Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa JF katika maisha ya uhalisia (Jamii)?

Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa JF katika maisha ya uhalisia (Jamii)?

Halafu sahv simuoni kabisa au kabadili user name?
Ila wanawake walibanduliwa sana kipindi hiko, japo wapo wanaume waliokuwa wanatoa kweli mpunga mrefu ili kupata mademu.
Nakumbuka kuna demu mmoja alishindaga miss chitcht sikumbuki mwaka kama sio 2012 basi 2013 alibanduliwa sana na wanaume wa humu japo nae alikuwa mtoto wa mjini alikula sana pesa za wanaume humu.
Kuna yule kaka wa Arusha aliyekuwa anagawa dola kwa demu alimpenda nasikia kachapa sana mademu wa Arusha mpaka akawaambukiza gono halafu mada ikaja jukwaani, weeeeeee!!!!
Acha kabisa
Hahaha we mbea wewe 😅😅
 
Back
Top Bottom