Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa JF katika maisha ya uhalisia (Jamii)?

Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa JF katika maisha ya uhalisia (Jamii)?

Labda nikupe ya yule aliyetoka mwanza akatelekezwa gesti akapewa buku7 wakaja kutukanana humu hatari au yule aliyepelekwa hotel na mwanajf asijue ni member baada akarusha picha humu anajishaua ye ni boss lady anapumzika hotel zenye hadhi kwa pesa zake ghafla jamaa kamsanua karusha picha na yeye za same room akiaminisha umma yeye ndio sponsor kilikuwa kitimutimu dada akabadili I'd chap kwa
Hahahaaa yule binti mfupi alitoka Mwanza akiwa amevaa sweta lililoshonwa na rangi za Bendera ya Taifa. Ila fake ID zina mambo sana.

JF ndio mtandao unaoongoza kwa watu kufake life kama walivyo na fake ID. Yule binti alikuwa anaitwa cute@#♡ au kama sikusahau.

Hilo swaga la hotel pia nililiona humu JF. 😀😀😀
 
Hahahaaa yule binti mfupi alitoka Mwanza akiwa amevaa sweta lililoshonwa na rangi za Bendera ya Taifa. Ila fake ID zina mambo sana.

JF ndio mtandao unaoongoza kwa watu kufake life kama walivyo na fake ID. Yule binti alikuwa anaitwa cute@#♡ au kama sikusahau.

Hilo swaga la hotel pia nililiona humu JF. 😀😀😀
Eeeh jamaaa alikazia binti alikuwa mfupi,mshamba na hakuwa na haiba ya kike... ila jamani walichangamsha genge sana😅
 
Back
Top Bottom