tuuKaushaaaaa bwashe!
Hii mvua waliooa wanafaidi sana, wanapata free accessNimechill Man mjini kwenu mvua tuu
Weee kizembe hivo😂mi nlokutana hawazidi watatu na nimewafollow InstagramNilio kutana nao ila hawakujua kama mimi ni poor brain ni hawa
DIVISHENI FOO
Mpaji Mungu
Aaliyyah
Mshana Jr
Vincenzo Jr
Daaah ndgu yangu sabufa kumbuka bana...Weee kizembe hivo😂mi nlokutana hawazidi watatu na nimewafollow Instagram
Mwingine ni wewe nishawahi kukuona mkuuMimi huwa nafungua JF mahali popote, Mtu kama yuko comfortable kunisemesha utasikia “Heeeee unatumia JF” Mimi: Ndio kwani vipi.
Nategemea wanijibu: Hata mimi natumia ila huwa wanamute tu.
Jumapili naenda Aslay Mihogo unichekiDaaah ndgu yangu sabufa kumbuka bana...
Baba chauongo 😂Mwingine ni wewe nishawahi kukuona mkuu
Sawa mkuu...Jumapili naenda Aslay Mihogo unicheki
Ilikua China plaza...Baba chauongo 😂
Siri sirini 😂Watu wakinizunguka silog in, nakuwa naperuz kama mgeni 😆😆
Huyo atakua mod😹Mimi uwa najiachia sana popote pale, mwaka huu mwezi wa 4 nilikuwa maeneo ya mlimani city kuna mzigo nilienda kununua sas wakati wanafanya packing nkakaa kwny kiti nikawa napitia humu kuna mdada alikuja akaona nikiwa naperuzi aliachia tabasam kisha akanambia nafurahi kukutana na member mwenzangu akanipa mkono akaondoka ila sijui alijua ID yangu coz uwa i don't care hata mtu ajue ila sikumjua yeye anatumia ID gan ni pisi haswaa kama upo please najua utakumbuka ili tukio.
Basi wewe utakuwa unajulikana na wengi sana, mmojawapo atakuwa huyu Poor BrainMimi huwa nafungua JF mahali popote, Mtu kama yuko comfortable kunisemesha utasikia “Heeeee unatumia JF” Mimi: Ndio kwani vipi.
Nategemea wanijibu: Hata mimi natumia ila huwa wanamute tu.
Palikuwa pamoto sana enzi hizo, Kwamba mtu ukikosekana kwa hata dakika moja unapitwa na Mambo kama ya siku 365 🙌Wanaume wa humu hamshindwi na jamboreeeee.....
Niko humu tangu enzi ya Jambo forum mpaka kuwa Jamii forum.
Nawajua vilivyo wanaume wa Jf.
Yaani usithubutu kujichanganya!!!
Afu kuna ile ya kualikana member kwenye uwanja wa Pm kisirisiri
Demu anajua anachati na mchizi Pm peke yake kumbe mchizi kaalika masela wenzake wanaona kila kitu.
Sasa balaa linakuja jukwaani, unajiuliza mbona tulikuwa tunachati wawili tu? Imekuwaje hawa wengine wana mpaka screenshot zangu?
Babba.....toka mbioooo👣👣👣👣👣💨💨💨
Hii nakumbuka mpaka uongozi wa Jf ulikuja kulitolea ufafanuzi maana naona sahv kidogo baadhi ya members wamekuwa na uelewa na kusanukia mchezo huu.
sasa kwanza utajuaje kama huyu ndie fulani?Habari za muda huu wanajamvi!
Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa Jamii Forums katika maisha ya uhalisia (Jamii)?
🔹 Ulijisikiaje?
🔹 Ulijitambulisha kuwa na wewe ni mwanachama, au ulifanya kama hauijui kabisa?
🔹Baada ya kujitambulisha mlikuwa na mazungumzo ya aina gani?
Nimeuliza hivi kwa maana watumiaji wengi wa JF hutumia huu mtandao kwa Siri sana
Share nasi uzoefu wako! 📢👇
Naamini kila mtu ana hadithi ya kipekee ya kusimulia.
#JamiiForums #Jamii #Uhalisia #UzoefuWako
KabisaSema kuna watu malimbukeni sana asee.
Kabisa.Palikuwa pamoto sana enzi hizo, Kwamba mtu ukikosekana kwa hata dakika moja unapitwa na Mambo kama ya siku 365 🙌
Mkuu hata wewe nakujua...Basi wewe utakuwa unajulikana na wengi sana, mmojawapo atakuwa huyu Poor Brain