Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Mshamba mno...sasa ndo nini..Huyo jamaa alikua mshamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshamba mno...sasa ndo nini..Huyo jamaa alikua mshamba
👋Mshamba mno...sasa ndo nini..
Am happy to see u...very happy...
Thank you dada ake..!☺️Am happy to see u...very happy...
Wengi walikuwa wake kwa ajili ya kutambianaHuyo jamaa alikua mshamba
Sahv huwa napitia yote tu.Ohoo nipe mambo madam boss,,
Vipi jukwaa gani humu liko vizuri zaidi..
Aseeh vizuri madam..... Majukwaa humu Yana maarifa ya kutosha.. Jf ni zaidi ya shule ama chuo kikuuSahv huwa napitia yote tu.
Ila sahv naona kama kumepoa poa tu
Mzee mwenzio wa kula kimasihara Yuko wap?Nikikutana na demu mmoja hapa jf aiseee huyo sitamsahau maishani mwangu kwa msemo wake wa "mzabzab mbususu haisuswi kamwe"
Nani huyo?Mzee mwenzio wa kula kimasihara Yuko wap?
Mzee wa kupambaniaNani huyo?
Kabisa kabisa 😁😁😁Aseeh vizuri madam..... Majukwaa humu Yana maarifa ya kutosha.. Jf ni zaidi ya shule ama chuo kikuu
Ndiyo madam humu ni full burudani shule kidogo, kukosoana, kuvimbiana ili mradi life goes......Kabisa kabisa 😁😁😁
Mbona muongo muongo kiasi hiki?Mkuu hata wewe nakujua...
Sema ndo hvo ID nayotumia daah..
Nilikutana na wewe mbezi kule stand ya magari ya kwenda chanika
Kumbe we ni member wa zamani!Na Kuna yule alikuwa anajifanya ana migodi ya madini kumbe ni ni mdangaji aliumbuka vibaya 🤣 💔
Eeeh!Wengi walibadili ID na kuja kivingine , wengine wanapita kimya kimya kama huyo miss chitchat chaming L last see inasoma jumanne🤣
Hata mimi nampenda sana dadaangu chaukorofi ☺️😊😊
Hahaha we mbea wewe 😅😅Halafu sahv simuoni kabisa au kabadili user name?
Ila wanawake walibanduliwa sana kipindi hiko, japo wapo wanaume waliokuwa wanatoa kweli mpunga mrefu ili kupata mademu.
Nakumbuka kuna demu mmoja alishindaga miss chitcht sikumbuki mwaka kama sio 2012 basi 2013 alibanduliwa sana na wanaume wa humu japo nae alikuwa mtoto wa mjini alikula sana pesa za wanaume humu.
Kuna yule kaka wa Arusha aliyekuwa anagawa dola kwa demu alimpenda nasikia kachapa sana mademu wa Arusha mpaka akawaambukiza gono halafu mada ikaja jukwaani, weeeeeee!!!!
Acha kabisa
Nitag I'd yake niijue CharmingLadyWengi walibadili ID na kuja kivingine , wengine wanapita kimya kimya kama huyo miss chitchat chaming L last see inasoma jumanne🤣
Kwann alikuambia hivyo!Nikikutana na demu mmoja hapa jf aiseee huyo sitamsahau maishani mwangu kwa msemo wake wa "mzabzab mbususu haisuswi kamwe"